Meya afika kwenye madanguro Mwananyamala, Wadada wanaojiuza wakimbia

Biashara ya ngono haiwezi kuisha kamwe, Meya atafute kazi nyingine za kufanya ili kulisaidia Jiji.
 
Wacheni kujisumbua kwa kuwasumbua wanao uza miili yao. Mnajua sheria zinasemaje? Kulingana na sheria za adhabu (penal code) adhabu ya mtu anayeendesha danguro haizidi Tsh 500 za kitanzania.

Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo alipoulizwa na wanafunzi wake kwa nini hawachukulii hatua watu kama hawa alisema... 'Acheni magugu na ngano vimee pamoja'...
 
Itataifishwa kwa sheria gani?? Hebu fatilia mambo ya maana kama migogoro ya ardhi.usafi hususani wa matope mazito machafu madimbwini yanayopelekea kinondoni inanuka .mifumo mibovu ya vyoo.kuondoa makazi m'abonden.Haya mambo ya kufatilia watu wazima kutiana ni kutafuta kiki
 
Lete hicho kifungu.
 
Yakifungwa CCM Itapoteza wapiga kura wengi maana wengi wao ndo wateja wao halafu kuna hii kitu ya ubakaji..lile jiji linawashamba wengi na madomo zege lazima yaingie mtaani kusaka watoto kwa nguvu...macheni ikifungwa kula K ya 2000 na kitanda safii labda awe mkeo 🤣🤣🤣
 
Kuna vingi vya kufatilia maendeleo ya wananchi cha ajabu wanafatilia vitu vidogo tu hvyo... hao madada kwanza wanasaidia vitendo vya ubakaji visiwepo.. alafu pia ni starehe za watu ya nn kuwaingilia watu starehe zao
 
Aache kupoteza muda na kuumiza kichwa kwa vitu ambavyo kamwe hawezi kuvizuia...ni suala ambalo liko nje ya uwezo wake....inahitajika jamii nzima na serikali yote kuingilia kati.Mizizi ya hili tatizo iko mbali sana....kuanzia masuala ya kiuchumi na malezi..

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Watu wa daressalam ni wapuuzi sana wananunua malaya wachafu
Mbona unatujumlisha watu wa Dar wote ilhali hii biashara ni world-wide? Na kama ni uchafu mbona hata wewe ni mchafu kama unabisha tia kidole njia yako ya haja kubwa halafu nusa usikie kama kuna harufu ya udi.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mwenyewe anaishi maeneo ya pale meridian (masai club) asivunge itakua kawapitia tu.
Ukipita buibui guest house unashuka chini, kajenga bwawanii ... sjui kibali pale alikipate cha ujenzi
Sema wakati wa mvua anaipataga tabu sana

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…