Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
Kufunga bao ukiwa mdogo ndo rekodi inayokufanya uwe GOAT? [emoji23][emoji23][emoji23]Wewe una matatizo makubwa si haba..., Brazil alikuwa kwenye Peak kwa kuchukua vikombe ndio na wale wote ambao alikuwa anacheza nao hawakuwa vibonde, kwa nafasi zao ambao pia alikutana nao kwenye ligi za nyumbani na bado Santos kufanya mambo....
Unasema Pele hakufanya nini ? Kafuatilia 1958 alifanya nini; 62 alicheza game mbili sababu walijua kinara ni nani na katika mbili moja alifunga; kafuatilia 1966 kwanini Brazil hata haikuvuka makundi na Pele alifanywa nini ?, Kafuatilia 1970 alivyorudi alifanya nini hizo ni world cup za kufuatana..., alafu kacheki Messi amecheza World Cup ngapi na amefanya nini na hizo world cup alikuwa na kina nani (yaani benchi la argentina tu ungeweza kuzipa timu za Afrika na hata kuwakopa England strikers kadhaa) na bado chenji ikabaki kina Saviola, Tevez, De Maria; Juan Riqueleme wote ni Wa-Argentina ujue...
Tafuta historia ya Kombe la dunia 1958 na 1970 google tu wala usihofu; Maradona 1986 alifanya mambo sawa ila ilichangiwa na Games kuwa televised world wide hence watu wengi kuangalia na kwa kuwafunga England na Media zao hence more promotion.... bila kusahau Hand of God na kwamba Diego ni a Character (machachari)
Again kabla ya kujibu fanya research ni kwamba 1958 kina Pele kwanza akiwa African, na pili Bwana mdogo game mbili za mwanzo hakucheza Kocha akawa-convinced na kocha mwingine game linalofuata aanze na kina Pele (yaani hatua za makundi) Pele alivyingia game ya tatu / Sio Robo !!! Game ya Tatu akatoa pande la goli, Mechi iliyofuata akafunga only goal yaani in short bila Pele hata makundi wasingetoboa.... kwahio kwa point yako hapo juu inaonyesha hata Data hauna na ungekuwa nazo huenda tusingepotezeana muda mpaka sasa
Aisee againa fanya research alicheza mechi ya kwanza na kufunga bao na kuwa-incenerate Mexico hio ni 1962 baada ya 1958 kufanya mambo na timu walivyoona hivyo kiatu kikatembezwa mechi ya pili akaumizwa sasa asichukue kombe lile goli dhidi ya Mexico ulifunga wewe ? kuna watu wanachukua Kombe hawajafunga game hata moja au utasema De Maria asipewe medali wakati ni kazi yake nzuri ndio ilifanya Argentina mpaka half time wawe mbele ?
Rudia kufuata History 1966 Pele bado alikuwa kwenye Peak na kwa timu kujua hilo Bulgaria na Portugal walimpiga kiatu hadi akashindwa kuendelea game la pili na bila hivyo Brazil wangechukua hii ndoo tena na Pele angekuwa na ndoo nne...
Individual Brilliance ? Fuatilia what happened 1958, 1966 na 1970..., au ni wewe ndio ulikuwa kijana mdogo kuliko wote mpaka sasa kufunga bao Kombe la Dunia ? Yaani Sweden walikuwa kwao na Ubaguzi wao walishindwa hadi kuanza kumshabikia Pele ingawa ni Timu Pinzani..., Yaani hadi King akashuka na kumpa mkono..., kuwa kwake Global Brand hadi Cosmos wakambembeleza aende kutangaza Soccer; Bila yeye huenda Joao Havelenge asingekuwa Fifa President na mpaka leo Europe ingekuwa na Timu zote sisi huku mabara mengine tuna timu za kuokoteleza...
Dogo acha kuleta masihara....
Nimepotezea hoja zako nyingine maana nimeona hakuna hoja zaidi ya ileile ya kiatu wakati hakuna rekodi ya Pele kupigwa kiatu kuliko wengine hata kwenye mechi moja tu maana rekodi ya kupigwa kiatu anayo Maradona sasa huyo pele alichezewa rafu ngapi ndugu yangu!?
Mwaka 1970 CUBILLA alichezewa rafu nyingi zaidi ya mchezaji yeyote huyo Pele rekodi yake iko wapi kama yeye ndo unajifichia eti alipigwa viatu vingi zaidi?
Mimi nahitaji unioneshe kipi ambacho Pele anamzidi Messi la sivyo tutabaki na MESSI as a GOAT