Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
2015-2021 Tanzania ilikuwa chini ya utawala wa shetani, Mungu katuondolea shetani furaha imerejea, sio tu kwa upinzani bali kwa CCM pia, wote wanaimba, Mungu fundi, kamaliza ugomvi, bahari imetulia..hutaki kajinyongeSisi hatujawahi kuwa chini ya utawala wa shetani labda wewe peke yako. Walio chini ya utawala wa shetani ni kama yule jamaa yenu anayeshikishwa ukuta kule ubeleji, huyo ndiye yuko chini ya utawala wa shetani.
Wewe ni mfuasi wa Kayafa?Ni mwendelezo wa mahaba ya wanachadema kwa uungwana na urahimu wa CCM.
Meya Boniphace katika ukurasa wake wa twitter ameonekana "kukunwa" na uungwana wa Wana CCM baada ya kupewa hifadhi wakati wanakimbia kipondo kikali na Cha haja kutoka kwa Polisi.
Meya Boniphace Jackob na Mbowe pamoja na timu nzima ya CDM iliyoingia barabarani kutaka kuvuruga amani na kuleta vita, ilipoumana na dola, Mbowe na viongozi wenzake walitoka nduki kwa spidi ya sauti na walienda kujihifadhi katika Ofisi za CCM huku wakitweta kwa hofu.
CCM itabaki kuwa chama Cha amani na chama kiongozi, hata wale wanaokishambulia wanakikimbilia pale wanapolemewa.
John Heche na yeye alijihifadhi katika maduka yaliyo katika Ofisi za CCM.
Long live CCM !
View attachment 2253631View attachment 2253620
Ilikuwa zaidi ya shetani asee2015-2021 Tanzania ilikuwa chini ya utawala wa shetani, Mungu katuondolea shetani furaha imerejea, sio tu kwa upinzani bali kwa CCM pia, wote wanaimba, Mungu fundi, kamaliza ugomvi, bahari imetulia..hutaki kajinyonge
uliyeandika umeongeza yako.Et wakati wanataka kuvuruga aman.Nani kakwambia siasa ni uadui?Kuna iman na undg hulinda mtu dhidi ya ukatili tuna ndg cuf,ccm,chadema na vyama vingine.Ni mwendelezo wa mahaba ya wanachadema kwa uungwana na urahimu wa CCM.
Meya Boniphace katika ukurasa wake wa twitter ameonekana "kukunwa" na uungwana wa Wana CCM baada ya kupewa hifadhi wakati wanakimbia kipondo kikali na Cha haja kutoka kwa Polisi.
Meya Boniphace Jackob na Mbowe pamoja na timu nzima ya CDM iliyoingia barabarani kutaka kuvuruga amani na kuleta vita, ilipoumana na dola, Mbowe na viongozi wenzake walitoka nduki kwa spidi ya sauti na walienda kujihifadhi katika Ofisi za CCM huku wakitweta kwa hofu.
CCM itabaki kuwa chama Cha amani na chama kiongozi, hata wale wanaokishambulia wanakikimbilia pale wanapolemewa.
John Heche na yeye alijihifadhi katika maduka yaliyo katika Ofisi za CCM.
Long live CCM !
View attachment 2253631View attachment 2253620
Aisee! Hii asali imezidi sana!!!Ni mwendelezo wa mahaba ya wanachadema kwa uungwana na urahimu wa CCM.
Meya Boniphace katika ukurasa wake wa twitter ameonekana "kukunwa" na uungwana wa Wana CCM baada ya kupewa hifadhi wakati wanakimbia kipondo kikali na Cha haja kutoka kwa Polisi.
Meya Boniphace Jackob na Mbowe pamoja na timu nzima ya CDM iliyoingia barabarani kutaka kuvuruga amani na kuleta vita, ilipoumana na dola, Mbowe na viongozi wenzake walitoka nduki kwa spidi ya sauti na walienda kujihifadhi katika Ofisi za CCM huku wakitweta kwa hofu.
CCM itabaki kuwa chama Cha amani na chama kiongozi, hata wale wanaokishambulia wanakikimbilia pale wanapolemewa.
John Heche na yeye alijihifadhi katika maduka yaliyo katika Ofisi za CCM.
Long live CCM !
View attachment 2253631View attachment 2253620
Usiwaamini sana fisiemuUkiondoa u CCM na u Chadema, Kuna u Tanzania na ubinadamu! Mke wangu ni CCM Damu, Ila uchi ananipa! Hatujafikia uadui huo!
Hivi ni kweli herufi Z ni bidhaa adimu sana Uheheni?Mbowe sikuizi anatembea na mchupa umejaa asali tu anajilambia huku anapiga mrusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hivi kesha pata kazi ya KUPAMBANA NA MAREHEMU
uliyeandika umeongeza yako.Et wakati wanataka kuvuruga aman.Nani kakwambia siasa ni uadui?Kuna iman na undg hulinda mtu dhidi ya ukatili tuna ndg cuf,ccm,chadema na vyama vingine.
Hapana roho ya yyule mwendzake kwa ubaya shetwaaani ana afadhaliHii nchi ilikuwa chini ya utawala wa shetani.
sio CCM wote wana roho mbaya, ila kiongozi wao mkuu anapokuwa na roho mbaya anaathiri sana
Kwa hiyo CCM iliwaokoa dhidi ya nini?Ni mwendelezo wa mahaba ya wanachadema kwa uungwana na urahimu wa CCM.
Meya Boniphace katika ukurasa wake wa twitter ameonekana "kukunwa" na uungwana wa Wana CCM baada ya kupewa hifadhi wakati wanakimbia kipondo kikali na Cha haja kutoka kwa Polisi.
Meya Boniphace Jackob na Mbowe pamoja na timu nzima ya CDM iliyoingia barabarani kutaka kuvuruga amani na kuleta vita, ilipoumana na dola, Mbowe na viongozi wenzake walitoka nduki kwa spidi ya sauti na walienda kujihifadhi katika Ofisi za CCM huku wakitweta kwa hofu.
CCM itabaki kuwa chama Cha amani na chama kiongozi, hata wale wanaokishambulia wanakikimbilia pale wanapolemewa.
John Heche na yeye alijihifadhi katika maduka yaliyo katika Ofisi za CCM.
Long live CCM !
View attachment 2253631View attachment 2253620
Unakumbuka kipindi cha giza(Jiwe)? Hakuna aliyekuwa salama mpaka waziri mkuu, Jiwe alitishia kupiga mashangazi zake.CCM wako vizuri tangu waanzishwe mwaka 1977
Hasa sukuma gang inabidi nchi iwe makini wasije kupewa nafasi ya uongozi anadaniChama Cha Mapinduzi kina wanachama wengi wema, waungwana na wenye utu.
Hata hivyo, kumekuwepo na kikundi kidogo cha wapuuzi, wenye tabia za kinyama ambao wanahitaji kuangaliwa kwa jicho la kipekee wasipewe uongozi.
Ikumbukwe kuwa wanyama wana nafasi kubwa ya kumsaidia binadamu (mtu), lakini hatakiwi kupewa nafasi ya mtu.
kwahiyo hujawahi ona wakristo wanaandamana ktk sherehe ya matawi?Kuandamana bila Kibali ni kuvuruga amani ya watu wengine na nchi