dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... hata Afghanistan walikuwa wanatua sana at the peak of the battle.George W. Bush alitua Iraq katikati ya vita kali... USA ni kitu ingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... hata Afghanistan walikuwa wanatua sana at the peak of the battle.George W. Bush alitua Iraq katikati ya vita kali... USA ni kitu ingine.
Sio marais wenu hata mabango tu wanayakimbia wanapitia mlango wa chooni.... hata Afghanistan walikuwa wanatua sana at the peak of the battle.
Katua Peros pale Taiwan huku China ikiwa na vikosi vyake kamili vya kijeshi.George W. Bush alitua Iraq katikati ya vita kali... USA ni kitu ingine.
Jamaa wanamiliki vikosi kama vya jeshi. Tofauti yao wao ni wahuni. Ila wana pesa kuzidi serekali yaoSio wahuni tu wahuni wenye mabilioni ya dola na silaha za kisasa na mafunzo ya kijeshi
Ndio mitaa ya kina Crizeda Branka mama muuza ngada miaka hiyoSinoloa ni moja kati ya gang ambayo haifi leo wala kesho cartel ambayo UN wanaijua vizuri
Siyo atapigilia msumari wa extradition na kwenda naye kumsweka lupango alipo Baba yake.Biden akiondoka watamuachia
Wengi wa walinzi wao na ma-hitmen ni wanajeshi kamili waliofuata pesa kwenye hilo genge.Ina maana serikali ya Mexico imezidiwa nguvu na wahuni ?
Kama vipi tupeleke jeshi la wananchi wa Tanzania wakarudishe nidhamu kwenye hilo taifa.Wengi wa walinzi wao na ma-hitmen ni wanajeshi kamili waliofuata pesa kwenye hilo genge.
Watakufa kama mende.Kama vipi tupeleke jeshi la wananchi wa Tanzania wakarudishe nidhamu kwenye hilo taifa.
JWTZ ni moja ya majeshi imara sana kwa sasa hapa ulimwenguni, nina uhakika JWTZ wanaweza kupigana hata na jeshi la MarekaniWatakufa kama mende.
Ziara za Marais wa U.S kwenye nchi zenye vita hasa Iraq huwa hazitangazwi kabla. Ni za kushtukizaGeorge W. Bush alitua Iraq katikati ya vita kali... USA ni kitu ingine.
Hao magaidi wanaua watu na kuuwana kikatili mno mno mno. Ni mashetani wa kibinadamu.Sinaloa wakikukamata kama ni snitch unakatwa kiungo kimojakimoja ukiwa hai mpaka unazimia kwa maumivu na kufa au wakikuonea huruma unachinjwa kwa chainsaw kama yule jamaa na mjomba wake.
Wanauza madawa, lugha nyepesi wanajifadhiliWanafadhiliwa na nani ?
Sisi ambao after 60 years ya uhuru bado yunajivunia hatukupata uhuru kwa damu tuwe na cartels?🤣🤣 bado sanaMexico wenyewe wasingeweza. Hapo DEA wamehusika.
Cartels zina nguvu sana, omba isitokee hapa Tz