Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Unaishi nchi gani? Umeme na maji kwako yanapatikana 24/7/365?Hivi kwa akili ya kawaida serikali huwa inashindwa jambo? Hayo ni maneno yake binafsi, huenda na yeye ni mteja, nashauri 2025 apumzike awaachie kazi wanaoweza
Hahaha😂😂😂😂😂 This thread is crazy.
Ukahaba unaitwa biashara,dah,humanity can't be more immoral.Si afadhali kujifanya kama haupo,kuliko kuuhalalisha.Sasa ukikusanywa hela halafu ukaitumia,si unaletea nchi laana.Hiyo ni hela chafu jamani.Yaani watu wamekuwa waovu kiasi kwamba hawajui uovu ni upi na wema ni upi.Very sad indeed.Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni amesema Wameshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba hivyo Wataomba Ihalalishwe na Wasajiliwe Kabisa
View attachment 2528343
Chanzo: Jambo TV
Huyo ajiuzulu. Bila shaka kesho atakuja na kusema wameshindwa mashoga nao wasajiliwe.Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni amesema Wameshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba hivyo Wataomba Ihalalishwe na Wasajiliwe Kabisa
View attachment 2528343
Chanzo: Jambo TV
[emoji15]Na madanguro ya wanaume yachunguzwe, ila ushoga ukubalike ili serikali ichukuwe kodi.
Unapotosha,Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni amesema Wameshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba hivyo Wataomba Ihalalishwe na Wasajiliwe Kabisa
View attachment 2528343
Chanzo: Jambo TV
MkuuJamii yetu haijafika huko mnakolazimisha tuende. Eboo. Bongo kuna ukahaba au maigizo tu !!?
Wawezeshe kwa mitaji hao wanawake unaoita makahaba kama utawaona huko
Kwa sheria zetu kunywa pombe au kuvuta sigaraTanzania sio kosa,ila Ukahaba ni kosa Kisheria,na kwa mtizamo na utamaduni wa wetu halikubaliki.Pombe ni halali?sigara ni halali? Na mbona wanakusanya kodi nyingi tu,uhalali na uharamu wa kitu ni mitazamo binafs tu ya jamii husika,
Huyu ni wa kuondolewa haraka,hafaiyaani Songoro kama baba wa familia anarudi nyumbani jioni anatazama taarifa ya Habari kwenye tv, wanarusha Habari yake alafu wanae wanatazama alichoongea ni hiki! Mama Samia, CC ya chama chenu ifanye uamuzi kwa huyu mtu.
Namna ya kukabiliana na tatizo ni kutoa mitaji kwa vijana wajiajiri,Lowassa alishasema miaka kama 10 iliyopita kwamba ukosefu wa ajira kwa vijana ni Bomu linalosubiri kulipuka,ndio haya sasa matokeo.Mkuu
Tanzania karibia miji yote Sasa Ukahaba umekubuhu.
Nenda Shinyanga, rudi Mtwara, potelea Sumbawanga na Mpanda, Arusha, Moshi, Songea achana na miji mikubwa huko ndio mamaaaa.
Kifupi ni bora itafutwe namna ya kuregulate kuliko hali mbaya tulioko Sasa.
Unajua maana ya ugaindi au bado unaakili za mgando. Mnaendekeza ushoga mtu akisema ushonga marufuk et haki za binadamuUna element za kigaidi chunga sana hii nchi sio iran.
Kweli we ni Weed!Bora wahalalishe!Wachukue na kodi ili tuache kubanana na kodi sisizo na kichwa wala miguu!Pia wakihalalisha wakague na viwango kama vinaendana na bei,mambo ya kuuziwa elfu50 halafu ukifika ndani **** mdebwedo,utamu hamna,harufu kama panya kafa hatutaki.
Jamaa yangu anayake je kuna kosa jipya duniani? Mauaji,madawa ya kulevya na makosa yote ikiwemo linaloibuka sasa hivi la ushoga mm pamoja na kuyakemea bado yanaendelea kwa dhana yake tuyaridhie sbb haikomi?Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni amesema Wameshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba hivyo Wataomba Ihalalishwe na Wasajiliwe Kabisa
View attachment 2528343
Chanzo: Jambo TV
Umetaja dini gani etiSerikali si washikaji wenzetu.
Swala dogo sana kukomesha ukahaba kwanza kuna njia mbili hapa naziona.
Nchi iongozwe kwa misingi ya dini ya kiislamu.
Au wafunge bar, casino,club, saloon zenye huduma ya massage nadhani hapa watakuwa wamefika hata asilimia 70.
Serikali haiwezi kusema imeshindwa kuthibiti ukahaba ilo nakataa kabisa sema kwakuwa wanunuzi nao wako serikalini inakuwa ngumu sana kuwa na mikakati thabiti.
📌 Jiulize hao makahaba pindi wanapokamatwa mbona wanaonga pesa na wanatolewa. Afu kufanya kazi ya ukahaba ni upungufu wa MAARIFA afu akili chenga.
📌 Wasichana wanatoka mikoani kuja dar kufanya shughuri za ukahaba mwingine anakuja kujificha bar kwa ni mhudumu wa bar kumbe anauza sangara.
Wanakataa kuuza karanga wanaona wauze miili yao .
Amesemaje?Unapotosha,
Meya hajasema hivyo.
Mods msiruhusu threads bila kujiridhisha na source kuepuka taharuki.
vaa miwaniUmetaja dini gani eti