The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mkuu,huyu kijana aliwahi kukamatwa,genge lake likatembeza kichapo mtaani na ikawa kama vita kati ya hawa drug cartels na Polisi,ikabidi kijana aachiwe huru ili kuirudisha amani.Huyu kijana ashakamatwaga miaka sita iliyopita means alitoka jela akaendelea na Business na ndo leo wameamua kumdaka tena na ataachiwa
Sio kweli.Madara ya kulevya ni hatari kwa afya ya mwili na ubongo
Wanawadekeza tu, afande kamanda Muliro na kikosi chake wanatosha kabisa kukiteketeza hicho kikundi cha wahuni.Mkuu,huyu kijana aliwahi kukamatwa,genge lake likatembeza kichapo mtaani na ikawa kama vita kati ya hawa drug cartels na Polisi,ikabidi kijana aachiwe huru ili kuirudisha amani.
Kwahiyo Rais wa marekani asiogope vita na magaidi aogope drug cartels? Huyo baba wa mtuhumiwa mbona ananyea ndoo Marekani?Ziara za Marais wa U.S kwenye nchi zenye vita hasa Iraq huwa hazitangazwi kabla. Ni za kushtukiza
Bush (akiwa rais) alifanya ziara nne Iraq ambazo hazikutangazwa kabla na mbili Afghanistan. Tena ile ya Iraq ya Disemba, 2003 (ambapo vita bado ilikuwa mbichi kabisa) alikaa kwa muda wa saa 2 na nusu tu.
Drama za Hollywood zisikuchanganye mzee. Katika dunia halisi kuna wahuni na vichaa hawajui nani rais wa Marekani. Na Wamarekani wenyewe wanajua hilo na wanakuwa makini.
Bahati mbaya sana umekosea njia. Mimi sio wale mashabiki humu Jf. Watafute wengine.Kwahiyo Rais wa marekani asiogope vita na magaidi aogope drug cartels? Huyo baba wa mtuhumiwa mbona ananyea ndoo Marekani?
Marekani ni baba wa dunia taka ama usitake
Ataungana na baba yake jela... Ovidio "Ze Mouse" El Chapo (32); ana balaa kweli kweli uzao wa nyoka huyu!
Hawa wauzaji madawa wanaweza kulipa deni la TaifaIna maana serikali ya Mexico imezidiwa nguvu na wahuni ?
Duh; tuchangamkie mikopo ya masharti mepesi!Hawa wauzaji madawa wanaweza kulipa deni la Taifa
Wana nguvu kiasi cha kuwa na jeahi mpaka submarines
[emoji38] [emoji23]Duh; tuchangamkie mikopo ya masharti mepesi!
Usiiache nyuma Queen of The SouthSinaloa ilichezwa series ya Narcos Mexico humo yupo El Chapo..halafu kuna series moja inaitwa ZeroZeroZero limechezwa Monterrey utakuja kunitafuta hapa hilo tambala sanaaa yanii
Wahispaniola haoHivi Wamexico wanaasili ya kireno au kihispania..?
Khe[emoji23][emoji23][emoji706][emoji706]JWTZ ni moja ya majeshi imara sana kwa sasa hapa ulimwenguni, nina uhakika JWTZ wanaweza kupigana hata na jeshi la Marekani
Ni suala la muda tuBiden akiondoka watamuachia