META imezifunga kurasa zote za Mange Kimambi

META imezifunga kurasa zote za Mange Kimambi

Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.

Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Aisee
 
Yule ni mpare, ataenda mahakamani
Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.

Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Tunaposema Serikali Ina mkono mrefu iwe munatuelewa.
 
Hii ya Samia kutaka kumfanya mtoto wake mkuu wa majeshi nilivyoona watu wanaamini nilishangaa sana maana ni jambo lisilo wezekana labda huyo mtoto wake angekua tayari yupo ndani ya jeshi na siyo sahivi kwa miaka aliyobakiza madarakani kashachelewa hiyo plan haifanyi kazi
Mazombie mengi nchi hii
 
Kweli mkuu upo sahii,Kama angekua anafichua maovu ya serikali tu,ingekua poa..ila kuingilia Faragha za watu sio jambo Jema...
Hapa mkuu kuna uzembe wa watu wote wawili, Victims na connector.

Watu wanafanya ujinga bt wapo makini, Especially ukiwa celebrity ndo unatakiwa kuwa makini zaid kusiwe na loopholes.

Victim akiweza kulinda privacy yake bas nothing will happen.
 
Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.

Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Second amendment
 
Maria Sarungi naye afungiwe pamoja na yule anayejiita Kigogo 2014 ili nchi itulie. Hawa wanachafua nchi yetu mbele ya mataifa mengine. Hakuna nchi hapa duniani inayoruhusu mambo wanayotenda hawa watu ambao kwanza hawaishi hapa Tanzania. Ni puppets wanaotakiwa kukamatwa na kushughulikiwa kwa mjibu wa sheria zetu.
 
Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.

Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Ngoja afunguliwe aje kumalizana na kijani chenu
 
Back
Top Bottom