Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Wanaopenda umbea na mambo ya hovyo hawapo X, atakosa wafuasi huko.META hakuna uhuru sana kama X , ahamishie makazi X kule uhuru upo wa kutosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaopenda umbea na mambo ya hovyo hawapo X, atakosa wafuasi huko.META hakuna uhuru sana kama X , ahamishie makazi X kule uhuru upo wa kutosha.
Hapa mkuu kuna uzembe wa watu wote wawili, Victims na connector.
Watu wanafanya ujinga bt wapo makini, Especially ukiwa celebrity ndo unatakiwa kuwa makini zaid kusiwe na loopholes.
Victim akiweza kulinda privacy yake bas nothing will happen.
Huyo Maria Sarungi wako alishakimbia nchi yetu. Akakimbilia nchi moja ya huko ughaibuni. Akaukana uraia wa Tanzania ili kupata uraia wa hiyo nchi ya ughaibuni. Hivyo si raia tena wa Tanzania. Iweje awe na mandate wa ku expose madudu ya nchi yetu (kama yapo)? Yana muhusu nini madudu yetu huyo mkimbizi? Si ajaribu ku expose madudu ya nchi alikokimbilia aone moto utakavyoyaunguza maka..... yake? Shame on her?
Tatizo lake kuu ni matusi tu !
Kama akipona huo Ugonjwa wa Akili, Mange ana kipaji cha Uanaharakati !
Hatari sana !mwendawazimu hapoi mkuu
Kuna kipindi alipiga pesa hadi 700M kwa mara mojaUmbea kama content (kwake), ndio inamfanya ajulikane na kupara followers walio wengi, na wengine hulipia kabisa huo umbea, kupitia app yake. Umbea kwake ni biashara na inamlipa vilivyo.
Anafurahia anguko la watu wengineAna roho ya kinyama sana yule dem,ile ubepari ni unyama ya nyerere ndiyo imeonekana kwake,anachojali hela tu,wewe ndoa ikivunjika, heshima vunjika,ukijinyonga utajua mwenyewe
Huoni maendeleo humu nchini wewe?? M.a.t.k.o yakoWapuuzi wakubwa nyie, tumieni hizo nguvu kuwaletea maendeleo watanzania
Akufanyie siasa wewe na pumb... Zako mbili unazirusha rusha halafu ale mawe?shida ya mange anajiamini mno wakati hajashika mpini. watu siku hizi wamehamia kwa maria sarungi, hana connections yeye ni siasa tu.