Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mimi nilienda tu kunywa beer kuna jamaa yangu alikua hapo LS aliniita hayo maeneo ndio tukawa tumekaa hapo.Wewe ulinunua kwa shingapi mkuu?[emoji16]
Kwangu mimi ninayekaa stoo vile ni vyumba. Haya wahi ukamsaidie meya kuwafukuza, Maana mmekosa kazi.Vile unaviita vyumba Wakati ukiwa njiani k unaziona zinaning'inia kama mishikaki?!
Hakika wewe umetoka migombani juzi Kati!
šKwangu mimi ninayekaa stoo vile ni vyumba. Haya wahi ukamsaidie meya kuwafukuza, Maana mmekosa kazi.
Itataifishwa kwa sheria gani?? Hebu fatilia mambo ya maana kama migogoro ya ardhi.usafi hususani wa matope mazito machafu madimbwini yanayopelekea kinondoni inanuka .mifumo mibovu ya vyoo.kuondoa makazi m'abonden.Haya mambo ya kufatilia watu wazima kutiana ni kutafuta kikiKufuatia ongezeko la madanguro katika maeneo ya Kinondoni, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge amefika kwenye maeneo ya kunapodaiwa kufanyika kwa biashara ya kuuza mwili maeneo ya Mwananyamala na kuahidi kuchukua hatua dhidi ya wamiliki wa nyumba zinazotumiwa katika biashara hiyo.
Amesema: āUkiacha danguro hili la Mwananyamala Mianzini kuna sehemu nyingine kama Tandale Uwanja wa Fisi na kuna Msasani Mikorosini na taarifa zinasema yapo mengi.
āWatendaji wetu wamepewa kazi ya kuhakikisha wanapata idadi kamili ya madanguro katika Kata zetu 20 na Mitaa 126.ā
Ameongeza kuwa watawaita wenye nyumba wote kujieleza kwa nini wamegeuza nyumba zao kuwa madanguro, na kuwa biashara ya kujiuza inaanzia 2,000 hadi 10,000.
āMipango mingi hairuhusu kinachofanyika, jambo hili siwezi kulifanya peke yangu, lazima Serikali Kuu iingilie, sheria lazima ifuatwe, hatuwezi kuacha jamii iendelee kuangamia.
āTunasema tupambane na maradhi hasa magonjwa ya ngono kwa hali hii,ā amesema Meya na kuongeza:
āZipo taarifa zisizo rasmi hawa watu (dada poa) wanajipanga na kutoa fedha kwenye baadhi ya mamlaka zinazotakiwa kuzuia hii biashara, hatuwezo kuona Watoto wetu wanakua huku wanaangalia hiki kinaendelea, wataacha kusoma na kuamini hii ndio biashara stahiki.ā
Amesisitiza kuwa wenye nyumba wanatakiwa kujitokeza na ambao hawatajitokeza nyumba itataifishwa na Serikali.
Naye Diwani wa Kata ya Makumbusho, Mohamed Mohamed amesema wameita wenye nyumba kuwauliza sababu za nyumba zao kuhusika katika biashara hiyo, lakini wakadai kuwa wale ni wateja wao wa kawaida na kuhusu wanachokifanya ndani hawawezi kuwaingilia.
Dada mmoja ambaye alijifungia ndani na kusikika sauti tu alisema āWatoto wenu wanakula, wa kwangu je, mnataka wale wapi?ā
Nao baadhi ya Wateja waliohojiwa walisema kuna changamoto kadhaa wanazokutana nazo ni kufanyiwa fujo, kuibiwa vitu vyao na kushambuliwa hasa kama ukiwa si mwenyeji wa eneo husika.
Chanzo: ITV & Global TV
Lete hicho kifungu.Wacheni kujisumbua kwa kuwasumbua wanao uza miili yao. Mnajua sheria zinasemaje? Kulingana na sheria za adhabu (penal code) adhabu ya mtu anayeendesha danguro haizidi Tsh 500 za kitanzania.
Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo alipoulizwa na wanafunzi wake kwa nini hawachukulii hatua watu kama hawa alisema... 'Acheni magugu na ngano vimee pamoja'...
I give u as an assignment...Lete hicho kifungu.
Vizuri usinunue sawa eee?Mimi nilienda tu kunywa beer kuna jamaa yangu alikua hapo LS aliniita hayo maeneo ndio tukawa tumekaa hapo.
Sijawahi nunua dadapoa maisha yangu yote.
Ninunue halafu wewe nimuachie nani?Vizuri usinunue sawa eee?
Si ndio hapo sasa jamanš¤Ninunue halafu wewe nimuachie nani?
Mbona unatujumlisha watu wa Dar wote ilhali hii biashara ni world-wide? Na kama ni uchafu mbona hata wewe ni mchafu kama unabisha tia kidole njia yako ya haja kubwa halafu nusa usikie kama kuna harufu ya udi.Watu wa daressalam ni wapuuzi sana wananunua malaya wachafu
Alishazaliwa huyu .....kashavuka 50s hukoDanguro la Mwananyamala mianzini lilianza mwaka 1978 Wakati wa Vita ya Kagera
Songoro hajazaliwa Wakati huo nadhani
Ukipita buibui guest house unashuka chini, kajenga bwawanii ... sjui kibali pale alikipate cha ujenziMwenyewe anaishi maeneo ya pale meridian (masai club) asivunge itakua kawapitia tu.