Meya Kinondoni Mnajenga Msikiti wa Kudumu Coco Beach

Meya Kinondoni Mnajenga Msikiti wa Kudumu Coco Beach

Eneo la kudumu limeendelea kugubikwa na mipangp mibovu baada ya jengo la kudumu la msikiti kuanza kujemgwa sambamba na vibanda vya mihogo na kilevi
Hakuna anayekataa watu kuswali lakini wangeweza kutenga maeneo ambayo sio ya kudumu kama ilivyokua awali kuruhusu waislamu au wakristo wanaohitaji huduma hiyo

View attachment 2950662
Ujinga huu wa kuendekeza dini na imani za watu wasiotuhusu ndiyo umetufanya Waafrika kuwa wajinga mpaka leo hii. Unajenga msikiti kwenye eneo la starehe ili iweje, kwamba Waafrika wasiojitambua wawe karibu na majini wa baharini au?
 
Yani Shia hawampendi Bi Ayesha mke wa mtume wa Mungu kwasababu alikuwa kahaba anagongwa hovyo hovyo. Licha ya Bi Ayesha kugongwa group sex alikuwa akioga uchi na hadharani mbele ya wanaume.
Haya maneno yameniumiza sana. Allah amlipie kisasi Mke wa Mtume Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake), Mama yetu 'Aaisha (Radhi za Allah ziwe juu yake), ambaye ni katika wabora wa wanawake wa Ummah huu. Mwanamke mwema msafi ambaye Allah alimtakasa katika Qur'an. Alikuwa katika bora ya wanachuoni miongoni mwa Maswahaba wa Mtume (Radhi za Allah ziwe juu yake).

Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) alimpenda sana. Mama wa Waumini, Mwanamke mtukufu binti wa Mbora wa watu baada ya Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) yaani Abu Bakar Swiddiq (Radhi za Allah ziwe juu yake). Mama wa Waumini ambaye Allah alijaalia Mtume wake afie mikononi mwake na azikwe chumbani kwake.

Radhi za Allah ziwe juu yake. Yuko mbali na uliyomtukana nayo. Namuomba Allah amlipie kisasi Mama yetu.

Nenda katika ignoring list yangu, sitaki kukuona popote wewe shaytwaan wa kibinaadamu, kafiri najisi. Allah akuongoze au auvunje mgongo wako.
 
Haya maneno yameniumiza sana. Allah amlipie kisasi Mke wa Mtume Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake), Mama yetu 'Aaisha (Radhi za Allah ziwe juu yake), ambaye ni katika wabora wa wanawake wa Ummah huu. Mwanamke mwema msafi ambaye Allah alimtakasa katika Qur'an. Alikuwa katika bora ya wanachuoni miongoni mwa Maswahaba wa Mtume (Radhi za Allah ziwe juu yake).

Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) alimpenda sana. Mama wa Waumini, Mwanamke mtukufu binti wa Mbora wa watu baada ya Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) yaani Abu Bakar Swiddiq (Radhi za Allah ziwe juu yake). Mama wa Waumini ambaye Allah alijaalia Mtume wake afie mikononi mwake na azikwe chumbani kwake.

Radhi za Allah ziwe juu yake. Yuko mbali na uliyomtukana nayo. Namuomba Allah amlipie kisasi Mama yetu.

Nenda katika ignoring list yangu, sitaki kukuona popote wewe shaytwaan wa kibinaadamu, kafiri najisi. Allah akuongoze au auvunje mgongo wako.
Amin
 
Haya maneno yameniumiza sana. Allah amlipie kisasi Mke wa Mtume Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake), Mama yetu 'Aaisha (Radhi za Allah ziwe juu yake), ambaye ni katika wabora wa wanawake wa Ummah huu. Mwanamke mwema msafi ambaye Allah alimtakasa katika Qur'an. Alikuwa katika bora ya wanachuoni miongoni mwa Maswahaba wa Mtume (Radhi za Allah ziwe juu yake).

Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) alimpenda sana. Mama wa Waumini, Mwanamke mtukufu binti wa Mbora wa watu baada ya Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) yaani Abu Bakar Swiddiq (Radhi za Allah ziwe juu yake). Mama wa Waumini ambaye Allah alijaalia Mtume wake afie mikononi mwake na azikwe chumbani kwake.

Radhi za Allah ziwe juu yake. Yuko mbali na uliyomtukana nayo. Namuomba Allah amlipie kisasi Mama yetu.

Nenda katika ignoring list yangu, sitaki kukuona popote wewe shaytwaan wa kibinaadamu, kafiri najisi. Allah akuongoze au auvunje mgongo wako.
Ameen
 
M
Siku aliingia "Wamakabayo" kichaa misikiti yote hiyo itabomolem

Siku aliingia "Wamakabayo" kichaa misikiti yote hiyo itabomolewa.
Msikiti ni sehemu ya huduma ya jamii japokuwa inawahusu Waislamu zaidi, ww hujiulizi kwa nini Posta, Kariakoo, Mnazi mmoja, UPANGA na Muhimbili misikiti ni mingi kuliko makanisa kwani Serikali ni ya Kiislamu
 
Kwamba maeneo yote yameisha hadi pajengwe nyumba ya Ibada pale! Miafrika bhana, hovyo kabisa
Wakristo ibada yenu ni mara moja kwa wiki wenzenu Waislamu ni mara5 kwa siku hvyo lazima wao wasogezewe huduma kwa karibu zaidi
 
Kama upo msikiti karibu na Coco beach tuambie upo sehemu gani
Kama haupo basi wangenunua ardhi karibu na cocobeach sio kujenga kwenye eneo la wazi.

Cha pili muda wa swala unaenda cocobeach kufanya Nini?
 
Haikataliwi kutenga sehemu za kuabudu … lakini kujenga jengo la kudumu ni kuja kutafuta matatozo baadaye kwani wote pale wameambiwa wajenge majengo ya muda
Ndio umeshajengwa wewe ulitaka lijengwe kanisa?
Kuna maofisi
Kwa nini waende Beach wakati wa swala? Kuna maofisi pale wafanyakazi wakaswali wapi, na unalazimisha Waislamu waende beach baada ya saa 10 kuswali Alasiri na waondoke kabla ya swala ya Magharibi kwa hiyo wakae beach masaa ma2 tu
 
Back
Top Bottom