zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Mapare au Mmakonde? Au mixing ya mpare na mmakonde baba mpare mama mmakonde?Yule ni mpare, ataenda mahakamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapare au Mmakonde? Au mixing ya mpare na mmakonde baba mpare mama mmakonde?Yule ni mpare, ataenda mahakamani
Hapo kijijini kwenuWatu wanakunywa maji yenye mavi..
And our Comrades within our Party should follow suit to avoid an idiotic behaviour of such 🙏🙌👍Good for the nation
And our Comrades within our Party should follow suit to avoid an idiotic behaviour of such 🙏🙌👍
🔨🔨🔨Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.
Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Kina nani zaidi ya Machadema na wengine?Waziri Mkuu amesema kutukanana na kudhalilishana mitandaoni haina maslahi kwa Taifa !
Je na wale wanaofanya huo huo udhalilishaji huku mitaani ni sawa ????!!! 🙄 !
Hii ya Samia kutaka kumfanya mtoto wake mkuu wa majeshi nilivyoona watu wanaamini nilishangaa sana maana ni jambo lisilo wezekana labda huyo mtoto wake angekua tayari yupo ndani ya jeshi na siyo sahivi kwa miaka aliyobakiza madarakani kashachelewa hiyo plan haifanyi kazi$1200 iwakasirishe meta?!..nyie ndiyo mazamwamwa yake anayoyalisha shudu,eti samia anataka kumfanya mwanae abdul kuwa mkuu wa majeshi Ili atawale milele na nyie mnaamini
Waliokuwa wanampenda ni Wana CCM waliokuwa wanampelekea habari za ndaniiiiii za serikali.Machadema walimpendaga saaana 🙆♂️🙆♂️
Mwana dada machachari mitandaoni anaye julikana kwa jina la Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi huko Marekani amefungiwa kurasa zake zote na Shirika kubwa la upashaji habari-META.
Mange alijulikana zaidi kwa maandiko yake ya kuwatweza watu binafsi na hata Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania.
Hawa wafuasi wa Mange Kimambi Wana akili kweli ya kusoma terms and conditions kweli!?Actualy wasichujua watu, kwenye terms and condition za meta , kuna kifungu ambacho kinatoa nafasi ya goverments kutoa taarifa kama inazushiwa uwongo. And wao wakidhibitisha wanafunga
Most of people hawasomi term and condition
So mat...ko yakoSo what ?
Wewe terms za JF ulichukua siku ngapi kuzisoma!Hawa wafuasi wa Mange Kimambi Wana akili kweli ya kusoma terms and conditions kweli!?
Serikali haijaamua wala haina mpango WA kuhangaika na mama ma wig aliyezini na Baba yake hadi akajiua, anahangaika na kivuli chake mwenyewe.Serikali ya Tanzania inatumia gharama kubwa sn kupambana na Mange badala ya kupambana na umasikini wa watanzania
Ilinichukua dk. 47 tu kuzisoma na kuzielewa. Wewe je?Wewe terms za JF ulichukua siku ngapi kuzisoma!
Sijawahi kuzisoma. Kiingereza kinasumbua.Ilinichukua dk. 47 tu kuzisoma na kuzielewa. Wewe je?