Mesut Ozil kafanyaje?

Mesut Ozil kafanyaje?

kiukweli sisi wakistro ni wabaguzi na tuna visasi kuliko waislam, Ozil anaadhibiwa kwa kutetea hadharan haki za waislam, Ronaldo 'C7' alifurushwa real Madrid na kuuzwa Italy kwa kutamka tu kuwa hafurahishwi na jinsi waisrael wanavyo watendea wapalestians ……..
Acha kuleta udini na kuilaumu dini kwenye hii issue.
Kuna matatizo Kati ya serikali ya China na waislamu. Sasa ozil alipojaribu kuwasemea wale waislamu serikali ya China ilikasirika na wakachukua maamuzi ya kuiadhibu arsenal kwa kufanya mambo haya matatu

1) mechi yao iliyokuwa inafuatia ( vs city) ikafutwa na pia mechi zote zilizofuatia zinazoihusu arsenal zikafutwa

2)Kuna mikataba Kati ya arsenal na makampuni mbalimbali ya china. Sasa mikata hiyo ilikuwa mbioni kufutwa kwasababu ya swala la ozil

3) arsenal wanamiliki migahawa mingi huko china. Migahawa hiyo ikawa mbioni kufungwa kutokana na swala la ozil

Baada ya haya mambo matatu Uongozi wa arsenal ukaamua kuchukua hatua ambazo tunaziona leo

Lakini ninachojiuliza Ni kwanini arsenal wasivunje mkataba wa ozil ili waepukane moja kwa moja na matatizo haya, lakini pia kumruhusu ozil kwenda sehemu nyingine
 
KUNA JAMAA KAELEZA YOTE BA SABABU NAHISI MOD UNGEFUNGA TUHUU UZI
AMEKULA ALICHOPANDA
UJINGA ATUTAKI ALIHISI MSHAHARA TUNAUNYA NDIO ACHEKE AJESHIMU
 
Acha kuleta udini na kuilaumu dini kwenye hii issue.
Kuna matatizo Kati ya serikali ya China na waislamu. Sasa ozil alipojaribu kuwasemea wale waislamu serikali ya China ilikasirika na wakachukua maamuzi ya kuiadhibu arsenal kwa kufanya mambo haya matatu

1) mechi yao iliyokuwa inafuatia ( vs city) ikafutwa na pia mechi zote zilizofuatia zinazoihusu arsenal zikafutwa

2)Kuna mikataba Kati ya arsenal na makampuni mbalimbali ya china. Sasa mikata hiyo ilikuwa mbioni kufutwa kwasababu ya swala la ozil

3) arsenal wanamiliki migahawa mingi huko china. Migahawa hiyo ikawa mbioni kufungwa kutokana na swala la ozil

Baada ya haya mambo matatu Uongozi wa arsenal ukaamua kuchukua hatua ambazo tunaziona leo

Lakini ninachojiuliza Ni kwanini arsenal wasivunje mkataba wa ozil ili waepukane moja kwa moja na matatizo haya, lakini pia kumruhusu ozil kwenda sehemu nyingine
Mkatabaaawakee kuvunjaa nyokooo mpwaa balaaaa wachaa abakii na VIJANA mpaka amalizee hukoo hatareee alijipanga kwenye mkataba
 
kiukweli sisi wakistro ni wabaguzi na tuna visasi kuliko waislam, Ozil anaadhibiwa kwa kutetea hadharan haki za waislam, Ronaldo 'C7' alifurushwa real Madrid na kuuzwa Italy kwa kutamka tu kuwa hafurahishwi na jinsi waisrael wanavyo watendea wapalestians ……..
Hao Waisrael na hao Wachina sio Wakristo mkuu.
 
Sina uhakika ila naamini kabisa kua issue inaweza kua ni kwa kutetea haki za wale waislamu wanaoteseka kule China,maana Mchina alipiga mkwala kua kila mechi atakayocheza Ozil wao hawataionyesha kule kwao,na mambo ya Advertisement kwa Ozil,kifupi alichanganya Dini,Siasa pamoja na soka,

Hata national team ya Ujerumani aliondolewa baada ya ile issue yake na raisi wa Uturuki Recey tayyip Erdogan,ikumbukwe kua Ozil ni Mjerumani mwenye asili ya Uturuki.
Ukweli ni kwa sababu anatetea waislam wanaoteswa. Lakini ingekuwa wengine Dunia nzima ingelimsapoti. Wale waislam wa china wanaoteswa ingekuwa wa dini nyengine dunia ingesapoti, ingekuwa mashoga wale basi dunia ingesapoti lakini kwa sababu ni waislam, imekuwa anachanganya dini, siasa na mpira 😀
 
Lakini ninachojiuliza Ni kwanini arsenal wasivunje mkataba wa ozil ili waepukane moja kwa moja na matatizo haya, lakini pia kumruhusu ozil kwenda sehemu nyingine



Umeelezea vzr ila kuna changamoto nyengine. Ozil hauziki coz Timu nyingi zinakwepa ile salary package yake.
Acha kuleta udini na kuilaumu dini kwenye hii issue.
Kuna matatizo Kati ya serikali ya China na waislamu. Sasa ozil alipojaribu kuwasemea wale waislamu serikali ya China ilikasirika na wakachukua maamuzi ya kuiadhibu arsenal kwa kufanya mambo haya matatu

1) mechi yao iliyokuwa inafuatia ( vs city) ikafutwa na pia mechi zote zilizofuatia zinazoihusu arsenal zikafutwa

2)Kuna mikataba Kati ya arsenal na makampuni mbalimbali ya china. Sasa mikata hiyo ilikuwa mbioni kufutwa kwasababu ya swala la ozil

3) arsenal wanamiliki migahawa mingi huko china. Migahawa hiyo ikawa mbioni kufungwa kutokana na swala la ozil

Baada ya haya mambo matatu Uongozi wa arsenal ukaamua kuchukua hatua ambazo tunaziona leo

Lakini ninachojiuliza Ni kwanini arsenal wasivunje mkataba wa ozil ili waepukane moja kwa moja na matatizo haya, lakini pia kumruhusu ozil kwenda sehemu nyingine
 
ozil huko alipoingia siko kabisa
na sio epl wala arsenal watakua upande wake
 
kiukweli sisi wakistro ni wabaguzi na tuna visasi vikali kuliko waislam, Ozil anaadhibiwa kwa kutetea hadharan haki za waislam, Ronaldo 'C7' alifurushwa real Madrid na kuuzwa Italy kwa kutamka tu kuwa hafurahishwi na jinsi waisrael wanavyo watendea wapalestina na hapo alifichua internal feelings zake ambazo ki ukweli wakistro wengi tunazo dhini ya Israel……..
Kule kwa asilimia kubwa ni dini ya Kiyahudi, uislam ni wa pili, Ukristu ni wa tatu afu kuna dini za nyingine ndogo ndogo. Sioni uhusika wa nchi za Kikristu hapa.
 
Sina uhakika ila naamini kabisa kua issue inaweza kua ni kwa kutetea haki za wale waislamu wanaoteseka kule China,maana Mchina alipiga mkwala kua kila mechi atakayocheza Ozil wao hawataionyesha kule kwao,na mambo ya Advertisement kwa Ozil,kifupi alichanganya Dini,Siasa pamoja na soka,

Hata national team ya Ujerumani aliondolewa baada ya ile issue yake na raisi wa Uturuki Recey tayyip Erdogan,ikumbukwe kua Ozil ni Mjerumani mwenye asili ya Uturuki.
Inawezekana pia kuwa sababu maana alikasirisha wadau wengi na ile Kauli yake ya kulaani unyanyasaji wa waislamu wa Uighur huko China.

Poa Inasemekana kuna kipindi alikataa kuvaa badge ya captain yenye rangi za rainbow kama kusapoti agendas za LGBT ni moja ya sababu ya yanayomkuta sasa
 
Lakini ninachojiuliza Ni kwanini arsenal wasivunje mkataba wa ozil ili waepukane moja kwa moja na matatizo haya, lakini pia kumruhusu ozil kwenda sehemu nyingine



Umeelezea vzr ila kuna changamoto nyengine. Ozil hauziki coz Timu nyingi zinakwepa ile salary package yake.
Arsenal nao pia wanamuhitaji Ozil Vile vile, sina data za 2020 ila mpaka mwishoni mwa mwaka jana Ozil ndio alikuwa anaongoza Mauzo ya Jezi, Alimpita mpaka Auba. Hivyo hata kama Hachezi anawaingizia Arsenal mpunga Mrefu.
 
kiukweli sisi wakistro ni wabaguzi na tuna visasi vikali kuliko waislam, Ozil anaadhibiwa kwa kutetea hadharan haki za waislam, Ronaldo 'C7' alifurushwa real Madrid na kuuzwa Italy kwa kutamka tu kuwa hafurahishwi na jinsi waisrael wanavyo watendea wapalestina na hapo alifichua internal feelings zake ambazo ki ukweli wakistro wengi tunazo dhini ya Israel……..
Duuu ndio Mana Plato hakupenda sanaa demokarsia Mana inatoa Uhuru Wa watu kuongea chochote anachojisikia kama hivi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiukweli sisi wakistro ni wabaguzi na tuna visasi vikali kuliko waislam, Ozil anaadhibiwa kwa kutetea hadharan haki za waislam, Ronaldo 'C7' alifurushwa real Madrid na kuuzwa Italy kwa kutamka tu kuwa hafurahishwi na jinsi waisrael wanavyo watendea wapalestina na hapo alifichua internal feelings zake ambazo ki ukweli wakistro wengi tunazo dhini ya Israel……..
Hizi story imezitoa wapi
 
Ozil katema sumu
IMG_20201024_102104_222.JPG
 
Huyo dogo dini itamuharibia carriar yake ajitathimini kauli za udini kwa waislam China imepelekea timu ya arsenal kupata air time kwenye media.
 
Acha uongo wewe Wachina siyo Wakristo ishu ya Ozil ni wachina ndo wamei blackmail Arsenal... na Waislael siyo Wakristo na Ronaldo hajafukuzwa kwa swala hilo...acha uongo.

Unapata ujasiri wa kuandika vitu vya uongo? huoni aibu?
Umeguswa pambaya.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mshkaji alianza dharau kwa kuwa anapokea mpunga mrefu zaidi ya wachezaji wote. Inasemekana alikuwa pia hahudhurii online meetings za wachezaji. Yaani anamzidi mshahara hadi Arteta kwa mbali sana.

Huenda aligoma pia kuwa loaned out pamoja na kukataa pay cut.

Ila adhabu wanayompa ni kubwa sana.
Uwongo huo[emoji849][emoji1787]
 
Sasa hapo mzee mwenzangu ukristo umeingiaje mana wachina hata dini hawana hapa naona umeamua kutumia hisia zako binafsi
Kwahiyo unyanyasaji wa uislamu hauwi unyanyasaji mpaka ufanywe na mkristo
???
 
Back
Top Bottom