Meya wa Kinondoni kumpa Diamond mtaa mmoja ubatizwe jina lake pia shule mojo na ya msingi na sekondari itaitwa jina la Diamond!

Meya wa Kinondoni kumpa Diamond mtaa mmoja ubatizwe jina lake pia shule mojo na ya msingi na sekondari itaitwa jina la Diamond!

Mnaweza nunua wote ila mbunge wangu na rafiki yangu mkubwa, special seat mp upendo peneza, geita, NG"O huyo mumusahau kabisa, hakuna hela ambayo mnaweza tumia kumununua, hata mumupatie hela yote ambazo ziko hapo BOT , hatachukua na hana haja nazo, hata wote wahame chadema, peneza atabaki kuwa katika upizani
 
Mnaweza nunua wote ila mbunge wangu na rafiki yangu mkubwa, special seat mp upendo peneza, geita, NG"O huyo mumusahau kabisa, hakuna hela ambayo mnaweza tumia kumununua, hata mumupatie hela yote ambazo ziko hapo BOT , hatachukua na hana haja nazo, hata wote wahame chadema, peneza atabaki kuwa katika upizani
Yule ndio mwepesi kabisa!
 
Alafu akisha hamia ..?viwanda vingapi vitazinduliwa kukuza ajira..
Acheni uzuzu,mjikite katika kutatua kero na changamoto zinazowakabili watanzania.

Lakini hizi mbwembwe za eti kuunga mkono juhudi ,hazitowatoa watanzania kwenye umaskini..
 
Viongozi mbalimbali was kisiasa, Sana'a na michezo wameshawasili na sasa anasubiriwa mgeni rasmi katika tukio hili RC Makonda.

Pamoja na mambo mengi yanayojiri wengi wana hamu ya kumuona Hugo mbunge anayeachana na Chadema kama ni John au Saed.. Stay tuned utayapata yote kutokea hapa Tandale!

Updates:

Meya wa Kinondoni kumpa Diamond mtaa mmoja ubatizwe jina lake pia shule mojo na ya msingi na sekondari itaitwa jina la Diamond!
Diamond amewalipia bima ya afya akina mama 1000 yenye jumla ya thamani ya sh 36milioni.
Dai ametoa pikipiki 20 kwa vijana was Tandale kama njia mojawapo ya kukuza ajira.
Dai amkabidhi mama mmoja Bajaj mpya ili imsaidie kimaisha.
Dai ampeleka Hawa was " Nitarejea" India kupata matibabu ya maradhi yanayomsumbua.
Le mutuz amlipia bima ya afya mwanamama mmoja.
Shigongo Naye atoa pikipiki tatu kwa vijana was Tandale.
Haji Manara amejitolea kuwalipia bima ya afya watoto wenye ulemavu watakaoanza darasa la kwanza mwakani Kara ya Tandale.
95% ya wabongo ni mbumbumbu ndio maana story yako inabamba
 
Leo zamu ya Kubenea.
Mkuu ulimsikiliza Pole pole,?
Alisema ccm imekataa kuwapokea wsbunge watatu was cdm was mkoa was dar es salaam
Kwa maana hiyo waliokataluwa kujinga na ccm kwa sababu ya matusi na matendo yao,dhidi ta viongozi was ccm na serikali ni LAZIMA watskuwa
1-John MNyika
2-Kubenea
3-Halima Mdee hawa ndio wabunge waliokataliwa kujiunga na ccm kwa mojibu was Pole pole.
Dhana hii inatokana na ukweli kwamba Kinondoni,Kigamboni,Segerea,Ukonga,Temeke/Mbagala zote zipo na wabinge was ccm.
Kawe,Ubungo,na Kibamba ndizo pekee zipo cdm.
 
Viongozi mbalimbali was kisiasa, Sana'a na michezo wameshawasili na sasa anasubiriwa mgeni rasmi katika tukio hili RC Makonda.

Pamoja na mambo mengi yanayojiri wengi wana hamu ya kumuona Hugo mbunge anayeachana na Chadema kama ni John au Saed.. Stay tuned utayapata yote kutokea hapa Tandale!

Updates:

Meya wa Kinondoni kumpa Diamond mtaa mmoja ubatizwe jina lake pia shule mojo na ya msingi na sekondari itaitwa jina la Diamond!
Diamond amewalipia bima ya afya akina mama 1000 yenye jumla ya thamani ya sh 36milioni.
Dai ametoa pikipiki 20 kwa vijana was Tandale kama njia mojawapo ya kukuza ajira.
Dai amkabidhi mama mmoja Bajaj mpya ili imsaidie kimaisha.
Dai ampeleka Hawa was " Nitarejea" India kupata matibabu ya maradhi yanayomsumbua.
Le mutuz amlipia bima ya afya mwanamama mmoja.
Shigongo Naye atoa pikipiki tatu kwa vijana was Tandale.
Haji Manara amejitolea kuwalipia bima ya afya watoto wenye ulemavu watakaoanza darasa la kwanza mwakani Kara ya Tandale.
Cinema zinaendelea nchini Tanzania. Kwa akili yako uliyopewa na mungu. Unavyoona wewe au kufikiria huyo Diamond anaweza kuwa na utajiri wa kiasi gani. Sidhani kama inafika hata 1b. Usifikiri kupigwa nyimbo zake redioni kila dakika au kuwa na wapenzi wengi wasiolipa hata shilingi ndio utajiri. WATANZANIA WANAITAJI ELIMU! ELIMU! ELIMU!. CCM wanajua matatizo ya watanzania walio wengi ni ELIMU. Ndio maana hawataki kuwapa elimu ili watanzania waendelee kuwa mandondocha. Ili kikundi kidogo ya wanaccm waendelee KUTAWALA. Haitakaa ccm ikatoa elimu iliyo bora kwa Watanzania. ELIMU BORA itakuja kupatikana baada ya MACCM Kuondoka madarakani. CCM NI KIKUNDI CHA WATU WABINAFSI, WANAOJIPENDA WAO NA FAMILIA ZAO. NA AKILI ZAO INAWAAMBIA TANZANIA NI MALI YAO
 
Vijana wa Lumumba kweli hamnazo,mwenzenu kafiwa pale mtaa wa muheza badala ya kwenda kumfariji..

Mnakuja kuja na drama zenu kama kawaida eti B/Day ,acheni ulimbukeni.
 
Viongozi mbalimbali was kisiasa, Sana'a na michezo wameshawasili na sasa anasubiriwa mgeni rasmi katika tukio hili RC Makonda.

Pamoja na mambo mengi yanayojiri wengi wana hamu ya kumuona Hugo mbunge anayeachana na Chadema kama ni John au Saed.. Stay tuned utayapata yote kutokea hapa Tandale!

Updates:

Meya wa Kinondoni kumpa Diamond mtaa mmoja ubatizwe jina lake pia shule mojo na ya msingi na sekondari itaitwa jina la Diamond!
Diamond amewalipia bima ya afya akina mama 1000 yenye jumla ya thamani ya sh 36milioni.
Dai ametoa pikipiki 20 kwa vijana was Tandale kama njia mojawapo ya kukuza ajira.
Dai amkabidhi mama mmoja Bajaj mpya ili imsaidie kimaisha.
Dai ampeleka Hawa was " Nitarejea" India kupata matibabu ya maradhi yanayomsumbua.
Le mutuz amlipia bima ya afya mwanamama mmoja.
Shigongo Naye atoa pikipiki tatu kwa vijana was Tandale.
Haji Manara amejitolea kuwalipia bima ya afya watoto wenye ulemavu watakaoanza darasa la kwanza mwakani Kara ya Tandale.
Why diamond na siyo familia za akina Sykes, Mshume Kiate, Tambaza et al?
 
Tuachane na siasa,ila kwa hili diamond kafanya jambo jema sana,wasanii wengine igeni mfano huu kwa kukumbuka mlipotoka...sio mkija kutembelea ma home kwenu mnafunga vioo.hongera sana nassib abdul
 
Tanzania Ina Maeneo Mengi Apewe Ajenge Shule Zake Za Msingi Na Secondary Halafu Ndiyo Azipe Majina Ya Diamond
 
Cinema zinaendelea nchini Tanzania. Kwa akili yako uliyopewa na mungu. Unavyoona wewe au kufikiria huyo Diamond anaweza kuwa na utajiri wa kiasi gani. Sidhani kama inafika hata 1b. Usifikiri kupigwa nyimbo zake redioni kila dakika au kuwa na wapenzi wengi wasiolipa hata shilingi ndio utajiri. WATANZANIA WANAITAJI ELIMU! ELIMU! ELIMU!. CCM wanajua matatizo ya watanzania walio wengi ni ELIMU. Ndio maana hawataki kuwapa elimu ili watanzania waendelee kuwa mandondocha. Ili kikundi kidogo ya wanaccm waendelee KUTAWALA. Haitakaa ccm ikatoa elimu iliyo bora kwa Watanzania. ELIMU BORA itakuja kupatikana baada ya MACCM Kuondoka madarakani. CCM NI KIKUNDI CHA WATU WABINAFSI, WANAOJIPENDA WAO NA FAMILIA ZAO. NA AKILI ZAO INAWAAMBIA TANZANIA NI MALI YAO
Diamond hawezi kua na utajiri uwezo wa kutoka msaada mkubwa kiasi hicho ninachoamini/fikiria ni kwamba alipata idea ya kuwasaidia wana tandale akuza Sera kwa makampuni na watu mashuhuri waka fadhili sehemu ya msaaada ila Kasema mondi Kata kila kitu ni uongo.
 
Back
Top Bottom