"Metaverse"....Wazo zuri linaloelekea kufa, je liko mbele sana ya muda? Kitu gani angeweza kufanya tofauti kuokoa ndoto hii?

"Metaverse"....Wazo zuri linaloelekea kufa, je liko mbele sana ya muda? Kitu gani angeweza kufanya tofauti kuokoa ndoto hii?

Well...ikiwa paid ndo itakuwa na growth ndogo sanaaa..

Bill Gates sikuzote anajua kuharibu tu huku akijionyesha anajali kwambele..
Muacheni mzee wa watu apumzike, hayupo huko Microsoft. Kiranja Mkuu wa Microsoft anaitwa Satya Nadela.

Pia Microsoft wapo vizuri sana kwenye Cloud issues, wamepower vitu vingi sana, unaweza Cheki Azure,
 
Muacheni mzee wa watu apumzike, hayupo huko Microsoft. Kiranja Mkuu wa Microsoft anaitwa Satya Nadela.

Pia Microsoft wapo vizuri sana kwenye Cloud issues, wamepower vitu vingi sana, unaweza Cheki Azure,
Microsoft hayupo kwasasa anadeal na kindakindaki na maswala ya Depopulation na kutafuta Elixir of life
 
Tumejipangaje kama waTanzania tunao vielewa ili boom likija tuwe mstari wa mbele??
Kwa mtazamo wangu; wakati tunaendelea kujifunza na kuyafanyia kazi mengine.

Basi katika ujuzi ulionao ni bora either ukaendeleza ujuzi wako uendane na digital world. OR

Tuendelee kujifunza ujuzi mpya ambao unaendana na digital world.
 
Kama tunavyojua Mark Zuckerberg alikuja na wazo la Facebook, Social media na kuwa peoneer katika ulimwengu wa SOCIAL MEDIA na huwezi kuongelea historia yake bila kutaja jina lake tunaweza kumuita THE FATHER OF SOCIAL MEDIA.

Miaka ya hivi karibuni amekuja na wazo la "METAVERSE" Nakuwekeza sehemu kubwa ya utajiri wake mpaka kubadili jina la kampuni yake mashuhuri ya FACEBOOK nakuiita META akiamini kuwa kitakuwa kitu kikubwa kitakacha badilisha jinsi watu wanavyo wasiliana na kukutana.

METAVERSE ni app ambayo imetengenezwa kama DUNIA ya kidijitali..muonekano na hisia ya MUDA (time) na NAFSI (au ukaribu wa mambo na vitu) (space) iko kama katika dunia ya kweli (real world) na muingiliano wa watu na vitu kwakusikia na kuona kama ilivyo dunia ya kweli, wengi wakitumia AVATARS kuwapresent wao hata kununua kiwanja na kujenga nyumba au duka ambali litafunction kama duka halisi duniani nakukuingizia faida etc. Huku ikitumia mifumo yote ya AR (Argumente Reality) na VR (Visual Reality).

Unaweza kwenda kupiga story na kunywa chai Biden marekani, lunch na Mackron Ufaransa mchana, huku Diner ukimalizia na KimJong Un wa North korea jioni Huku mwili wako ukiwa umekaa kwenye chumba kimoja ulichopanga Tegeta nyuki au buza kwa mama Kibonge.

Kwenye makaratasi METERVESE ilitakiwa kubadili jinsi tunavyo interact (ingiliana) na watu ulimwenguni..
Lakini fast foward muda kidogo.

Mark Zuckerberg na kampuni tanzu ya META wamepoteza mabilioni, SHARES zake zikidondoka kwa kasi huku mwenendo mzima wa mambo ukimlazimisha kuachana na ndoto yake.

Je??..Apiganie ndoto wakati kila kitu kikiwa dhidi yako, aachane na ndoto hiyo na kudeal na core activities za facebook au arudi shambani kulima aachane na mambo ya mjini😃😃
The dream will be true if and only if Quantum teleportation will be reality. Until now no any physt has poven it to be real. Ajaribu kuwashirikisha wachawi wa Afrika kutimiza ndoto yake they know the stuffs. Instant communication is very advanced technology which need advance physics, at that point we will no longer be human but aliens.
We are steal human so don't think about metaverse.Ni kama Elon na Life in Mars, mpaka teleportation iwe kweli, vinhinevyo utaendekea kuwa uongo na masumbuko ya akili ambayo hupelekea kuwa mwendawazimu.
 
Kwa mtazamo wangu; wakati tunaendelea kujifunza na kuyafanyia kazi mengine.

Basi katika ujuzi ulionao ni bora either ukaendeleza ujuzi wako uendane na digital world. OR

Tuendelee kujifunza ujuzi mpya ambao unaendana na digital world.
Uko sahihi kabisa....
If AI can do what i do, kwanini nisijifunze kuiopperate hiyo muda ukifika nisiwe replaced.
Kwasababu AI inaweza kufanya ninachofanya kwaubora zaidi muda mfupo na gharama nafuu
 
Back
Top Bottom