United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Top score of all time kashinda kombe la Dunia mara tatuHizi habari za skills wachezaji wengi wanafanya. Mpaka wachezaji wanaocheza vilabu vya kawaida.
Kwa hiyo hoja za skills na dribling achana nazo.
Niambieni ni kitu gani Pele alifanya Messi hakukifanya.
Messi atwae WC 3 ndo ataongea lugha 1 na Pele.Mnaosema eti Pele ana Worldcup tatu. Mwaka 1962 Pele aliumia kwenye Mechi ya pili na kushindwa kumalizia tournament, akina Garincha wakaibeba timu mpaka kutwaa ndoo halafu unakuja hapa kumsifu kwa Worldcup Tatu?.
Messi katwaa Copa America na alikuwa mchezaji bora wa mashindano hayo!, Pele hajawahi kutwaa Copa America!.
Messi amekuwa mchezaji bora wa mashindano ya Worldcup mbili, ya mwaka 2014 na 2022 , Pele amekuwa mchezaji bora wa Worldcup ya mwaka 1970 tu.
Hamisheni magotu tu. G.O.A.T ni Messi. Hii debate ilifungwa tarehe 18.12.2022 saa 4 usiku. Baada ya King Messi kuisaidia Argentina kubeba kombe la dunia.
Maradona alikuwa akilinganishwa na Pele. Na Messi alikuwa akilinganishwa na CR7. Pele alipata kombe la dunia hali kadhalika Maradona. Mjadala ulikuwa mkali japo hulikuwa hakuna social media wakati huo.
Ndio maana mwaka 2000 fifa waliandaa kura za kumchagua mchezaji bora wa miaka 100 iliyopita. Kwenye matokeo Maradona aliibuka pale juu akimshinda pele. Kwenye kutoa tuzo fifa wakaigawa kwa wote, kitu ambacha maradona alikikataa.
Fifa walitoa sababu dhaifu na za kijinga eti pamoja na maradona kuibuka mshindi ni mtovu wa nidhamu na mla cocaine. Wakapewa tuzo wote wawili.
Ikaja kwa CR7 na king Messi. Walichuana kwa zaidi ya miaka kumi kwenye debate kukiwa na social media na vyombo kibao vya habari. Honesty hawa jamaa ukiwaangalia walikuwa fire wote tena sana. Cr7 anafunga, ana dribble, ana piga faulo ana piga penalt vitu ambavyo messi naye alikuwa na anafanya sawa sawa kama ronaldo.
Wote wana makombe. Yote ya mashindano waliyoshiriki. Ikaja kwa timu ya taifa. Cr7 akachukuwa Euro na Ureno. Zikaanza kelele. Oooh ronaldo ni zaidi ya Messi kwa kuwa tu kaipa ureno euro.
Messi akapambana thanks to shotstopper Emmy Martinez. Akapangua penalt 3 kwenye fainal ya copa america. Messi naye akasawazisha. Mjadala ukaendelea. Nani mkali.
Cr7. Umri ukaanza kumtupa. Akaanza kutoaminiwa tena. Kwa mara ya kwanza akaanza kuanzia bench. Akawa anapewa wakati mwingine dk3. Akahamia kuwa mpenzi wavyombo vya habari. Ambavyo vimeenda kuimaliza caree yake vibaya.
Wc hii Qatar ndio imevunja na kumaliza debate hii ambayo wewe mleta mada unataka kuiendeleza. Mjadala umefungwa jamani. Acheni chuki kwa king messi.
Hata fifa wakiandaa kura ya kumchagua mchezaji bora kwa muda wa mika 125 iliyopita utashaangaa. Matokeo yatakuwa hivi.
1. Messi
2. Maradona. Sababu alishamgaragaza pele.
3. Cr7
4. Pele
Hivi watu mnadhani kabla ya CR7 na Messi watu walikuwa wanacheza karata na hawachezi mpira ?Huyu nimemwona ni shabiki wa CR7 aka HATER [emoji23]
Ubora wa mchezaji unapimwa kwa social media ? unadhani hii ni Big Brother ? Leta dissections ya vitu sio nani ana wapenzi wengi ? Mambo gani yamefanyika na wakati gani....Hamisheni magotu tu. G.O.A.T ni Messi. Hii debate ilifungwa tarehe 18.12.2022 saa 4 usiku. Baada ya King Messi kuisaidia Argentina kubeba kombe la dunia.
Maradona alikuwa akilinganishwa na Pele. Na Messi alikuwa akilinganishwa na CR7. Pele alipata kombe la dunia hali kadhalika Maradona. Mjadala ulikuwa mkali japo hulikuwa hakuna social media wakati huo.
Ndio maana mwaka 2000 fifa waliandaa kura za kumchagua mchezaji bora wa miaka 100 iliyopita. Kwenye matokeo Maradona aliibuka pale juu akimshinda pele. Kwenye kutoa tuzo fifa wakaigawa kwa wote, kitu ambacha maradona alikikataa.
Fifa walitoa sababu dhaifu na za kijinga eti pamoja na maradona kuibuka mshindi ni mtovu wa nidhamu na mla cocaine. Wakapewa tuzo wote wawili.
Ikaja kwa CR7 na king Messi. Walichuana kwa zaidi ya miaka kumi kwenye debate kukiwa na social media na vyombo kibao vya habari. Honesty hawa jamaa ukiwaangalia walikuwa fire wote tena sana. Cr7 anafunga, ana dribble, ana piga faulo ana piga penalt vitu ambavyo messi naye alikuwa na anafanya sawa sawa kama ronaldo.
Wote wana makombe. Yote ya mashindano waliyoshiriki. Ikaja kwa timu ya taifa. Cr7 akachukuwa Euro na Ureno. Zikaanza kelele. Oooh ronaldo ni zaidi ya Messi kwa kuwa tu kaipa ureno euro.
Messi akapambana thanks to shotstopper Emmy Martinez. Akapangua penalt 3 kwenye fainal ya copa america. Messi naye akasawazisha. Mjadala ukaendelea. Nani mkali.
Cr7. Umri ukaanza kumtupa. Akaanza kutoaminiwa tena. Kwa mara ya kwanza akaanza kuanzia bench. Akawa anapewa wakati mwingine dk3. Akahamia kuwa mpenzi wavyombo vya habari. Ambavyo vimeenda kuimaliza caree yake vibaya.
Wc hii Qatar ndio imevunja na kumaliza debate hii ambayo wewe mleta mada unataka kuiendeleza. Mjadala umefungwa jamani. Acheni chuki kwa king messi.
Hata fifa wakiandaa kura ya kumchagua mchezaji bora kwa muda wa mika 125 iliyopita utashaangaa. Matokeo yatakuwa hivi.
1. Messi
2. Maradona. Sababu alishamgaragaza pele.
3. Cr7
4. Pele
Messi ana goli la mkono, thierry Henry ana assist ya mkonoMtu anakuja kukuambia eti "enzi hizo mpira ulikua mgumu". Hebu tuheshimiane asee!
Kipindi ambacho akina Maradona walichukua ndoo kwa goli lililofungwa kwa mkono ndio mpira ulikua mgumu? Kipindi ambacho hakuna VAR, wala idadi kubwa ya mashindano ndio mpira ulikua mgumu? Acheni porojo.
Huu ndio wakati bora kabisa wa mchezo wa mpira, kwa sababu probability ya kufanya udanganyifu ni ndogo sana. Teknolojia imeweka mambo mengi sawa, yani hata ukizidi nywele tu watu wanajua hiyo ni offside, na hupewi goli.
Huwezi kufunga goli kwa mkono katika zama hizi za V.A.R alafu likahesabika!
Watu wanacheza ligi ina mechi 30, wanapiga sijui Carrabao cup, wanapiga FA cup, wanapiga UEFA na wengine EUROPA. Hapo bado michezo ya kimataifa inawasubiri, na kote huko teknolojia ipo kuhakikisha hakuna udanganyifu. Hakuna kitu utaniambia kuhusu mpira wa zamani nikakuelewa!
Messi is the GOAT. That's what the numbers say. And last time I checked, numbers didn't lie!
Hayo ni mambo ya kisiasa, hata Messi serikali yao ikiamua kucheza politics inaweza kumtangaza ni hazina ya Taifa. Si tunasikia wanataka kuweka sura yake kwenye pesa?Pele ilifika hatua raisi akamdeclare as national treasury, ndio maana hakuuzwa kwenda ulaya.. Alikuwa ni kama pembe za ndovu au meno ya simba.
Pele kacheza kipindi kigumu jamani, tafuteni video zake watu wanachapa kisawa sawa, hakuna redcard
Tofautisha kati ya kupata na kufanya.Top score of all time kashinda kombe la Dunia mara tatu
Seriously ?Hizi habari za skills wachezaji wengi wanafanya. Mpaka wachezaji wanaocheza vilabu vya kawaida.
Kwa hiyo hoja za skills na dribling achana nazo.
Niambieni ni kitu gani Pele alifanya Messi hakukifanya.
kufunga Goli zaidi ya 1000 ni kupata sio kufanya izo Goli 1000 alienda FIFA akaambiwa chukua hizo Goli 1000 alifikisha Goli 1000 Kwa kufanya manaa yake alitenda aliingia uwanjani akacheza akafunga Goli zikafika 1000Tofautisha kati ya kupata na kufanya.
Fuatilia mambo kabla haujasema, Kipindi Pele yupo Peak Brazil kulikuwa na fukutu la Kisiasa kwa sababu Pele aliunganisha watu na Timu zote za ulaya zilikuwa zinamtaka Pele Rais wa kipindi hicho akapeleka hoja haraka haraka Bungeni ili Pele asiondoke na watu waendelee kumfaidi na sio kufuatilia Siasa za nchi....Hayo ni mambo ya kisiasa, hata Messi serikali yao ikiamua kucheza politics inaweza kumtangaza ni hazina ya Taifa. Si tunasikia wanataka kuweka sura yake kwenye pesa?
Kama ungekuwa mtihani na mimi ni mwalimu wako ningekupa alama 0. Sababu swali nililokuuliza umetoa majibu ya ajabu.Seriously ?
Ngoja nikupe stats ambao wote wamecheza...
Pele alicheza world cup nne tu ( I repeat NNE) na katika hizo nne 1958 akiwa na miaka 17 aliingia na kufunga(record ambayo haijavunjwa na hapo mechi za mwanzo alikuwa bench- unajua tena kuwa rangi nyeusi wakati huo) kijana aliwasaidia Brazil kuchukua kombe na Goli lake fainali angainst Sweden la kwanza kati ya mawili ili-involve kumdash mchezaji wa kwanza (left for dead) wa pili kupigwa kanzu na kufunga bao...
1962 akacheza mechi mbili ya kwanza against Mexico akafunga bao la pili pamoja na kupigwa kiatu cha kutosha, mechi ya pili na wa-Czech akapigwa kiatu mpaka akashindwa kucheza mechi nyingine....
1966 waingereza na figisu zao alipigwa kiatu game ya kwanza cha kutosha against portugal wakammaliza kabisa hadi akasema ana-retire mpira kutokana na kwamba alikuwa target ya watu kumuondoa (kipindi hicho chote hakuna red/yellow cards)
1970 FIFA waka-introduce Yellow / Red Card Pele akarudi na kuchukua ndoo nyingine....
Messi kacheza world cup mechi nyingi zaidi katika world cup anazidiwa na mtu mmoja tu hapa duniani..., na katika hizo ingawa ameshiriki fainali mara mbili ameshinda moja...
Kwahio hapo unaweza kuona nani ni clinical na when push comes to shove who bottles it..., na katika hizo mechi alizocheza kuna ku-miss matuta
Ndio ikaja point yangu kuu kipindi hiki striker / anaweza kucheza mechi nyingi zaidi kipindi hiki ni rahisi kuliko kipindi cha kina Pele (Football imekuwa non contact sport) yaani mtu anapiga vyenga unamuangalia na kumpuliza puliza zamani yeye na mpira angejikuta kwenye chaki...
Nakwambia Rais wa wakati huo kisiasa alikuwa na hali mbaya, ili kujipa kiki kwa wananchi akafanya move hiyo maana Wabrazili wanapenda mpira sana na walimkubali Pele. Lakini hayo ni mambo internal ya nchi, ni kama sisi tulivyowahi kumuweka kwenye Stempu Jellah Mtagwa baada ya Tanzania kufuzu kucheza kombe la AFCON mwaka 1980Fuatilia mambo kabla haujasema, Kipindi Pele yupo Peak Brazil kulikuwa na fukutu la Kisiasa kwa sababu Pele aliunganisha watu na Timu zote za ulaya zilikuwa zinamtaka Pele Rais wa kipindi hicho akapeleka hoja haraka haraka Bungeni ili Pele asiondoke na watu waendelee kumfaidi na sio kufuatilia Siasa za nchi....
Pele alikuwa na impact kwa watu wengi bila Joao Havelange kutembea na Pele mpaka Africa huenda asingepata kura na kuwa Rais pekee wa Fifa ambae hatoki bara la Ulaya na ulaya wangeendelea kufanyia figisu mataifa mengine..., Pele alifika Nigeria kwenye exhibition match na walivyosikia the King atakuwa anacheza wakapatana waache kupigana kwa masaa 24 ili wakamwangalie the King...
We hujawahi kusikia kuwa Fifa ilimgeuza pele kuwa chombo chao cha propaganda? Hizi shutuma zisemwa sana.Fuatilia mambo kabla haujasema, Kipindi Pele yupo Peak Brazil kulikuwa na fukutu la Kisiasa kwa sababu Pele aliunganisha watu na Timu zote za ulaya zilikuwa zinamtaka Pele Rais wa kipindi hicho akapeleka hoja haraka haraka Bungeni ili Pele asiondoke na watu waendelee kumfaidi na sio kufuatilia Siasa za nchi....
Pele alikuwa na impact kwa watu wengi bila Joao Havelange kutembea na Pele mpaka Africa huenda asingepata kura na kuwa Rais pekee wa Fifa ambae hatoki bara la Ulaya na ulaya wangeendelea kufanyia figisu mataifa mengine..., Pele alifika Nigeria kwenye exhibition match na walivyosikia the King atakuwa anacheza wakapatana waache kupigana kwa masaa 24 ili wakamwangalie the King...
Wanaoongelea mpira sababu ya social media waache waendelee kuongea ukisoma post yangu ya mwanzo kabisa nimesema football is a game of opinions na hilo sikatai mimi ukiniambia wachezaji wakali duniani naweza kumtaja Andre Pirlo, the guy has footballing brain..., wala sitashangaa watu wanaopenda entertainers, au waliompenda OCD kutokana na uchezaji wake wa akili au Samli Ayoub kutokana na Ustaarabu wake wakati ni beki..., its all about Opinions wala haikatazwi.... Na wakati watu walikuwa wanaangalia Galacticos kina Zidanne na Roberto Carlos mimi nilikuwa naangalia umuhimu wa Makelele bila yeye timu inakosa balance wakati wengine wanafanya fancy stuff yeye anaprovide safety...Unakataa nguvu za social media wakati sasa hivi tunawalinganisha hapa jukwaani. Kwani hizo debate za messi na cr7 nani mkali zinafanyika wapi. Uwanjani?
Kama unafuata mchezaji bora kwa kura kama za urais hio ni prerogative yenu, lazima kizazi ambacho kipo current kichagua mtu ambaye yupo current sababu ndio wamemuona na kukua nae; ila footballing people tunakwenda deep..., Sasa baada ya kuja Kwamba Messi ni bora kwa miaka yote ndio likaja swali Pele vipi ? Ooh Pele kipindi kile kulikuwa hakuna sheria, mara kulikuwa offside (hizi zote ni story za kwenye Gahawa..., Na mimi kama mpenzi wa soka ninasaidia kuchambua makapi kwenye ukweli hayo mengine ya mapenzi ya fulani au nani ninawaachia nyie na social media zenuKwanza mjadala mnahamisha. Messi hajawahi kulinganishwa na pele. Pele alilinganishwa na maradona thats why wakapigiwa kura kwenye ile ya kumpata mchezaji bora wa karne.
Hii ya kumfananisha Pele na Messi inakuja baada nyie mashabiki wa cr7 kuona sasa hamna namna. Ndio mnakimbilia kuanzisha mijadada kama hii kujifariji.
Messi top ya wote waliowahi kucheza soka dunia hii.
Kwahio ?We hujawahi kusikia kuwa Fifa ilimgeuza pele kuwa chombo chao cha propaganda? Hizi shutuma zisemwa sana.