Meya afika kwenye madanguro Mwananyamala, Wadada wanaojiuza wakimbia

Bora hao wanaofuata mbele, pigeni vita ushoga!
 
Bora hao wanaofuata mbele, pigeni vita ushoga!
Safi kabisa.
Wangekamata Ile misengeh ya kitambaa cheupe ningewapongeza. Wanaogopa Ile midume wanaonea wanawake kwasababu hawajui karate.
 
Akili yako na ya huyo mteja Ni mbovu.
Kwani bar ukiwa huna pesa unahudumiwa?
Relax man don't take everything serious especially here in jf
"hili nalo mkalitizame" ni kauli pendwa ya mheshimiwa Hangaya ume comment kwa kukurupuka.
 
Huyo Meya kakosa kazi za kufanya.
 
Kama anataka jela zijae Kwa kesi za ubakaji afunge hayo madanguro ataona
 
Naye RC wa dar kaamua kumuunga mkono mega🤣🤣🤣🤣🪑
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…