Meya afika kwenye madanguro Mwananyamala, Wadada wanaojiuza wakimbia

Meya afika kwenye madanguro Mwananyamala, Wadada wanaojiuza wakimbia

Wanawaonea hawa sababu ni hoe hae wateja wap sio mabosi wa huyu meya!
Kuna chimbo pale mtaa wa Simba Bahari Beach karibu na Bajeti inn ni danguro la wanene,bila laki 2 huchukui mrupo na magari ya bei yanasimama hapo

Lile huwezi ligusa,wanaonea hawa maskini
 
Ukipita buibui guest house unashuka chini ,kajenga bwawanii .....sjui kibali pale alikipate cha ujenzi
Sema wakati wa mvua anaipataga tabu sana

Ova
Pale huwa kuna kama bwawa.

Anajifanya anafuata sheria sana kumbe wale wale.

Unafiki kitu kibaya sana.
 
Hii biashara irasimishwe na wakatwe kodi itatosha kuleta universal healthcare plan
 
Wanawaonea hawa sababu ni hoe hae wateja wap sio mabosi wa huyu meya!
Kuna chimbo pale mtaa wa Simba Bahari Beach karibu na Bajeti inn ni danguro la wanene,bila laki 2 huchukui mrupo na magari ya bei yanasimama hapo

Lile huwezi ligusa,wanaonea hawa maskini
Masikini Tanzania wanaonewa sana kwenye kila nyanja!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ukipita buibui guest house unashuka chini ,kajenga bwawanii .....sjui kibali pale alikipate cha ujenzi
Sema wakati wa mvua anaipataga tabu sana

Ova
Umenikumbusha mbali sana. Cheza sana mitaa hiyo. Umenikumbusha pia BuiBui mtoto wa Kino.
 
Abomoe kwanza nyumba yake ndio aanze kuwafukuza hao kina dada.
Kuna miaka fulani tulupambana sana

Kuzuia maeneo ya wazi huko...

Buibui uwanja huo,ukija demag kuna sehemu ya uwazi pia..ilikuwa chupuchupu watu wafanye yao

Ila kwa kuwa wapambanaji wengi wametoka maeneo hayo sahv sijui
Kama hayo maeneo yatapona

Ova
 
Dah kuna chimbo moja lilikuwa linaitwa Tururamba kule SIM2000 karibu na Law School nilipelekwagwa na mwana flani kunywa beer ni nyumba ya mtu watu wamekaa sebuleni kidirishani ndio vinywaji vinauzwa nikajua ni wanafamilia ila nashangaa mijamaa inazama sebuleni inachukua mwanamke wanaenda vyumbani.

Kumbe ndio danguro.
Mkuu, hapa mahali pamenimaliziaga sana hela yani [emoji2], kipindi hicho nasoma Law School 2015.

Kama sikupata HIV kipindi kile basi sipati tena wallah.

Ila huyu Mungu ni mvumilivu sana, na upendo wake ni halisi kwetu wanadamu. Kwa ule uchafu nilioufanyaga, kama Mungu angekuwa mwanadamu basi ningekuwa marehemu sasa hivi.
 
Mkuu, hapa mahali pamenimaliziaga sana hela yani [emoji2], kipindi hicho nasoma Law School 2015.

Kama sikupata HIV kipindi kile basi sipati tena wallah.

Ila huyu Mungu ni mvumilivu sana, na upendo wake ni halisi kwetu wanadamu. Kwa ule uchafu nilioufanyaga, kama Mungu angekuwa mwanadamu basi ningekuwa marehemu sasa hivi.
Hahaha ni noma, nilienda hapo hiyo siku tu sikuwahi kwenda tena ila sijapasahau
 
Umenikumbusha mbali sana. Cheza sana mitaa hiyo. Umenikumbusha pia BuiBui mtoto wa Kino.
Hapo yenyewe ukipita getini kwake ukikunja kulia unaenda kama unataka kutokea mahakama ya kino kna vijumba kuna wanawake wanauza mbunye kitambo tu [emoji1]
Hebu aawaache wenzao wafanye kazi zao kama anataka wawaboreshe mazingira

Ova
 
Hapo yenyewe ukipita getini kwake ukikunja kulia unaenda kama unataka kutokea mahakama ya kino kna vijumba kuna wanawake wanauza mbunye kitambo tu [emoji1]
Hebu aawaache wenzao wafanye kazi zao kama anataka wawaboreshe mazingira

Ova
Aisee kweli kabisa. Hilo chimbo wabishi ndio wanalielewa kwa chini saana.
 
Back
Top Bottom