NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Wale vijana waliotaka kumpora na kumpiga muheshimiwa waziri ni wahuni tu waliotumwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni meya au " aliyekuwa meya "?Ni Meya wa Ubungo
Hebu weka usioupotoshaji tuuone!Acha kupotosha.
Walitumwa na nani kwa malengo gani?Wale vijana waliotaka kumpora na kumpiga muheshimiwa waziri ni wahuni tu waliotumwa.
YYani fisadi achukiwe na mafisadi?Peleka huko upuuzi huu! Waitara n mlevi tu, mchumia tumbo aliyekutana na bahati ya mtende ya kuwa na uongozi wa kishamba, vinginevyo hata uafisa mtendaji wa kijiji hafai tena!Waitara anachukiwa na mafisadi. Hasa baada ya kuibuia kashfa ya mbowe kulipwa deni hewa la mil 50 na kukwapua bil 8.
Tunajua Chadema mnachukia. Amewaaibisha sana mbele za umma.YYani fisadi achukiwe na mafisadi?Peleka huko upuuzi huu! Waitara n mlevi tu, mchumia tumbo aliyekutana na bahati ya mtende ya kuwa na uongozi wa kishamba, vinginevyo hata uafisa mtendaji wa kijiji hafai tena!
Mwita anakauli mbovu sana mdomoni make,by the way sishangai maana asili yake ni chadema,na chadema matusi kwao ni sunnaWananchi ndiyo wamemtandika amuache meya hausiki na maneno yake ya hovyo ndiyo yamewachefua wananchi
Kwa taarifa yako Mwita CCM ndiyo nyumbani kwake, alihamia CDM akitokea CCM baada ya kuvurugana na Riz1 hivyo naamini mdomo mchafu ni hulka yake binafsiMwita anakauli mbovu sana mdomoni make,by the way sishangai maana asili yake ni chadema,na chadema matusi kwao ni sunna
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye haki au mabavu?Sasa ndio itajulikana Meya na Naibu waziri nani ni nani!!
Ni wa chama ganiRPC wa Mwanza Jumanne amesema jeshi la polisi limefanikiwa kumkamata meya wa jiji la Mwanza mh Bwire anayedaiwa kuandaa vijana waliomtukana na kutaka kumpiga Naibu waziri wa Tamisemi Mwita Waitara.
RPC Jumanne amesema Bwire amekamatwa baada ya kushindwa kuitikia wito wa polisi uliomtaka afike kituoni kwa mahojiano.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
CCM!Ni wa chama gani
Vyote!Kwenye haki au mabavu?
Huyo meya ni wa chama kipi tuanzie hapoWananchi ndiyo wamemtandika amuache meya hausiki na maneno yake ya hovyo ndiyo yamewachefua wananchi
Hawa vijana hawajui historia!Kwa taarifa yako Mwita CCM ndiyo nyumbani kwake, alihamia CDM akitokea CCM baada ya kuvurugana na Riz1 hivyo naamini mdomo mchafu ni hulka yake binafsi
CCM!Huyo meya ni wa chama kipi tuanzie hapo
Ccm akimkamata mccm mwenzake huwa sio ishueCCM!
RPC wa Mwanza Jumanne amesema jeshi la polisi limefanikiwa kumkamata meya wa jiji la Mwanza mh Bwire anayedaiwa kuandaa vijana waliomtukana na kutaka kumpiga Naibu waziri wa Tamisemi Mwita Waitara.
RPC Jumanne amesema Bwire amekamatwa baada ya kushindwa kuitikia wito wa polisi uliomtaka afike kituoni kwa mahojiano.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Waitara alikimbia kazi ya kumpikia chai Dr Nchimbi akaenda kuwa mlinzi wa Mbowe.Ccm akimkamata mccm mwenzake huwa sio ishue
Hamna kesi hapo.CCM!
Mafisadi wa ccm?Waitara amekuwa mwiba kwa mafisadi.