Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
NGO si huwa zinawatetea mashoga?Sasa mbona unajichanganya Mkuu, Kwa sasa ushoga ni kinyume cha sheria, halafu unasema tena Fungua NGO, kwamba NGO inafanya kazi nje ya sheria?? Mimi nimeuliza ulitakiwa ujibu kama hufahamu basi hakuna tatizo.
Join the forces