Meya wa Kinondoni kumpa Diamond mtaa mmoja ubatizwe jina lake pia shule mojo na ya msingi na sekondari itaitwa jina la Diamond!

Kama ni kweli hiyo ni dharau kubwa sana.Inaonesha jinsi gani Taifa linadharauliwa.Heshima ya nchi imeporomoka kwa kiwango kikubwa sana.
 
Wewe endelea kubeba mabox huku wala hatukutambui
 
Wewe endelea kubeba mabox huku wala hatukutambui
sitamani kutambuliwa na mifedhuli mawakala wa ibilisi ambao hawajali kodi ya wananchi. Its not acceptable and fundamentaly wrong playing and misusing taxpayers money and public funds. Angalieni tu mnavyoharibu maisha ya watu. Wananchi wanaishi maisha ya shida na ya ajabu. Jamaa yenu hana hata aibu yeye safari kila siku salasala.
 
Itapendeza sana
 
Tunakusubiri ila ukizidi sana tunakufuata tu huko huko!!

You are dealing and messing around with a wrong person. Naweza kupenyeza ngerengere nikafly yale ma migs chakavu ya 1970s nakuwashushia vitu vizito vyenye ncha butu vikigusa ardhi tu vinalipuka hapo lumumba
 
Thibitisha Mkuu kuwa Lukuuvy huwa anakesha kwa Mnyika!
 
Nazani hata iyo happy birthday kodi za walalahoi zimetumika pia da haya mambo haya
 
Hahaha ni revenge tuu au vipi?
 
Hivi huko ndo huwa anaenda kugegeda muke ya mutu ?jamaa lifuska sana na upara wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…