Messi akishinda tena Ballon Dior itakuwa ni yale ya upendeleo, mapenzi na favouritism

Messi akishinda tena Ballon Dior itakuwa ni yale ya upendeleo, mapenzi na favouritism

Kwani De Lima kwa nini alikuwa anachukua hiyo tuzo (list umeweka mwenyewe) na hajawahi kushinda medali ya UEFA mpaka anastafu.

Kwani ww uonavyo Halaand ana vigezo vipi vya kumshinda Messi ambavyo Messi hana, maana hapa wadau wamekuwekea mpaka reference.

de lima alishinda hivo 2002 ndugu hii ni 2023. KWa sasa Champion league ndio kila kitu, na ndio mana hata Messi na Ronaldo walishinda tunzo huku wakiachwa wachezaji waliopata mafanikio kwenye world cup. Au umepoteza kumbukumbu?
 
Kwasababu Halland alikuwa ndio most consistence na top performer kwenye team, goli 50 sio ishu ya kitoto ndugu. Football is not all about skills, its about delivering. NA kwa position yake alichokifanya ni kikubwa kuliko mchazaji wa position yoyote ile kwenye timu.

Kwa hoja hizo kwanini Tunzo alizoshinda messi akiwa Barca asishinde Iniesta?
Na tunzo za Ronaldo kwanini asisihinde Modric?
Tap ins goals ndio unasema top performer huu mpira wa LiveScore inabidi muachane nao
Mchezaji ambaye hawezi kumpiga chenga hata mchezaji mmoja unataka awe mchezaji bora wa dunia
Hiyo ni dunia ya wapi ?
Kwenye nyakati muhimu haonekani
Hahahaha
Acha kuangalia mpira LiveScore
 
de lima alishinda hivo 2002 ndugu hii ni 2023. KWa sasa Champion league ndio kila kitu, na ndio mana hata Messi na Ronaldo walishinda tunzo huku wakiachwa wachezaji waliopata mafanikio kwenye world cup. Au umepoteza kumbukumbu?
Ucl ndio kila kitu kakwambia nani ?
 
Ebu kabla haujaanza kubishana kwa sababu ushabiki wako kwa Messi, nipatie stats au details za kiwango bora(zaidi ya kushinda kombe la dunia ) ambazo zitamfanya Messi awe tena mshindi wa ballon dior.

Ni issue tu ya mapenzi tu kwa huyu jamaa ndio maana tena atabeba lakini kuna watu lukuki wamefanya vyema zaidi yake kwa kipindi hichi.
View attachment 2792549

Mwaka wa kombe la dunia aliyechukua kikombe mara nyingi ukiacha 2018 huwa lazima huyo atoe mchezaji wa Ballon D’or!
 
de lima alishinda hivo 2002 ndugu hii ni 2023. KWa sasa Champion league ndio kila kitu, na ndio mana hata Messi na Ronaldo walishinda tunzo huku wakiachwa wachezaji waliopata mafanikio kwenye world cup. Au umepoteza kumbukumbu?
Wewe ndiyo umesema kutoka na moyo wako,ila hamna sehemu iliyo andikwa kwamba ukishinda UEFA basi ww unastahili Ballon Dor na ndio maana nikakuomba takwimu na reference.

Halafu kombe la dunia ni mchakato wa mda mrefu,sio tukio la mwezi mmoja,timu hazi chaguliwi bali zinapambana au ushajiuliza kwa nini Halaand timu yake haikushiriki?

Maana kwa jinsi mnavyo ongea hizo timu 32 kama zimepewa nafasi za upendeleo kushiriki kombe la dunia.
 
Mwaka wa kombe la dunia aliyechukua kikombe mara nyingi ukiacha 2018 huwa lazima huyo atoe mchezaji wa Ballon D’or!
Nani alichukukua Kombe la Dunia 2010, 2014, 2018 ?
Huko kote Kombe la dunia halikuwa na Uzito kwenye Ballon dor,ghafla limepata uzito?
 
Toka lini Kombe la dunia likawa lina uzito kwenye Ballondor? Hili ndio swali langu.......
Mechi saba ndio mtu apewe Mchezaji bora wa mwaka? Kuweni serious basi.....

If Ingekuwa hivyo Iniesta Angechukua 2010.
Watu wenye akili duniani hawa, mtu kacheza vizuri mechi hazifiki ata 10 ndio apewe hiyo tuzo? Huku msimu wote kwenye club yake hakuwa ata key player. Anyways tunajua fifa bado watampa tu as a farewell to Messi, Fifa's boy
 
Diego.....
Vipi Ilikuwaje Messi akachukua Tuzo wakati Kuna watu wamechukua kombe la dunia?
Naomba sababu why messi alipewa.
Ndugu mkongwe.
Kwani Messi msimu uliopita kachukua makombe mangapi ?
 
Kwani Messi msimu uliopita kachukua makombe mangapi ?
Kwani Iniesta 2010 alichukua makombe mangapi?
Mechi saba pekee haziwezi kuwa kipimo cha mchezaji bora anatakiwa kuwa kaperform mashindano mengine pia..
Sio upige Mi penati afu upewe ballon, haikuwa hivyo 2010, 2014, 2018. Why iwe hivyo sasa?
Hilo kombe la dunia limepata Uzito lini? Ambao halikuwa nao decade Nzima iliyopita? Sababu kachukua messi?
 
Kwani Iniesta 2010 alichukua makombe mangapi?
Mechi saba pekee haziwezi kuwa kipimo cha mchezaji bora anatakiwa kuwa kaperform mashindano mengine pia..
Sio upige Mi penati afu upewe ballon, haikuwa hivyo 2010, 2014, 2018. Why iwe hivyo sasa?
Hilo kombe la dunia limepata Uzito lini? Ambao halikuwa nao decade Nzima iliyopita? Sababu kachukua messi?
We hujui kitu kuhusu mpira kwa hiyo kombe la dunia na uefa kubwa ni lipi ?
Hivi unajua haulewi unachoandika
 
We hujui kitu kuhusu mpira kwa hiyo kombe la dunia na uefa kubwa ni lipi ?
Hivi unajua haulewi unachoandika
Kuna mtu kaandika Kombe fulani ni kubwa kuliko kombe fulani?
Au ndio unanilisha maneno?
Despite Iniesta Kuchukua kombe la dunia akiwa mchezaji muhimu, akifunga bao pekee la Ushindi 2010. Hakupewa Hiyo ballon dor.
Kupewa ballon dor huwa inaangaliwa performance ya mchezaji mwaka mzima sio upige Vipenati kadhaa then Upewe tuzo.

Naomba nihitimishe majadiliano na wewe, sioni ukitoa hoja yoyote.
Zaidi ya kuniattack mimi.
Ahsante Ndugu "Mkongwe" katika mpira.
 
Vijana wa bishoo wa ureno mnahangaika sana..The race is over and the stories regarding who is the G O A T is over!! Messi is miles ahead Ronaldo!
 
Messi mwenyewe world cup kabebwa na akina mac Allister, Jullian Alvarez na enzo fenandez. Performance ya world cup mbappe alifanya vizuri kuliko huyo andunje.
Huyo messi tuzo moja kampora Iniesta, Nyingine kampora Lewandowski. Balon dor za halali alizonazo hazizidi 3
Yeye Messi ndio anajipa hizo TUZO unavosema kapora?
Una chuki binafsi wewe. [emoji706][emoji706][emoji706]

Sent from my CPH2251 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu kaandika Kombe fulani ni kubwa kuliko kombe fulani?
Au ndio unanilisha maneno?
Despite Iniesta Kuchukua kombe la dunia akiwa mchezaji muhimu, akifunga bao pekee la Ushindi 2010. Hakupewa Hiyo ballon dor.
Kupewa ballon dor huwa inaangaliwa performance ya mchezaji mwaka mzima sio upige Vipenati kadhaa then Upewe tuzo.

Naomba nihitimishe majadiliano na wewe, sioni ukitoa hoja yoyote.
Zaidi ya kuniattack mimi.
Ahsante Ndugu "Mkongwe" katika mpira.
Jibu swali lipi kombe kubwa
 
Yaani kigezo kiwe kombe la Dunia tu?, HAKUNA mchezaji aliyeisaidia timu yake kuchua kombe la Dunia Kama Messi!!

Halland ana makombe 3 mkononi unakuja unaleta story za kombe la Dunia la kupewa asee!
Kombe la kupewa lile. Kila mtu aliona nini kinaendelea kwenye kombe la Dunia. Kombe lile lilikuwa ni sawa na mechi za Simba Ngao ya Jamii au Mechi na Singida kwenye uwanja wa LITI Singida.
 
Back
Top Bottom