Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Ile stendi haimilikiwi na Halmashauri ya Ubungo!!Jamaa anapaswa kuhakikisha stendi kuu pale ubungo inakuwa alama ya utofauti kati ya Chadema na CCM ila yeye kawekeza kwenye kukuza mashavu badala ya kufanya anachopaswa kufanya.