Ulimboka akitekwa na jiwe Mwaka 2012!?
Ndiyo!! Jiwe alishirikiana kwa karibu sana, na Membe!! Lengo lao ili wamfurahishe Rais Kikwete!.... na ili kikwetet atakapo maliza mda wake awafikirie kwenye teuzi za kugombea u rais!........
Jiwe akapata, lkn kawageuka wenzake faster tena wengi tu, akiwamo Boss wake wa zamanai pia Membe! jiwe akajifanya yeye mafia zaidi... kuumbe toto la kisukuma sijui mRundiyule?........, watoto wa mjini wakawa wanalichora tu kwa povu!
ndo maana, yeye huyo Membe akawa mwiba Lugumya maksudi tu.... kwenye utawala wa jiwe kwa kuwa jiwe alimgeuka wazi, akiamini Membe anataka muua huko mbele ya safari!! ...kwa kuwa Membe ni afisa usalama mbobevu hasa bin zoefu !!
anaweza kuua dakika sifuri kwa remote ya masafa, mbinu za kimafia alizo jifunza Urusi!....hili lilimtatiza kwa hofu kubwa sana jiwe na kila akijaribu kumuweka Membe mkononi mwake hakushikika.....hata jiwe alipo kufa alitamka wazi...''amenimaliza huyu bwana''
tafuta clip humu zinazo husu kifo cha jiwe utaziona zimo!......kwani unaona Membe kuna siku aliomboleza kifo cha jiwe??...alikuwa hamuogopi jiwe hata dakika sifuri! sababu alijua mapungufu lukuki ya utawala wa jiwe ''A to Z'' ni usipime.
Maskini wa Mungu jiwe hakujua Uwezo wa watu aliokuwa anapambana nao ambao walikuwa ni very vital kwa tawala zote, tangu zama za Edward Twinning! hili hakulijua kamweee!.....ukisha kuwa Rais popote Duniani lazima uwekwe kwenye mizania kwanza!
Kumbuka kwamba Dunia hii ina wenyewe hata uwe nani lazima upitishwe kwenye tanuru of know how!!...utake usitake, wakigundua ni wrong choice ndo km hayo ya jiwe!....JF keneddy nk!
Kumbuka jiwe wkt huo alikuwa waziri!! Maafisa usalama walikuwa wanamfundisha mbinu za kimafia!! pindi wao watakapo kuwa ktk uongozi wa juu!! lkn bahati mbaya nafasi ikamdondokea jiwe!
Jiwe kashindwa kuwaweka wenzie sawa akawageuka tena kwa kejeli mbaya,...... akidhania ni Rahisi ivo!! lkn jua Membe alinuna!!....alichoshindwa kujua jiwe ni kuwa Membe alikuwa kaiva ki mafia!...na kiusalama zaidi ya nchi! yule aliandaliwa kuua tu!
nchi hii imesukwa na ika sukika wapo wachache sana tunao jua mchezo ukiingia humu uwe flexible! uishi......