Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee inasikitisha sana na kuumiza kuona maeneo ya wazi ya kubariza na watoto kucheza watu wakiyabadilishs matumizi kinyemela . Noma sana.Kuna miaka fulani tulupambana sana
Kuzuia maeneo ya wazi huko...
Buibui uwanja huo,ukija demag kuna sehemu ya uwazi pia..ilikuwa chupuchupu watu wafanye yao
Ila kwa kuwa wapambanaji wengi wametoka maeneo hayo sahv sijui
Kama hayo maeneo yatapona
Ova
Sijui kama yatapona sahiviAisee inasikitisha sana na kuumiza kuona maeneo ya wazi ya kubariza na watoto kucheza watu wakiyabadilishs matumizi kinyemela . Noma sana.
Duh! Hatari! Mzungu kasha turahisishia mambo. Madanguro yapo kwenye simu zetu. Badoo tinder hi5 unajiopolea tuu warembomzabzab je wewe unaendaga??
[emoji2][emoji2]Hahaha ni noma, nilienda hapo hiyo siku tu sikuwahi kwenda tena ila sijapasahau
Mkuu nielekeze hilo chimbo vzuri,natokea ubungoWafanye yoote hawa wa mlimani city karibu na madalali wa magari wasiwaguse kabisa asee
Bila kusahau exotic escorts Tz kuna kila aina ya warembo unapiga pumbu roho inaridhikaDuh! Hatari! Mzungu kasha turahisishia mambo. Madanguro yapo kwenye simu zetu. Badoo tinder hi5 unajiopolea tuu warembo
Huyo meya si alisema serikali imeshindwa kudhibiti hiyo shughuli bora ihalalishweKufuatia ongezeko la madanguro katika maeneo ya Kinondoni, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge amefika kwenye maeneo ya kunapodaiwa kufanyika kwa biashara ya kuuza mwili maeneo ya Mwananyamala na kuahidi kuchukua hatua dhidi ya wamiliki wa nyumba zinazotumiwa katika biashara hiyo.
Amesema: “Ukiacha danguro hili la Mwananyamala Mianzini kuna sehemu nyingine kama Tandale Uwanja wa Fisi na kuna Msasani Mikorosini na taarifa zinasema yapo mengi.
“Watendaji wetu wamepewa kazi ya kuhakikisha wanapata idadi kamili ya madanguro katika Kata zetu 20 na Mitaa 126.”
Ameongeza kuwa watawaita wenye nyumba wote kujieleza kwa nini wamegeuza nyumba zao kuwa madanguro, na kuwa biashara ya kujiuza inaanzia 2,000 hadi 10,000.
“Mipango mingi hairuhusu kinachofanyika, jambo hili siwezi kulifanya peke yangu, lazima Serikali Kuu iingilie, sheria lazima ifuatwe, hatuwezi kuacha jamii iendelee kuangamia.
“Tunasema tupambane na maradhi hasa magonjwa ya ngono kwa hali hii,” amesema Meya na kuongeza:
“Zipo taarifa zisizo rasmi hawa watu (dada poa) wanajipanga na kutoa fedha kwenye baadhi ya mamlaka zinazotakiwa kuzuia hii biashara, hatuwezo kuona Watoto wetu wanakua huku wanaangalia hiki kinaendelea, wataacha kusoma na kuamini hii ndio biashara stahiki.”
Amesisitiza kuwa wenye nyumba wanatakiwa kujitokeza na ambao hawatajitokeza nyumba itataifishwa na Serikali.
Naye Diwani wa Kata ya Makumbusho, Mohamed Mohamed amesema wameita wenye nyumba kuwauliza sababu za nyumba zao kuhusika katika biashara hiyo, lakini wakadai kuwa wale ni wateja wao wa kawaida na kuhusu wanachokifanya ndani hawawezi kuwaingilia.
Dada mmoja ambaye alijifungia ndani na kusikika sauti tu alisema “Watoto wenu wanakula, wa kwangu je, mnataka wale wapi?”
Nao baadhi ya Wateja waliohojiwa walisema kuna changamoto kadhaa wanazokutana nazo ni kufanyiwa fujo, kuibiwa vitu vyao na kushambuliwa hasa kama ukiwa si mwenyeji wa eneo husika.
Chanzo: ITV & Global TV
Mpuuzi sana utagegedaje bila vyako[emoji38][emoji38][emoji38]Kuna mteja mmoja anaohojiwa na mwandishi wa ITV eneo la tukio,
Mwandishi : Habar kaka?
Jamaa. : Nzuri
Mwandishi. : Wewe ni mteja hapa?
Jamaa. Ndio
Mwandishi. : Kuna changamoto yyte unayokutana nayo kutokana na hii biashara ya dadapoa?
Jamaa. : Ndio
Mwandishi : Ipi hiyo?
Jamaa. : Changamoto ni kwamba ukiwa huna pesa hupati huduma ( kutomber)[emoji23][emoji23][emoji23]
"Meya na hili mkalitizame"
🤣🤣🤣🤣🤣 We jamaa hatariKuna mteja mmoja anaohojiwa na mwandishi wa ITV eneo la tukio,
Mwandishi : Habar kaka?
Jamaa. : Nzuri
Mwandishi. : Wewe ni mteja hapa?
Jamaa. Ndio
Mwandishi. : Kuna changamoto yyte unayokutana nayo kutokana na hii biashara ya dadapoa?
Jamaa. : Ndio
Mwandishi : Ipi hiyo?
Jamaa. : Changamoto ni kwamba ukiwa huna pesa hupati huduma ( kutomber)[emoji23][emoji23][emoji23]
"Meya na hili mkalitizame"
Buibui ipo mwananyamalaUmenikumbusha mbali sana. Cheza sana mitaa hiyo. Umenikumbusha pia BuiBui mtoto wa Kino.
Nimekupata mkuuYote kino hiyoo
Mwananyamala si kata
Ova
Wafanye yoote hawa wa mlimani city karibu na madalali wa magari wasiwaguse kabisa asee
Akili yako na ya huyo mteja Ni mbovu.Kuna mteja mmoja anaohojiwa na mwandishi wa ITV eneo la tukio,
Mwandishi : Habar kaka?
Jamaa. : Nzuri
Mwandishi. : Wewe ni mteja hapa?
Jamaa. Ndio
Mwandishi. : Kuna changamoto yyte unayokutana nayo kutokana na hii biashara ya dadapoa?
Jamaa. : Ndio
Mwandishi : Ipi hiyo?
Jamaa. : Changamoto ni kwamba ukiwa huna pesa hupati huduma ( kutomber)[emoji23][emoji23][emoji23]
"Meya na hili mkalitizame"