META imezifunga kurasa zote za Mange Kimambi

META imezifunga kurasa zote za Mange Kimambi

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Mwana dada machachari mitandaoni anayejulikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.

Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
 
Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.

Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
So what ?
 
Round hii Mange aje na ID asiyojulikana ili apate wafuasi ila shida inakuja hagopata wafuasi kama watu hawatojua ni MANGE.

lakini anaweza jikita kwenye content ili apatr real followers wanaofata content na sio UMBEA.

Atunz3 ndoa tu sasa ndio kazi haez fungiwa au katazwa
 
Duh!kizimkazi anamkono marefu sana.Meta Kawapigia simu kama anavyowapigia mahakimu namna ya kuamua kesi? Hatari sana hii nchi
Actualy wasichujua watu, kwenye terms and condition za meta , kuna kifungu ambacho kinatoa nafasi ya goverments kutoa taarifa kama inazushiwa uwongo. And wao wakidhibitisha wanafunga

Most of people hawasomi term and condition
 
Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.

Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.

Beberu alivyokuwa muumini wa haki, uhuru na demokrasia mbona ni suala la muda tu?
 
Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.

Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Hatimae wenye akili wameelewa ingawaje wamechukua muda mrefu sana kumfungia aisee.
 
Back
Top Bottom