TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
mange Arudi hapa, JF akumbane na "kipigo" cha moderators, akileta jeuri!
====
====
Eti website hakuna wakumzuia....!!! Atapigwa "shadow ban" na "pseudo phishing" ashangae! Teknolojia ya mtandao ipo speed balaa. Si mtishi aendelee!!!shida ya mange anajiamini mno wakati hajashika mpini. watu siku hizi wamehamia kwa maria sarungi, hana connections yeye ni siasa tu.