Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Hamna laana ktk unafiki. Kujitenga na makubaliano ulioridhia awali ni dhambi. Kikanuni Dr. Slaa ni mdhambi.
Dr Slaa ni mdhambi na dhambi hizo zimewapoteza kwenye ramani!🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
 
Ama kwa hakika umeya ni habari nyingine, shavu limekua dodo, yaani linabonyea tu.

Lakini mitaro pale stendi kuu, mvua ikinyesha inaziba.

We mwenyewe mtaro wako umeziba unafaa uzibuliwe.
 
Hakuna kuwachangia

In God we Trust
 
Mbona hao wanashikana tena kwa kukumbatiana hiv hawaelewi kama wanatumalizia muda wa kutafakari Covid-19.
Kufukuzwa ulifukuzwa ila sema ili kulinda posho yako ya umea mmekaa kuikataa barua ambayo mliandika wenyewe. Shame on you.
Kwanza Jacob wewe utengeneze taharuki ya nini wakati umeisha kisiasa
 
Samahani sibishani na Wapuuzi Leo
 
Mayor Boniface hajafukuzwa Chadema...hajawahi hata kujadiliwa kwa suala lolote la nidhamu. Mkurugenzi Ubungo amefanyia kazi barua fake. Amesha fahamishwa na amesema ataondoa hiyo barua yake.

John Mallya,
Mwanasheria wa CHADEMA.
Kwahiyo mazee ya kukurupuka yameingia choo cha kike
 
kweli ukila nyama ya Binadamu huwezi kuacha, CiCiM bybadala mpambane na Corona Mnafanya ubwege,Tunaacha kupambana na Janga linalotukabili tuna fanya mazimgaombwe.
 
Uzushi tu meya kajitokeza na viongozi wenzake wa kata hakuna kitu kama hicho ni uhuni tu was ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…