monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Punguza kunywa double kickunaelewa unachochangia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza kunywa double kickunaelewa unachochangia?
Siku tunaangalia mpira wa Brighton tu..mwendo wa Ngiri😀😀😀😀Messi na Ronaldinho ndio wachezaji mpira wa kipekee kuwahi kutokea duniani.
Messi ndiye binadamu mwenye kuujua mpira kuliko binadamu yoyote yule.
Ukibisha kufa..[emoji1][emoji1]
Sasa mimi na ww nani anaropoka? Manake nimekuuliza kupitia hoja ulizo unazo zianzisha ww ila hueleweki kama sigara kali, kwa hiyo gazeti hilo halinaga criteria za mshindi wa hiyo tuzo?
Halina, ni siasa tu. ukianza kuoredheshewa manayga yao kama unajielewa kidogo tu unaweza hata kuwapiga ban
Siasa kwa mtizamo wako, ila hiyo tuzo ina hadhi kubwa katika medani ya mpira wa miguu na ni ndoto ya kila mchezaji mkubwa kushinda.
Hivi unajua Modric alipewa ballon dor kisa tu kafika fianali kombe la Dunia?Toka lini Kombe la dunia likawa lina uzito kwenye Ballondor? Hili ndio swali langu.......
Mechi saba ndio mtu apewe Mchezaji bora wa mwaka? Kuweni serious basi.....
If Ingekuwa hivyo Iniesta Angechukua 2010.
Nenda kampe [emoji23]Wampe halland.. kwani mesi amefanya nn msimu huu?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hujanibu cha Cannavaro? Nijibu hiko nami nitakujibu.unawezwa twambia ni kigezo gani kilitumika kumpa tunzo Messi 2010 na Ronaldo 2013?
Hujanibu cha Cannavaro? Nijibu hiko nami nitakujibu.
Kwani ww unataka mwaka huu tuzo achukue nani na kwa vigezo ?hili swali nalo hukunijibu.
Fainali kombe la dunia, UEFA, mchezaji bora ulaya.Hivi unajua Modric alipewa ballon dor kisa tu kafika fianali kombe la Dunia?
Kama uliangalia hiyo worldcup utajua nani aliperform.Maelezo yako yanatofautiana na numbers zao man , hizi stori mnaokotaga kijiweni sio ? Stats zao za world cup mbape kazidiwa sasa sijui mnataka nini wakuu
Nani hapa aliye opandisha maswali?kwanini unapandia swali juu ya suala? tujibu basi kwanza tuendelee
Nani hapa aliye opandisha maswali?
View attachment 2795413
Unaweza ukuta majibu yako ukayapata kupitia hilo swali.
2010 Iniesta na xavi wa barcelona sijui ilikuaje maana barc ilikuwa on fire chini yao na Iniesta ndo alikuwa man of the match final wcZidane, De Lima, Canavaro na wengine wengi walipata Ballon d'or after winning world cup!
Unaweza kuprove hiki ulicho kiandika kwa kutumia valid resourcesUmejibwa la Modric mbona hujaleta ufafanuzi wa ziada? Mpaka 2006 World Star ndio automatic aliyekua anakua mshindi ila hii criteria ilikufa automatic baada ya hapo na ndio mana hakuna mshindi mwengine aliyeshinda hiyo tunzo baada ya Cannavaro. Kwanini irudi le kwa sababu ya messi tu?
Mpaka 2006 World Star ndio automatic aliyekua anakua mshindi ila hii criteria ilikufa automatic baada ya hapo na ndio mana hakuna mshindi mwengine aliyeshinda hiyo tunzo baada ya Cannavaro
2018 Modric won it because of World cup's POTT2010 Iniesta na xavi wa barcelona sijui ilikuaje maana barc ilikuwa on fire chini yao na Iniesta ndo alikuwa man of the match final wc