Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hawazioni kwa uzezetaHivi hii nchi imekosa wazalendo wa kweli?? hapo inatumika pesa ya wananchi.
Wakati kuna changamoto kibao ambazo zinapaswa kutatuliwa
Hatari sana kwa kweliNchi ina mambo ya ajabu ajabu sana
Ova
[emoji38][emoji38][emoji38]Huwa nikifananisha Mayor wa duniani na wa kwetu naona hata udereva asingepewa
Hebu angalia nguvu za Mayor wa majiji makubwa na kazi zao halafu anakuja mwingine kwa cheo hicho hicho anaandaa upuuzi huu
Poleni sana View attachment 2478383View attachment 2478384View attachment 2478385
Hadi unamwagika.. Meya kabisa hiyo siku anazidua, usikute na posho kapewaUjinga ni mwingi sana tz
Wao wanachojuwa ni kila siku kuandaa matamasha na wasaniiHatari sana kwa kweli
Huwa tunawachagua wenyewe, ukiacha uchafuzi wa 2020. Tubadilike jamani, SIASA ni MAISHAWanasiasa tulionao wana IQ ndogo sana..sijui huwa wanatoka wap?Africa itaendelea siku hivi vibuyu vikiacha kupewa madaraka wakapewa watu wenye akili kubwa
Hii nchi ina wajinga na ujinga mwingi. Uchawa unaliangamiza hili taifaKuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA...
The Sunk Cost Fallacy 2 pia hawezi kosa. Hawa ni kupe sio chawa tena wamehitimu.
Kwahiyo unashaur nini?Ujinga ni mwingi sana tz
Uwendawazimu mkubwa. Sidhani kwa mtu mwenye akili timamu, anaweza kuacha utu wake aliopewa na Mungu, na kutamani kuwa mdudu chawa. Sifa kubwa ya chawa ni kudhulumu damu ya wanyama.View attachment 2478363
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tulipofikia
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA...