Unarudia,huna zingine!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unarudia,huna zingine!?
Binafsi sijaona kiashiria chochote kuwa kinachojengwa hapo ni msikiti.Eneo la kudumu limeendelea kugubikwa na mipangp mibovu baada ya jengo la kudumu la msikiti kuanza kujemgwa sambamba na vibanda vya mihogo na kilevi
Hakuna anayekataa watu kuswali lakini wangeweza kutenga maeneo ambayo sio ya kudumu kama ilivyokua awali kuruhusu waislamu au wakristo wanaohitaji huduma hiyo
View attachment 2950662
Poor... jitahidi
Poor... jitahidi
Kataa ccmDuh hii serikali mbn ina upuz sana
Sasa ujenge msikiti hapo coco beach....ni akili kweli
Ova
Ila mmeamua kupotosha dhabiti sijui kwa faida ya nani, hichi mnachokifanya kukashifu dini za wenzenu gharama yake ni kubwa sana kuliko unavyoona raha kuandika na kushabikiwa... Uislamu unahesabu utupu wa mwanaume magotini mpaka kitovu, hiyo narration imemalizia kueleza hakuwa amevaa nguo ya juu, wewe umeishia katikati ya hiyo narration kwenye naked tu hujamalizia how, narudi tena kukuasa hichi mnachotaka kupandikiza gharama zake ni kubwa sana na ni irreversible... Kimbari ya Rwanda na kwingineko zilianza hivi kidogo kidogo hatimaye chuki zikazaa hayo unayoyapropagandiaJami at-Tirmidhi 2732,Narrated 'Aishah.
A man kissing Muhammad's bare chest.
"Zaid bin Harithah arrived in Al-Madinah while the Messenger of Allah was in his house. So he went and knocked at the door, so the Messenger of Allah stood naked, dragging his garment - and by Allah! I did not see him naked before nor afterwards - and he hugged him and kissed him."
Ila mmeamua kupotosha dhabiti sijui kwa faida ya nani, hichi mnachokifanya kukashifu dini za wenzenu gharama yake ni kubwa sana kuliko unavyoona raha kuandika na kushabikiwa... Uislamu unahesabu utupu wa mwanaume magotini mpaka kitovu, hiyo narration imemalizia kueleza hakuwa amevaa nguo ya juu, wewe umeishia katikati ya hiyo narration kwenye naked tu hujamalizia how, narudi tena kukuasa hichi mnachotaka kupandikiza gharama zake ni kubwa sana na ni irreversible... Kimbari ya Rwanda na kwingineko zilianza hivi kidogo kidogo hatimaye chuki zikazaa hayo unayoyapropagandia
Kama muda kwao umekuwa limited kwa nini walazimishe!Muislam huswali Mara Tano kwa siku,alfajiri,mchana,alasir,jioni,usiku,muda gani si wa swala aende beach!?
A responsible Muslim does not insult or hurt the feeling of other Muslim.Shia is a perfect Islam than Sunni.
We love our Imam fak all Sahabas and Ayesha bint Abu Bakr
adriz Mufti kuku The Infinity
Kweli coco ni ya manji sio kwa zama za sasa usishangae jamaa akaitwaa tena maana mwendazake alimpokonya TIGO NA COCO.Wanajenga kwenye kiwanja cha Manji?
Sawa kajengeni ilq kubalianeni dhehebu lipi,sisi waislqmu wote tutaswali msikiti mmoja nyue je??Hapo wamekosea sana,wakristo nao wakitaka wamegewe eneo wajenge kanisa je??
Hilo deal la watu,waliotoa fedha kujenga hapo Kuna eneo wamepewa bure na sirikali yetu,hapo ni kama sadaka ya shukrani kwa deal walilopiga na watawala!!
SanaWagalatia muna Roho mbaya sana
airports karibia zote zina misikiti ,hata hapo kenya tu ambapo 80% ni wakristo ila wameweka msikiti ndani ya airport, inajulikana waislamu husali mara tano kwa siku sasa wewe kwa nini unaumiaKila mahali misikiti. Nchi imekuwa ya kidini sana. Waarabu, misikiti. Yani ata aibu hana. Imani ni ya binafsi lakini kulazimisha sehemu za public kama airports na bus stands kuweka misikiti ni too much.