- Thread starter
- #101
Unawezaje kumfananisha Kijana wa Miaka 23 na kijana wa Miaka 35. Hata kama wangekuwa na vigezo sawa bado tungempa tu, si kwa kiwango kile alichocheza Kombe la Dunia 2022 ukilinganisha na umri aliokuwa nao hivi sasa.
kinacholinganishwa ni performance, Umri wao hauna nafasi ndani ya Uwanja.