Meya Manispaa ya Moshi amelikoroga, aunga mkono ushoga

Meya Manispaa ya Moshi amelikoroga, aunga mkono ushoga

Na hata ukihara, Kwan harusi haitafungwa? Tutolee sie gubu zako hapa, sasa huo ushoga na mashoga wapo au.hawapo? Tena sahivi wamejaa tele uraiani wana jifaragua wazi wazi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh.
Mhhh wewe ni ke au me
 
Hili limenikumbusha jamaa flani alikua anaitwa Mawala hapo Moshi karibu na chuo Cha ushirika alikua anatuhimiwa kuwa ni shoga, familia yake ilikua inaishi Marekani ilidaiwa yeye alirudishwa kwa Sababu hiyo, inadaiwa pia ndio alikua anawapa hela vijana ili kutimiza azma yake. Ushoga ni kinyume na maadili ya jamii yetu tusikubali huu ujinga.
Mawala yupo bado anavaa vipensi na matako mlima yule jamaa wanampga long distance hole
 
Na vijana walivyo waroho was pesa watakua wanapangwa tyuuh, ila wakumbuke kinga, vingnevyo ni kuungwa REA. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kizazi cha sasa kimesahau kabisa ukimwi kavu kavu ndo mwendo wao, sasa kama ni ukimwi basi wanalo, ila vijana wana uthubutu, kuinamisha jitu kubwa kama lile hahahaha

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Kama Katibu mwenezi wa CCM Taifa wa sasa anashutumiwa kuwa ni shoga mbobezi na anaunga mkono ushoga, nani mwingine wa chini anaweza kuupinga huo msimamo?
Wanajiandaa bila shaka, lazima wapo wengi tu humo kwa sasa, ila wanajua bado jamii haijaandaliwa kuwatambua hivyo wanaoperate undeeground,
 
Baraza la Madiwani manispaa ya Moshi wameshafanya yao .... wametupilia kule huyo
 
Back
Top Bottom