Aisei! Mbaya sana kama nikweli. Huu ni uhujumu uchumi! Haikubaliki.🙏🙏🙏Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisei! Mbaya sana kama nikweli. Huu ni uhujumu uchumi! Haikubaliki.🙏🙏🙏Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Ni kwa vile upeo wako ni mdogo sana.Wafanya biashara ni sisi wewe hata tin no humiliki
Uyo meya tunamsikia kwako
Hakuna mwanachadema wala mwanaccm
Yeyote anaefanya biashara hasa ya kuuza jumla kariakoo au anamiliki hata jengo lazima afanye mgomo hata kimya kimya kwenye nafsi yake
Hili swala linawagusa wote
Hata zungu ni chadema…?
Kukiri wapinzani kudandia, naona ni tatizo lingine linalojitegemea kwa upinzani wetu..Uzuri wa hii issue ni kwamba imeanzishwa na wafanyabiashara wenyewe, hao wapinzani wamedandia tu.
Kwa hivyo watawala wakidindisha, watakuwa wanapingana na wafanyabiashara, si wapinzani.
Unatumia nguvu kubwa lakini huwezi utenga huu mgomo na CHADEMAWafanya biashara ni sisi wewe hata tin no humiliki
Uyo meya tunamsikia kwako
Hakuna mwanachadema wala mwanaccm
Yeyote anaefanya biashara hasa ya kuuza jumla kariakoo au anamiliki hata jengo lazima afanye mgomo hata kimya kimya kwenye nafsi yake
Hili swala linawagusa wote
Hata zungu ni chadema…?
Wewe jamaa Kiranga ungekuwa kiongozi hapa nchini,naamini ungefanya mengi makubwa kwa nchi, ujengaji hoja wako ni wa nnje ya box na hata pale pasipo na box at all.Naturally watapata assistance ya wapinzani, kwa sababu haya ni madudu yaliyotokea chini ya uongozi wa CCM.
Na CCM nao wanatakiwa kujipanga kusema manifesto yetu haituongozi hivi, kuna changamoto tunazitatua, kitu ambacho Majaliwa kashaanza kukifanya.
Tunaweza kupingana kwa hoja na kufanya siasa zenye tija bila kuendekeza siasa za kukomoana.
Wafanyabiashara walipe kodi halali, wasionewe na kutozwa kodi kandamizi, watawala wajirekebishe na wapinzani wafanye kazi yao ya kukosoa watawala.
Tusiogope siasa, tukatae siasa chafu.
[emoji1787]Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
BJ toka chuoni....yeye ni maandamano tu.....[emoji1787]Hakuna mgomo wala maandamano hapa Tanzania bila upinzani kubwa nyuma ya haya, ule wa madaktari, walimu, wana habari mapema vyuo vikuu so hapa Mbowe anwatuma wafanye yeye anajificha kwenye mwavuli wa madhiriano
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Migomo ya madaktariUtaacha lini kuota weee ? Mbowe anaingiaje sasa kwenye mambo ya kariakoo? Sometimes ina kera sana mtu mzima kujawa na chuki na kusambaza uongochana kutwa bila kuwa na ushahidi wowote
Amekwambia amewaza?!!![emoji1787][emoji1787]Kwamba wewe peke yako ndio una akili ya kuwaza , Ila sisi wenye uwezo wa kutafuta hela hatuna hiyo akili , huu ni ubinafsi wa kijinga sana !
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ukiona mwana chuo kikuu anasoma miaka mitatu bila kugoma ujue huyo haeleqi anachosoma ana kariri tu kupasi mitihani yake " ( Prof. Chachage, 2004)BJ toka chuoni....yeye ni maandamano tu.....[emoji1787]
Vunjabei aliyekuwa anatoa kero zake ni CHADEMA?Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Hivi Vunjabei ndiye Boniface Jacob, jijibu mwenyewe!Vunjabei aliyekuwa anatoa kero zake ni CHADEMA?
Wewe thread yako ya udaku kumtaja Boniface na CHADEMA mtu mwenye akili timamu ni lazima aelewe kuwa ulidhamiria kuonyesha kwamba mgomo unaratibiwa na CHADEMA kwa lengo fulani! Sasa ndio nakuuliza Vunjabei aliyetoa kero zake ambazo bila huo mgomo asingeziibua ni CHADEMA?Hivi Vunjabei ndiye Boniface Jacob, jijibu mwenyewe!
Hivi Vunjabei ndiye Boniface Jacob, jijibu mwenyewe!
Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!