Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
No research no right to speak. Koma kuchafua watu huku hujafanya tafiti tosha.Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Kuna Ushahidi wowote Meya Mstaafu kuhusika?
2025 Loading .........
Duh siasa ni hatari, kila mahali Wanafanya Siasa.![]()
Boniface Jacob
@ExMayorUbungo
·
May 16
Ni uoga au kapozwa...? Sisi hatukumfuata kumuomba atugomeshe,Bali yeye ndiye alituita kikao na kututaka tugome. Kauwasha Moto ambao kashindwa Kuuzima sasa anataka kutuchoma tukamatwe ,Tushitakiwe na kufilisiwa. USALITI KILA SEHEMU
Du. Jamaa wewe mbona kichwani kweupe namna hiyo! Yaani aseme fungueni maduka acheni ujinga? Hicho wanachodai ni ujinga? Mbona watanzania tunakuwa na mawazo ya kitumwa namna hii! Migomo ni halali na ipo duniani kote. Ni njia rasmi ya kudai haki pale unapoona umeikosa. Anyways, elimu yetu nayo ni majanga hivyo nisikulaumu sana.Kwa hiyo pamoja na uwezo wao mkubwa wa biashara ni wa Pumbavu hivyo? Hii issie lazima inahusiana na Mkuu wa Mkoa pia, jana alitakiwa toa kauli ngumu ya kiume, fungueni maduka acheni ujinga, tutajadiliana baadae, mkwara mkwara, yeye anajiweka pembeni anamsumbua waziri mkuu...
Ndo maana kaletwa yule chalamila wa mbeya, anamudu haya mambo
Mimi nimemtaja Boniface Jacob wa Chadema anayefanya biashara Kariakoo.Mgomo unafadhiliwa na “matajiri wa ccm” ambao wao wanajua TRA ikisimamia utaratibu biashara itaharibika …asimia 80% ya vitu vinavyouzwa na watu wasiotoa risiti kariakoooo vinatoka kwenye magodown ya hao …
Sasa Kusuka au Kunyoa ……CCM waambie wafadhili wao chini ya Abudulrahman Kinana waache kutumia mgongo wa migomo …. Walipe kodi wakilipa na ili kina kabwela nao walipe ….
Msipoteze watu maboya kwa kuwasingizia chadema …wafanyabishara sio wanasiasa
Aliyewahi kuwa meya,sio mstaafu.Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Mimi nimemtaja Boniface Jacob wa Chadema anayefanya biashara Kariakoo.
Usiwe mnafiki wataje hao wafanya biashara wa CCM.

Katika maswala kama hili la kulipa/kutolipa kodi sijui ni nani anakomolewa hasa.I was thinking about this too, vyema tukumbuke hii issue ilianzia kwa wafanyabiashara wenyewe waka organise mambo yao, mpaka utekelezaji, sasa hao jamaa wa Chadema kuingilia kati sijaelewa mantiki yao.
Sijui ndio kutetea haki, hata kama ni kufanya hivyo, siasa ikiingia kwenye haya mambo inaweza pelekea muelekeo tofauti, wakakosa kile walichokusudia kwa sababu watawala wanaweza kuhisi kuna wapinzani wako nyuma yao, mwishowe itakuwa ni kukomoana tu kama ilivyo kawaida ya CCM na upinzani.
Kwamba wewe peke yako ndio una akili ya kuwaza , Ila sisi wenye uwezo wa kutafuta hela hatuna hiyo akili , huu ni ubinafsi wa kijinga sana !
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Jacob hana huo ubavu wa kuongoza wafanyabiashara wa kkoo kwa remoteWafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Haijalishi nan yupo behind kikubwa wafanya biashara wana hoja, wasikilizwe!! OverWafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Akili ni nyweleUtaacha lini kuota weee ? Mbowe anaingiaje sasa kwenye mambo ya kariakoo? Sometimes ina kera sana mtu mzima kujawa na chuki na kusambaza uongochana kutwa bila kuwa na ushahidi wowote
Ukiingiza wanasiasa wa upinzani, mizani inaparaganyika.Haijalishi nan yupo behind kikubwa wafanya biashara wana hoja, wasikilizwe!! Over