huyu dada ni mgonjwa wa akili, eti anakomboa taifa huwa anajiona ni mtu muhimu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ana matusi sana na kutweza utu wa watu.
AiseeMwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.
Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kimezidi matusi hicho ki tajiri cha mifupa
Kwenye elimu mkuu katuzidi Mimi na wewe ana masters degree kasoma mtoni na UAE,kafanya kazi Mashirika Makubwa Huko Gulf..Basi tu akili yake mbaya
Yule ni mpare, ataenda mahakamani
Tunaposema Serikali Ina mkono mrefu iwe munatuelewa.Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.
Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Anatukana kwa mdomo au anatukana kwa key board!Yule naye bhana, hata kama humpendi mtu, huwezi kumsema na kumtukana matusi ya nguoni, bora afungiwe tu
Midomo yake imejaa matusi
Kwamba kesi ya kuku wanauza Ng'ombe ili washindeYule ni mpare, ataenda mahakamani
Mazombie mengi nchi hiiHii ya Samia kutaka kumfanya mtoto wake mkuu wa majeshi nilivyoona watu wanaamini nilishangaa sana maana ni jambo lisilo wezekana labda huyo mtoto wake angekua tayari yupo ndani ya jeshi na siyo sahivi kwa miaka aliyobakiza madarakani kashachelewa hiyo plan haifanyi kazi
Hizi za Kisutu?Yule ni mpare, ataenda mahakamani
Unaijua u turn?mimi tangu amekuwa mwana mipasho na muumini wa picha za utupu hata simuelewi wamfungie milele
Kivipi? Kwa mfano wewe si ni kabila moja na james delicious kwa vile ana””””wa na wewe unsliwa?Duuu ni aibu Kwa wapare wote
Hapa mkuu kuna uzembe wa watu wote wawili, Victims na connector.Kweli mkuu upo sahii,Kama angekua anafichua maovu ya serikali tu,ingekua poa..ila kuingilia Faragha za watu sio jambo Jema...
Second amendmentMwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.
Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Wasafishwe puppets wa ndani kwanza waliojikita maeneo nyeti! China ilifanikiwa kuwaondoa ma puppets wa Intel za kigeni. Na China ikatulia.puppets wanaotakiwa
Ngoja afunguliwe aje kumalizana na kijani chenuMwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.
Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.