Meza ya wanaume: Ni baada ya muda gani kwenye mahusiano mapya unaingia peku?

Meza ya wanaume: Ni baada ya muda gani kwenye mahusiano mapya unaingia peku?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Na kubwa kuzidi yote mara nyingi wanaume ndio huwa tunaamua game ichezwe vipi kuanzia location, staili, raundi ngapi na hata kwenye suala la kuvaa helmet (conddom), wanawake uwanjani huwa wana nguvu ndogo sana ya maamuzi.

Game za kwanza najua wengi huwa tunaipiga kwa ndom, ila kuna kipindi inafika unaanza kuingia peku peku.

Je, ni baada ya muda gani huwa unaingia peku.
 
Na kubwa kuzidi yote mara nyingi wanaume ndio huwa tunaamua game ichezwe vipi kuanzia location, staili, raundi ngapi na hata kwenye suala la kuvaa helmet (conddom), wanawake uwanjani huwa wana nguvu ndogo sana ya maamuzi.

Game za kwanza najua wengi huwa tunaipiga kwa ndom, ila kuna kipindi inafika unaanza kuingia peku peku.

Je, ni baada ya muda gani huwa unaingia peku.
Hio ilikuwa zamani sana siku hizi toka day one unakula mzigo vizuri tu, demu anaangalia mezani kama kuna mafuta anachukua anapaka au anakuuliza mafuta Yako wapi? Umepaka mafuta? Huko ntakupa ila Lete mafuta mazuri, anasema mafuta ya Nazi ndio mazuri
 
Na kubwa kuzidi yote mara nyingi wanaume ndio huwa tunaamua game ichezwe vipi kuanzia location, staili, raundi ngapi na hata kwenye suala la kuvaa helmet (conddom), wanawake uwanjani huwa wana nguvu ndogo sana ya maamuzi.

Game za kwanza najua wengi huwa tunaipiga kwa ndom, ila kuna kipindi inafika unaanza kuingia peku peku.

Je, ni baada ya muda gani huwa unaingia peku.
kapimeni afya zenu
 
Na kubwa kuzidi yote mara nyingi wanaume ndio huwa tunaamua game ichezwe vipi kuanzia location, staili, raundi ngapi na hata kwenye suala la kuvaa helmet (conddom), wanawake uwanjani huwa wana nguvu ndogo sana ya maamuzi.

Game za kwanza najua wengi huwa tunaipiga kwa ndom, ila kuna kipindi inafika unaanza kuingia peku peku.

Je, ni baada ya muda gani huwa unaingia peku.
Tangu mwanzo kwa sababu lazima tukapime kwanza
 
Back
Top Bottom