Meya Manispaa ya Moshi amelikoroga, aunga mkono ushoga

Madiwani waache tamaa za umeya hata kama lengo la kuwa ccm ni kuwa na wadhifa na kofia nyingi
 
Ingawa hili ndilo jambo lililotugombanisha na EU,lakini nashangaa sana kwamba Meya anasema atatetea haki za mashoga. This is absurd.
 
Madiwani wote wa ccm chapati ya maji
 
Huyo Meya ni mtu wa CCM tangu zamani kweli? Hawakumtoa kule kwingine?? Maana kama ana "elements" za ule upande wa pili, za kutetea haki za Mashoga....???Au anawasiliana na yule jamaa wa Brussels?
Huyo ccm mwenzako chapati ya maji hiyo kama yule Katibu mwenezi alieolewa Mombasa... chama kimejaa mashoga na malaya
 
Meya ni mpare sasa hivi tabia karithi kwa katibu mwenezi wake wa ccm
 
Juma Raibu anadaiwa wiki iliyopita alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa mwanaumme mmoja aliyeko kwenye mapenzi ya jinsia moja hapo mjini Moshi na katika salamu zake amenukuliwa akiunga mkono mapenzi hayo na kusisitiza manispaa ya moshi iko tayari kulinda haki zao na kwmaba itawapa ushirkkiano katika kudi haki zao.

[emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji2827][emoji2827]
MZUNGU AKISHATAKA LAKE LAZIMA LIWE!
 
Ni watu fulani kwa maslahi fulani wanapima upepo fulani juu ya mtazamo fulani wa watu fulani na ni hawa hawa wakina fulani, wanataka kufanya jambo fulani.

Huu msimu media zinatumika sana, unaweza jikuta umefanikisha jambo la watu hivi hivi bila malipo [emoji52]
 
Huyo jamaa namjua ila sikuwa najua jina lake. Ana nyumba fulani kubwa nyeupe nyuma ya chuo na kama vile anaishi mwenyewe humo. Old Moshi kipindi kile
 
Mtani huyu ndgu yako tabia karithi kwa chama chao ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…