Meya wa Kinondoni kumpa Diamond mtaa mmoja ubatizwe jina lake pia shule mojo na ya msingi na sekondari itaitwa jina la Diamond!

Meya wa Kinondoni kumpa Diamond mtaa mmoja ubatizwe jina lake pia shule mojo na ya msingi na sekondari itaitwa jina la Diamond!

haya shihata tumekupata ni msimu wenu wa kujidai. Ole wenu tushike madaraka tumewaandalia adhabu nzuri lukuki za vifo kati ya hizo, beheading, drowning, poisoning, hunging, firing squad, burning in the cage, throwing from cliffs and high building. Endeleeni tu.

Pray we dont get into power!
Mze kwa maandalizi kama hayo, hata Mwenyezi Mungu hawezi sikia maombi yako akupe madaraka. Badirisha dhamila.
 
Viongozi mbalimbali was kisiasa, Sana'a na michezo wameshawasili na sasa anasubiriwa mgeni rasmi katika tukio hili RC Makonda. Pamoja na mambo mengi yanayojiri wengi wana hamu ya kumuona Hugo mbunge anayeachana na Chadema kama no John au Saed.. Stay tuned utayapata yote kutokea hapa Tandale!
Updates:
Meya was Kinondoni kumpa Diamond mtaa mmoja ubatizwe jina lake pia shule mojo na ya msingi na sekondari itaitwa jina la Diamond!
Weka cd nyingine kwani hii imeshachuja kama sio kutoboka na kuscrach! Huyo anayehama ana kitita kibindoni je, wewe? Shangilia tu shibe za wenzako! Laiti ungemuomba daidomo akufundishe kuimba ungeweza kupata za kununulia shati la mtumba tandika!
 
Weka cd nyingine kwani hii imeshachuja kama sio kutoboka na kuscrach! Huyo anayehama ana kitita kibindoni je, wewe? Shangilia tu shibe za wenzako! Laiti ungemuomba daidomo akufundishe kuimba ungeweza kupata za kununulia shati la mtumba tandika!
Mmeshanyooka wallah!
 
Viongozi mbalimbali was kisiasa, Sana'a na michezo wameshawasili na sasa anasubiriwa mgeni rasmi katika tukio hili RC Makonda. Pamoja na mambo mengi yanayojiri wengi wana hamu ya kumuona Hugo mbunge anayeachana na Chadema kama no John au Saed.. Stay tuned utayapata yote kutokea hapa Tandale!
Updates:
Meya was Kinondoni kumpa Diamond mtaa mmoja ubatizwe jina lake pia shule mojo na ya msingi na sekondari itaitwa jina la Diamond!
Kwa hiyo birthday ya Diamond inakuwa ya kisiasa!!!! Huyu msanii ni mwanaccm au kashauriwa vibaya!
 
Viongozi mbalimbali was kisiasa, Sana'a na michezo wameshawasili na sasa anasubiriwa mgeni rasmi katika tukio hili RC Makonda. Pamoja na mambo mengi yanayojiri wengi wana hamu ya kumuona Hugo mbunge anayeachana na Chadema kama no John au Saed.. Stay tuned utayapata yote kutokea hapa Tandale!
Updates:
Meya was Kinondoni kumpa Diamond mtaa mmoja ubatizwe jina lake pia shule mojo na ya msingi na sekondari itaitwa jina la Diamond!

Wambea wa tandale kumbe na humu mumo!?
 
Heeee hadi RC kwenye birthday jamani?

Tunahangaishwa na machizi na nzi wa kijani....!!Kila kitu ni siasa..!
''TATIZO LA NCHI HII TUMERUHUSU AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA..''Rev. Peter Msigwa(MP Iringa Urban-CHADEMA)
 
Wewe endelea kubeba mabox huku wala hatukutambui
Wewe anakutambua nani hapo Lumumba? Kama walivyochemsha wengi hapa jukwaani baada ya kukosa uteuzi nawe utachemsha tuu....
 
Thubutu maamae. You are dealing and messing around with a wrong person. Naweza kupenyeza ngerengere nikafly yale ma migs chakavu ya 1970s nakuwashushia vitu vizito vyenye ncha butu vikigusa ardhi tu vinalipuka hapo lumumba
Hahaha Copenhagen Dn

Huu mkwara sio wa nchi hii

Salalee!
 
Mmeshanyooka wallah!
Unajua nini dogo? Kinywa hunena yaujazao moyo hivyo haya ya kunyooka yanakukabili pande zote za dira! Tulia na endelea kushangilia ili angalau waendelee kukutupia buku saba japo siku hizi zimeadimika kama jasho la kuku!
 
Back
Top Bottom