Meza ya wanaume: Ni baada ya muda gani kwenye mahusiano mapya unaingia peku?

Una hatari na hasara kubwa. Kwamba unadhani ukishapiga game nyingi kwa kutumia mpira na mkazoeana basi kama ana virus wa HIV au vijidudu vya maradhi mengine ya ngono, basi vitakuwa vimeshajua wewe ni mshikaji wa demu na havitakudhuru!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…