META imezifunga kurasa zote za Mange Kimambi

META imezifunga kurasa zote za Mange Kimambi

Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.

Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
hata hivyo alishapoteza mvuto. sasaivi Maria sarungi ndio dada wa taifa. wameona anatengeneza mpunga bila wao kufaidika. na hata x watamfurumua tu.
 
Round hii Mange aje na ID asiyojulikana ili apate wafuasi ila shida inakuja hagopata wafuasi kama watu hawatojua ni MANGE.

lakini anaweza jikita kwenye content ili apatr real followers wanaofata content na sio UMBEA.

Atunz3 ndoa tu sasa ndio kazi haez fungiwa au katazwa
Ndoa ipi? Yule mzungu wake alishatoka mbio, ule mdomo nani atauweza? Labda mume mzaramo.
 
Round hii Mange aje na ID asiyojulikana ili apate wafuasi ila shida inakuja hagopata wafuasi kama watu hawatojua ni MANGE.

lakini anaweza jikita kwenye content ili apatr real followers wanaofata content na sio UMBEA.

Atunz3 ndoa tu sasa ndio kazi haez fungiwa au katazwa
mimi tangu amekuwa mwana mipasho na muumini wa picha za utupu hata simuelewi wamfungie milele
 
Acha kujidanganya Mangi
Acha ubishi wa kijinga ww boya 🤣🤣🤣
IMG-20241012-WA0038.jpg

IMG-20241012-WA0039.jpg
 
Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.

Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Safi...
 
shida ya mange anajiamini mno wakati hajashika mpini. watu siku hizi wamehamia kwa maria sarungi, hana connections yeye ni siasa tu.
 
Duh!kizimkazi anamkono marefu sana.Meta Kawapigia simu kama anavyowapigia mahakimu namna ya kuamua kesi? Hatari sana hii nchi
Walimfungia account moja ya Instagram akawapeleka mahakamani akawashinda na kuamriwa wamlipe $1200 na gharama za kesi.
Sasa wamekasirika wamemfungia account zake zote,lakini mahakama za Marekani sio za Professor Juma safari hii anawapeleka kwenye mahakama kubwa zaidi na faini kubwa na amri ya kumfungulia.
Hakuna mkono wa CCM wala Samia au TISS hapo.
 
Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.

Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Wasagaji wamemchongea baada ya kuwaumbua
 
Back
Top Bottom