Uchaguzi 2020 Mfa maji haachi kutapatapa! CHADEMA maji shingoni

Mbowe nae hataki kabisa kisikia habari ya kuvunjika mguu wakati alipigwa rungu kwenye kiwiko
 
Ina maana hawakujua gharama halisi za uchaguzi wakajipanga? Miaka mitano yote wameshindwa kujipanga? Walisema kila mbunge anakatwa posho kwa ajili ya kampeni, ziko wapi hizo hela?

Hili na mengine, ni ushahidi tosha kuwa chadema haiwezi kuunda serikali kwa sababu kama wabashindwa kupanga bajeti ndani ya chama, wataweza ngazi ya nchi?
Kwa sababu wapanga bajeti ngazi ya chama ndiyo haohao wapanga bajeti ya nchi, chadema tayari wameonesha udhaifu.

Lisu alipofika kuomba kura Njombe alitegemea aungwe mkono na Mwanyika. Kwa bahati mbaya Mwanyika alishatubu na kurudi nyumbani baada ya kuona biashara ya accacia hatatoboa nayo. Kosa liko wapi? Alidai alipigwa risasi kwa sababu zenye uhusiano na Mwanyika. Kuna uhusiano gani? Akiri kwamba aliwasaidia accacia kuidhulumu nchi tena kwa makusudi. Accacia wenyewe wamemtelekeza, anamlilia Mwanyika.

Chadema ni chama kizuri sana ila Lisu anapoteza dira ya Cjadema. Halafu hakuelewa kwanini Mbowe alikubali kumwachia nafasi hii kwa urahisi. Mbowe akili nyingi.

Lisu rudi kwa mbowe ukaombe samahni kwa kushindana na babako mlezi hadi unataka uwe mkubwa kama yeye. Hizi siku zaidi ya 40 zilizobaki utatembea kwa miguu.
 
Kauli za ''kiutu uzima'' ni kama '

'hatuna pesa za kampeni'', ''mguu wangu haukunjuki'' ''habari zangu hazirushwi'',''mshindani wangu anahela sana''.
Mara mgimbea wa CCM alikuwa fisadi"
Amesahau Lowasa alipokuwa kwao walisemaji.
 
Wengi ni wanafunzi na walimu waliohudhuria kwa SHURUTI, na mashabiki wa wasanii.. Wengi wao hawana habari na jiwe
 
Mtu alieshiriki kumpokea na kumsafisha Lowasa kwa aliyokuwa anatuhumiwa nayo anapolalama mgombea ubunge wa Njombe ana kashfa ya ufisadi hivyo hapaswi kupitishwa na chama chake kugombea inatoa tafsiri moja tu, Lissu hajapona...
 
Acha mambo ya kitoto,sio kila hoja ya msingi unapaswa uipinge. Tumia akili wewe jibaba.

Hivi Uvccm mnaweza kabisa kuja humu jukwaani na hoja za msingi kabisa!! Nyinyi kazi yenu ni moja tu; kubweka pale mnapotakiwa kubweka na wakuu wenu. Basi!
 
Wengi ni wanafunzi na walimu waliohudhuria kwa SHURUTI, na mashabiki wa wasanii.. Wengi wao hawana habari na jiwe
Una matatizo kichwani , rudi kafanye utafti upya achana na propaganda za mitandaoni , mtachakazwa vibaya mno, hakuna mgombea wa kumcatch JPM kanda ya ziwa hasa shinyanga, Geita, Tabora , Mwanza , mikoa ambayo huamua hatima ya mgombea uraisi pia , ukipigwa hii mikoa nenda kalale biashara imeisha .....
 
Hivi Uvccm mnaweza kabisa kuja humu jukwaani na hoja za msingi kabisa!! Nyinyi kazi yenu ni moja tu; kubweka pale mnapotakiwa kubweka na wakuu wenu. Basi!
Ahaaa! Kwa hiyo hata sisi watu wazima ambao tunachoangalia ni kusema ukweli tupo Uvccm? Tunaweka hoja za msingi bila kujali chama kwa maslahi ya taifa letu.
 
halafu kweli jamani.Bw. Amsterdam kakimbilia wapi? Au alikuwa ni yeye mwenyewe anajifanya Amsterdam ?
 
CCM ndiyo inatapatapa ushetani wa kupita bila kupingwa kwa njia haramu ni kupora haki za wapiga kura
Mlipitisha wagombea ambao hawajui kusoma na kuandika. Mlitegea nini?
 
Mama Maria Nyere alipewa heshima tu aje kusheherekea matunda ya chama alichoasisi mume wake. Na kuomba kura kwa watanzania kama mama wa taifa ni jambo jema pia.
Hivi ni nani alikuwa anawafundisha cha kusema?
 
Kesi yake ya kukamatwa akitoa rushwa inaendaje?
 
Sasa kama mnahali ngumu ya maisha nani kasababisha hiyo hali?Sera zenu mbovu za uchumi zimefanya maisha ya watu kuwa mabovu kiasi hiki na hili ndilo linalokera wengi Ila mnajifanya hamjui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…