CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Eeeeeeh wewe mtt unapenda ubishi kweli,, nenda home tunasubiri nyingineKwahiyo akiwa shoga nini tatizo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeeeeh wewe mtt unapenda ubishi kweli,, nenda home tunasubiri nyingineKwahiyo akiwa shoga nini tatizo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata Yesu Aliwapasha watu wa deen!Nakubaliiiiiih
Wee ushafika hapa, nimejitoa kwenye hii discusion 😂😂Nature ipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuoneshe INSTRUMENTS OF AUTHORITY.Nature ndo imenipa mamlaka
Kama tunavyohimizana kulinda mazingira, kupunguza Co2 emission yote ni kulinda human existence. Ndio hivyo hivyo tunalinda na hukuTuoneshe INSTRUMENTS OF AUTHORITY.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mtoto? Uwage na adabu kwa wakubwa zako, wee jibu swali kwan ugumu uko wapi hapo?Eeeeeeh wewe mtt unapenda ubishi kweli,, nenda home tunasubiri nyingine
Baki hapa ndo natala mjadala undeleee, haya nieleze hiyo nature ni ipi? [emoji23][emoji23][emoji23]Wee ushafika hapa, nimejitoa kwenye hii discusion [emoji23][emoji23]
Huna hata hoja umebaki kulia lia, poleeeeh ushoga ndo unazidi kukua na serikali yako ishasema mashoga wako salama na waendelee na shughuri zao kwa uhuru. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama tunavyohimizana kulinda mazingira, kupunguza Co2 emission yote ni kulinda human existence. Ndio hivyo hivyo tunalinda na huku
🏃🏃🏃 Nilikuwa namaanisha juma natureBaki hapa ndo natala mjadala undeleee, haya nieleze hiyo nature ni ipi? [emoji23][emoji23][emoji23]
We wamesema lini?Huna hata hoja umebaki kulia lia, poleeeeh ushoga ndo unazidi kukua na serikali yako ishasema mashoga wako salama na waendelee na shughuri zao kwa uhuru. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu weuweeeeeeeh.
Hiyo familia sijui ilikuwa na shida gani..Hili limenikumbusha jamaa flani alikua anaitwa Mawala hapo Moshi karibu na chuo Cha ushirika alikua anatuhimiwa kuwa ni shoga, familia yake ilikua inaishi Marekani ilidaiwa yeye alirudishwa kwa Sababu hiyo, inadaiwa pia ndio alikua anawapa hela vijana ili kutimiza azma yake. Ushoga ni kinyume na maadili ya jamii yetu tusikubali huu ujinga.
Hiyo familia sijui ilikuwa na shida gani..
... Kama Ni ukwasi wanao wa kutosha lakini Wana visa vya ajabu ajabu .. ..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh[emoji125][emoji125][emoji125] Nilikuwa namaanisha juma nature
Mda tyuuh. Kwani huna habari? [emoji23][emoji23][emoji23]We wamesema lini?
Kuliwa na mwanaume mwenzio ni HAKI? assume unakuta kadi ya mwaliko wa harusi ya bwana JUMA na bibi/ bwana HASSAN si unaweza ukatapika mkuu?Wakuu leo naandika haya ili yabaki kama kumbukumbu huko mbeleni.
Kupinga changamoto ya ushoga ni upofu na ujinga. Ni suala la muda tu. Kadri tuvyozidi kuzaliana ni wazi kuwa vinasaba na hulka za binadamu pia zinazidi kubadilika.
Tukubaliane tu kuwa tunaposema mwanamke au mwanamume mara nyingi tunachora mstari mmoja kuwatenganisha watu hawa.
Lakini vipi kuhusu wale ambao sifa zao za ndani au za nje hazikidhi vigezo vya kuwa upande wowote wa mstari?
Mtoto anazaliwa anaangaliwa hapo chini mara paap anchaguliwa nguo za kuvaa kulingana na kilichoonekana na ndugu watazamaji. Vipi kama upande aliochaguliwa si hulka yake?
Kuna wanaume na wanawake wapo ambao wanakuwa na amani wanapokuwa kwenye uwepo wa jinsia tofauti na inayofahika kwenye jamii.
Kama ambavyo ufupi, urefu, unene na wembamba ni sifa endelevu tukubaliane vile vile kuwa mwanaume au mwanamke si sifa za bainishi (jumla jumla).
Kuna mwanamuziki aliwahi kuwaona wale wanaume kama mabinti... nina imani hata sisi tumeshakutana na mabinti kama wanaume. Noma zaidi unamkuta binti mrembo usoni, kifuani, kiunoni lakini sirini ni wa kiume na mashine ipo active!
Wapo japo si wengi! Sirini kuna mengi sana!
Minority rights should not be ignored!
#FUTURE_POST
#Future post!Kuliwa na mwanaume mwenzio ni HAKI? assume unakuta kadi ya mwaliko wa harusi ya bwana JUMA na bibi/ bwana HASSAN si unaweza ukatapika mkuu?
Na hata ukihara, Kwan harusi haitafungwa? Tutolee sie gubu zako hapa, sasa huo ushoga na mashoga wapo au.hawapo? Tena sahivi wamejaa tele uraiani wana jifaragua wazi wazi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh.Kuliwa na mwanaume mwenzio ni HAKI? assume unakuta kadi ya mwaliko wa harusi ya bwana JUMA na bibi/ bwana HASSAN si unaweza ukatapika mkuu?
Nakazia...Wakuu leo naandika haya ili yabaki kama kumbukumbu huko mbeleni.
Kupinga changamoto ya ushoga ni upofu na ujinga. Ni suala la muda tu. Kadri tuvyozidi kuzaliana ni wazi kuwa vinasaba na hulka za binadamu pia zinazidi kubadilika.
Tukubaliane tu kuwa tunaposema mwanamke au mwanamume mara nyingi tunachora mstari mmoja kuwatenganisha watu hawa.
Lakini vipi kuhusu wale ambao sifa zao za ndani au za nje hazikidhi vigezo vya kuwa upande wowote wa mstari?
Mtoto anazaliwa anaangaliwa hapo chini mara paap anchaguliwa nguo za kuvaa kulingana na kilichoonekana na ndugu watazamaji. Vipi kama upande aliochaguliwa si hulka yake?
Kuna wanaume na wanawake wapo ambao wanakuwa na amani wanapokuwa kwenye uwepo wa jinsia tofauti na inayofahika kwenye jamii.
Kama ambavyo ufupi, urefu, unene na wembamba ni sifa endelevu tukubaliane vile vile kuwa mwanaume au mwanamke si sifa za bainishi (jumla jumla).
Kuna mwanamuziki aliwahi kuwaona wale wanaume kama mabinti... nina imani hata sisi tumeshakutana na mabinti kama wanaume. Noma zaidi unamkuta binti mrembo usoni, kifuani, kiunoni lakini sirini ni wa kiume na mashine ipo active!
Wapo japo si wengi! Sirini kuna mengi sana!
Minority rights should not be ignored!
#FUTURE_POST