Mexico: Wiki moja kabla ya ziara ya Rais Biden, mtoto wa El Chapo akamatwa Mexico

Mexico: Wiki moja kabla ya ziara ya Rais Biden, mtoto wa El Chapo akamatwa Mexico

Ziara za Marais wa U.S kwenye nchi zenye vita hasa Iraq huwa hazitangazwi kabla. Ni za kushtukiza

Bush (akiwa rais) alifanya ziara nne Iraq ambazo hazikutangazwa kabla na mbili Afghanistan. Tena ile ya Iraq ya Disemba, 2003 (ambapo vita bado ilikuwa mbichi kabisa) alikaa kwa muda wa saa 2 na nusu tu.

Drama za Hollywood zisikuchanganye mzee. Katika dunia halisi kuna wahuni na vichaa hawajui nani rais wa Marekani. Na Wamarekani wenyewe wanajua hilo na wanakuwa makini.
Kwahiyo Rais wa marekani asiogope vita na magaidi aogope drug cartels? Huyo baba wa mtuhumiwa mbona ananyea ndoo Marekani?

Marekani ni baba wa dunia taka ama usitake
 
Kwahiyo Rais wa marekani asiogope vita na magaidi aogope drug cartels? Huyo baba wa mtuhumiwa mbona ananyea ndoo Marekani?

Marekani ni baba wa dunia taka ama usitake
Bahati mbaya sana umekosea njia. Mimi sio wale mashabiki humu Jf. Watafute wengine.


Nilikuwa naweka sawa tu baadhi ya mambo.
 
Hapa ndipo marekani inapozidi kuchukua max, kutokana na upumbavu wa dunia, mfadhili mkubwa wa madawa ya kulevya ni yeye mwenyewe hivyo kukamata mawakala wake(drug lord) na kuwachia ishakua jambo la kawaida.
 
IMG_8087.jpg


Dogo walimkamata 2019 vituo vyote vya polisi vilisafishwa hapo sinoloa , zilitembea chuma siku 3 usiku na mchana polisi wakamwachia bila masharti
 
The Sinaloa cartel gave the Mexican government an ultimatum. If Ovidio, El Chapo's son, is not released within 72 hours, gas stations and government buildings will be burned. The cartel fears Ovidio's extradition to the US.
 
Back
Top Bottom