Messi ndie most overrated Player ever

Messi ndie most overrated Player ever

Kwa kweli mambo yamekuwa ya siku nyingi sana mpaka yanakaribia kutapisha sasa.

Messi aliwezaje kushinda tuzo ya Man of The Match katika mechi ya fainali jana mbele ya Mbappe, Martinez au Di Maria?

Kwa kipi kilichomfanya awe mchezaji bora wa mashindano?

Vyombo vya habari vya Magharibi ni ovyo kabisa.

Na Watu tumekuwa hatuna tena uwezo wa kuchambua, tumekuwa tukiishi kwa kukaririshwa tu.

N.B (C. Ronaldo na Neymar nao ni wengine ambao wamekuwa wakibebwa kisiasa.)
C38F00C1-9BE1-4CBA-A94C-5A95104B0D5C.jpeg
C38F00C1-9BE1-4CBA-A94C-5A95104B0D5C.jpeg
Acha wivu
 
Kwa kweli mambo yamekuwa ya siku nyingi sana mpaka yanakaribia kutapisha sasa.

Messi aliwezaje kushinda tuzo ya Man of The Match katika mechi ya fainali jana mbele ya Mbappe, Martinez au Di Maria?

Kwa kipi kilichomfanya awe mchezaji bora wa mashindano?

Vyombo vya habari vya Magharibi ni ovyo kabisa.

Na Watu tumekuwa hatuna tena uwezo wa kuchambua, tumekuwa tukiishi kwa kukaririshwa tu.

N.B (C. Ronaldo na Neymar nao ni wengine ambao wamekuwa wakibebwa kisiasa.)
GOAT....
Na wewe angalau utawaambia wajukuu wako ulimuona jamaa laivu kwenye tv..
 
Jana mbappe kakinukisha na ni bonge la mchezaji... great future, still very young, alistahili yeye kuwa man of the match, hata man of the tournament. Nakumbuka kuna world cup final german vs argentina mesi alifunikwa vibaya na walifungwa ila yeye akapewa man of the tournament... hivyo hata jana mbappe alistahili licha ya kufungwa ila mtu kusema mafanikio ya messi kuwa messi ni overrated ni kipofu wa macho na kipofu wa akili ya kuchakata unachoona na kusikia... messi is GOAT, mbappe anaelekea huko pia...
 
Kwangu mimi katika kikosi cha Argentina, Di Maria alikuwa kwenye kiwango bora zaidi kuliko Messi

Mbappe huyu nilimzungumzia sana jana, huyu ni mchezaji wa kipekee sana ila kinacho mkosti hana fanbase ya kutosha
Di maria alisababisha penalty na akafunga goal.

alikuwa msumbufu sana jana. Sijui kocha aliwaza nn kumtoa mapema vile.

Bahati mbaya sana watu wote wamefumba macho sifa anapewa Messi 😥😥😥
 
Kwa kweli mambo yamekuwa ya siku nyingi sana mpaka yanakaribia kutapisha sasa.

Messi aliwezaje kushinda tuzo ya Man of The Match katika mechi ya fainali jana mbele ya Mbappe, Martinez au Di Maria?

Kwa kipi kilichomfanya awe mchezaji bora wa mashindano?

Vyombo vya habari vya Magharibi ni ovyo kabisa.

Na Watu tumekuwa hatuna tena uwezo wa kuchambua, tumekuwa tukiishi kwa kukaririshwa tu.

N.B (C. Ronaldo na Neymar nao ni wengine ambao wamekuwa wakibebwa kisiasa.)
Mchezaji bora wa mechi, halafu akachomesha kabisa na goli!!
 
Kwa kweli mambo yamekuwa ya siku nyingi sana mpaka yanakaribia kutapisha sasa.

Messi aliwezaje kushinda tuzo ya Man of The Match katika mechi ya fainali jana mbele ya Mbappe, Martinez au Di Maria?

Kwa kipi kilichomfanya awe mchezaji bora wa mashindano?

Vyombo vya habari vya Magharibi ni ovyo kabisa.

Na Watu tumekuwa hatuna tena uwezo wa kuchambua, tumekuwa tukiishi kwa kukaririshwa tu.

N.B (C. Ronaldo na Neymar nao ni wengine ambao wamekuwa wakibebwa kisiasa.)
Messi na Ronaldo ni brand za watu hapo watu wameshaingiza pesa zao tayari.
 
Kwan Messi Jana kachukua man of the match? Kama ni hivyo basi hayo ni mauzauza ila kwenye mchezaji bora wa mashindano kastahili
Kwa mapenalty yale kweli alistahili
 
Jana mbappe kakinukisha na ni bonge la mchezaji... great future, still very young, alistahili yeye kuwa man of the match, hata man of the tournament. Nakumbuka kuna world cup final german vs argentina mesi alifunikwa vibaya na walifungwa ila yeye akapewa man of the tournament... hivyo hata jana mbappe alistahili licha ya kufungwa ila mtu kusema mafanikio ya messi kuwa messi ni overrated ni kipofu wa macho na kipofu wa akili ya kuchakata unachoona na kusikia... messi is GOAT, mbappe anaelekea huko pia...
sasa 2014 ulitaka nani apewe?
 
Kwa kweli mambo yamekuwa ya siku nyingi sana mpaka yanakaribia kutapisha sasa.

Messi aliwezaje kushinda tuzo ya Man of The Match katika mechi ya fainali jana mbele ya Mbappe, Martinez au Di Maria?

Kwa kipi kilichomfanya awe mchezaji bora wa mashindano?

Vyombo vya habari vya Magharibi ni ovyo kabisa.

Na Watu tumekuwa hatuna tena uwezo wa kuchambua, tumekuwa tukiishi kwa kukaririshwa tu.

N.B (C. Ronaldo na Neymar nao ni wengine ambao wamekuwa wakibebwa kisiasa.)
Unawezaje kumfananisha Kijana wa Miaka 23 na kijana wa Miaka 35. Hata kama wangekuwa na vigezo sawa bado tungempa tu, si kwa kiwango kile alichocheza Kombe la Dunia 2022 ukilinganisha na umri aliokuwa nao hivi sasa.
 
Pele did it first

Ni kwa sababu tu ya teknolojia kukua hivyo vijana wa sasa mnaona mengi yafanywayo na wachezaji wa sasa.

Lakini mchezaji Abei Pele, mwenye asili ya Ghana amefanya mengi sana ambayo ndio imekuwa kiigizo kwa hawa nyota wa siku hizi.

Pitia video clip hii fupi angalau ujionee. View attachment 2451602
Kumbukeni zamani walikuwa wanahesabu mpaka magoli ya offside.
 
Kombe la dunia ni kwa ajili ya watu weupe, na bahati mbaya mbape si mmoja wao.

Kumpa nigger sijui man of the match, au golden boot wakati huu ambao ubaguzi umeshamiri kila nyanja ya maisha yetu, haiwezi kutokea.

Miaka miwili au mitatu iliyopita, TFF nayo ilimnyima mikison zawadi siyo kwa sababu hakustahili bali ni kwa sababu ya ubaguzi

acha mambo yako ya kiafrika, Hayo mambo huko majuu hayapo kabisa. acha kukariri.
 
Mbappe jana ndie alikua Best Player in the field tena by miles kabisa.
Imagine dogo kafunga magoli yote 3 kwa timu yake! Tena akifanya come back!! Amemtungua golikipa wao kwa jumla ya magoli 4 kwenye mchezo wa jana!!

Kwangu mimi, Kylian Mbape alistahili kabisa kuwa mchezaji bora, na pia mfungaji bora wa mashindano.
 
Back
Top Bottom