Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Sasa unakaribiaje moto huku unauogopa😂Mipira muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unakaribiaje moto huku unauogopa😂Mipira muhimu
Ivo ivo kwa mbaliSasa unakaribiaje moto huku unauogopa😂
[emoji3][emoji3][emoji3]Hapa ninafeli pakubwa, naweza kuwa na F flat kabisa, God help!!
Curtain raiser yenyewe naingia stereo 😂...Je, ni baada ya muda gani huwa unaingia peku.
Una hatari na hasara kubwa. Kwamba unadhani ukishapiga game nyingi kwa kutumia mpira na mkazoeana basi kama ana virus wa HIV au vijidudu vya maradhi mengine ya ngono, basi vitakuwa vimeshajua wewe ni mshikaji wa demu na havitakudhuru!!!Na kubwa kuzidi yote mara nyingi wanaume ndio huwa tunaamua game ichezwe vipi kuanzia location, staili, raundi ngapi na hata kwenye suala la kuvaa helmet (conddom), wanawake uwanjani huwa wana nguvu ndogo sana ya maamuzi.
Game za kwanza najua wengi huwa tunaipiga kwa ndom, ila kuna kipindi inafika unaanza kuingia peku peku.
Je, ni baada ya muda gani huwa unaingia peku.