sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Na kubwa kuzidi yote mara nyingi wanaume ndio huwa tunaamua game ichezwe vipi kuanzia location, staili, raundi ngapi na hata kwenye suala la kuvaa helmet (conddom), wanawake uwanjani huwa wana nguvu ndogo sana ya maamuzi.
Game za kwanza najua wengi huwa tunaipiga kwa ndom, ila kuna kipindi inafika unaanza kuingia peku peku.
Je, ni baada ya muda gani huwa unaingia peku.
Game za kwanza najua wengi huwa tunaipiga kwa ndom, ila kuna kipindi inafika unaanza kuingia peku peku.
Je, ni baada ya muda gani huwa unaingia peku.