libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,465
- 3,615
Mku.ndu unatiwa wake? Nyie mnawashwa nini? Au na nyie mnataka kutiwa?Bwashee umekasirika sana!
Hata kule Temeke hali ni hiyo hiyo kwa meya wao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mku.ndu unatiwa wake? Nyie mnawashwa nini? Au na nyie mnataka kutiwa?Bwashee umekasirika sana!
Hata kule Temeke hali ni hiyo hiyo kwa meya wao!
Social values zipi hizo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Against our social values
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawana wanalolijua wanahemkwa tyuuh.Kaka mimi nimejaribu kuwaza kwa mapana, Kwani Pombe, Sigara, Mila, Dini na Desturi zetu zinaruhusu? ni suala la kujibu kama unafahamu, kama hufahamu pia sio tatizo.
...Na kweli! Waachane Na kama wanapenda! Minduku inayosasambuliwa si Yao?waacheni kama wamependa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaaaa hapa lolukimpata muumini mzuri wa hivo vitu lazima akuoneshe how kutovifuata kutaaffect society negatively......
Ushoga unaafect vipi society negatively?
Sheria ipi? Weka hapa tuone lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fungua NGO mkuu
Mteteane vizuri
ILA Kwa sasa ushoga ni kinyume na sheria
Duh.....msalimie mwenzio meya!Mku.ndu unatiwa wake? Nyie mnawashwa nini? Au na nyie mnataka kutiwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpe huyo vidonge vyake, had apagawe zaidi lol.Sasa mbona unajichanganya Mkuu, Kwa sasa ushoga ni kinyume cha sheria, halafu unasema tena Fungua NGO, kwamba NGO inafanya kazi nje ya sheria?? Mimi nimeuliza ulitakiwa ujibu kama hufahamu basi hakuna tatizo.
Umeshindwa kunielewa maelezo yangu, halafu unakuja na conclusion.Majambazi, mafisadi, wote wanayohaki ya kutetewa? mbona serikali imeruhusu wawe na mawakili wa kuwatetea? Hili ni jukwaa huru, tunawaza kwa mapana sio kwa upande mmmoja tuu
Ndo uachwe km ulivyo, wee kuwa straight hakuna anayekuingilia lol, na mashoga waachwe km walivyo. KhaaaahOoooooh dear telling my kids it's right kutobolewa nyuma ni fine?? Ilianza kidogo ushoga,, right now in US wanafundishwa kuwa a Man can get pregnant,,, ushoga hauji solo,, unakuja na vtu vngne vng
Huna unalolijua kaa kimyaaa tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo mimi mkuu nakupinga,,,siamini kama mwanaume kamili straight anaweza kutoa jicho dogo ili apate macho matatu.....mashoga wengi ukiwafuatilia walianza utotoni sio ukubwani baada ya kuijua Dubai na Nguvu ya dollar...hata kama wa hivyo wapo basi kwenye kumi ni mmoja
Hii ishu inaanzia utotoni
Hawana majibu wanabaki kuhemkwa tyuuuuh, watoe majibu hapaa khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilijua kushinikiza ulimaaniisha ile kulazimisha watu wasio mashoga wawe mashoga...Kama ni hivyo basi na wahubiri wote wafungiwe maana kuhubiri ni kushinikiza watu waone imani yako ni sahihi..
Sasa ishu sidhani kama ni ushinikizaji bali ni nini kinachoshinikizwa.
Na mada iliyopo inaongelea meya wa serikali na ushoga. kwahiyo kwenye mfano wako wa handicapped kwenye daladala umeitoa serikali isihusike hapo lakini kwenye ushoga unataka serikali ijihusishe,,,,
Again mimi sijasema ushoga ni right au wrong....nilichouliza ni unahusiana nini na serikali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ukae kimya nawee, unadhan watu wote wafia dini km wewe? PoleeeeeehHivi mwanaume mzima na tena rijali,unajisikiaje kuingiliwa na mwanaume mwenzio?? Unapapaswa makalio nk unajisikiaje??? Wakati huo dude lako limesinyaa or???
Yaani mnakera sanaaa,na siku hizi mnaona kama fashion yaani. Ninyi ndo mnaosababisha majanga nchini!! Mrudieni basi Mungu,ili kuepuka hii laana na dhambi .
Jehanam ipo! Ole wako wewe unaeingiliwa,nawewe unaewaingilia. Maandiko yanasema,mwisho wenu ni katika ziwa la Moto. BADILIKENII
Waulize kwani hawa watu watoe majibu hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mku.ndu unatiwa wake? Nyie mnawashwa nini? Au na nyie mnataka kutiwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasira za nn? Mashoga wako huru, na Serikali inawalinda, poleeeeeh kwa kuteseka, uwiiiiiiih.Duh.....msalimie mwenzio meya!
Wewe nani kakupa mamlaka ya KULINDA HUMAN EXISTENCE?Tunalinda human existence maana ili kuendelewa kuwepo wanadamu, tunahitaji muingiliano baina ya jinsia mbili tofauti.
Duh....Hili limenikumbusha jamaa flani alikua anaitwa Mawala hapo Moshi karibu na chuo Cha ushirika alikua anatuhimiwa kuwa ni shoga,familia yake ilikua inaishi Marekani ilidaiwa yeye aliludishwa kwa Sababu hiyo, inadaiwa pia ndo alikua anawapa hela vijana ili kutimiza azma yake.Ushoga ni kinyume na maadili ya jamii yetu tusikubali huu ujinga.
Bora hata umuulize kwan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe nani kakupa mamlaka ya KULINDA HUMAN EXISTENCE?
Nature ndo imenipa mamlakaWewe nani kakupa mamlaka ya KULINDA HUMAN EXISTENCE?
Nature ipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nature ndo imenipa mamlaka
Kwahiyo akiwa shoga nini tatizo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu diwani ni muda mrefu sana anatajwa mtaan kama mmoja wa mapunga tunaishi nae mtaa mmoja