Mfahamu Dk. Zakir Naik: Muhibiri aliyealikwa TZ kufanya mihadhara ya Jesus vs Muhammad anatafutwa kwa kuchochea ugaidi nchini kwake

Mfahamu Dk. Zakir Naik: Muhibiri aliyealikwa TZ kufanya mihadhara ya Jesus vs Muhammad anatafutwa kwa kuchochea ugaidi nchini kwake

Yanavyocheka mbele ya camera kama watu wa maana vile kumbe ni ndugu zake shetani kabisa
 
Sasa hapa ugaidi unatetewaje, acheni kuamni hizo propaganda mnazopewa..

We unafikiri hayo yote mnayoyasema yangekuwa kweli angekuwa anapita humo mote anamopita?

Mnapewa maneno nanyi mnayala bila kuangalia.

Ana pastoti huyo anazotumia kusafiria kwenda nchi mbalimbali, unafikiri hayo yanayosemwa yangekuwa ya kweli nani angempa pastoti huyo..?

Zakuambiwa changanya na zako acheni umbumbumbu
Mzee siku hizi dunia imerahisishwa, maana habari nyingi zinawrkwa wazi mtandaoni, unaweza kuhakiki taarifa mtandaoni...kama huyu jamaa hatafutwi na nchi yake kwa makosa mbalimbali na pia amepihwa marufuku kuingia nchi nyingi
 
Kuna preacher wangapi wakristo wanakuja Nchi hii? Ushawahi sikia waisilamu wakikataa wasije? Why mnaogopa midahalo?
Jiite mwenyewe kuwa wewe ni punguani kwenye masuala ya kidini.

Huwa hakuna kitu kinachoitwa 'mdahalo' kwenye masuala ya kidini. Kwenye dini kuna mihadhara au mahubiri.

Hilo gaidi linalosema kuwa "kila muidlam anatakiwa kuwa gaidi', lisiguse ardhi yetu.
 
Mkuu usitangulize chuki na uongo huyu jamaa anapendwa sanaa na nchi nyingi kwa njia yake ya mahubili ya dialogue na debate, wiki ilio pita alikua Uganada na Kenya India hamtafuti ila tu hawataki mahubiri yake kwasababu anubisha sanaa dini yao ya Hindu kwa debates zake za dini
Wakuristo wengi hampendi kqasababu hawana hoja za debate yule ni mziki mnene kwa mbumbu wa kikuristo wa Tanzania wanao fuata dini yao bila facts na logic
Dini zina facts na logic ??
Nyote mnabishania kitu ambacho hamjawahi kukiona na hakithibitishiki halafu unasema facts na logic.
 
Magalatia yanasema kuwa wao hawependi mambo ya kulalamika Cha ajabu wiki nzima wanapayuka tu kuzungumzia kitu kimoja.

Poor Galatians..
Ona ulivyokosa maarifa na uelewa. Hujui hata wagalatia ni nani.

Wagalatia na waafeso, wote hao ni waturuki.

Wakorinto ni Wagiriki.

Shule ndogo hiyo imusaidie ili usidharaurike kila mara.
 
Jiite mwenyewe kuwa wewe ni punguani kwenye masuala ya kidini.

Huwa hakuna kitu kinachoitwa 'mdahalo' kwenye masuala ya kidini. Kwenye dini kuna mihadhara au mahubiri.

Hilo gaidi linalosema kuwa "kila muidlam anatakiwa kuwa gaidi', lisiguse ardhi yetu.
Onesha sehemu yoyote aliyosema hayo maneno, hicho ndio kipaji chenu wakristo wa JF kusingizia watu

According to James 3:15-16, the practice of slander is demonic. People who engage in slandering other people are being led by demons—not the Spirit of God

Sasa jiulize we ni mfuasi wa Mungu ama wa shetani kusingizia mtu kitu ambacho hajasema.
 
Onesha sehemu yoyote aliyosema hayo maneno, hicho ndio kipaji chenu wakristo wa JF kusingizia watu

According to James 3:15-16, the practice of slander is demonic. People who engage in slandering other people are being led by demons—not the Spirit of God

Sasa jiulize we ni mfuasi wa Mungu ama wa shetani kusingizia mtu kitu ambacho hajasema.



View: https://youtu.be/Bxk5AAA5FbI?si=kGFRQ0NiAxJKd5Nj

Namnukuu maneno anayoongea kwenye video. “If bin Laden is fighting enemies of Islam, I am for him. If he is terrorizing America—the terrorist, biggest terrorist—I am with him. Every Muslim should be a terrorist. The thing is that if he is terrorizing the terrorist, he is following Islam
 
Dk. Zakir Naik ni mhubiri ambaye amealikwa kuja kufanya mijada ya kidini Tanzania, anatarajiwa kufanya mihadhara mitatu Mihadhara hiyo itakuwa inajadili kuhusu Mtume Muhammad na Yesu

Mihadhara yake itarushwa live na Azam TV na ZBC2

View attachment 3188750

Mhadhiri huyu ana asili ya India na anamiliki channel inayoitwa Peace TV Dk. Nakir anatafutwa na mamlaka za kisheria za nchi yake ya India kwa kutoa mahubiri yanayochochea ugaidi na chuki katika ya makundi tofauti ya Dini

Pia amepigwa marufuku kuingia nchi za Bangladesh, Sri Lanka, Uingereza Canada, na channel yake ya Peace Tv kupigwa marufuku kuonyeshwa na Tv yoyote kutokana na mahubiri yake kuonekana hayafai

Mojawapo ya kauli tata alizowahi kunukuliwa Dk. Zakir Naik ni pamoja na
"Kama bin Laden anapigana na maadui wa Uislamu, mimi namuunga mkono. Ikiwa anaitisha Marekani—gaidi mkubwa zaidi kuliko wote—mimi niko pamoja naye. Kila Muislamu anapaswa kuwa gaidi."

Dk.Nakir pia anatajwa kuwa mahubiri yake yalichochea shambulio la kigaidi lililotokea Sri Lanka mwaka 2019 siku ya pasaka, na mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea Dhaka mwaka Bangladesh mwaka 2016
Mbona huyo zakir hatujamfahamu? Ebu muelezee vizuri
 

View: https://youtu.be/Bxk5AAA5FbI?si=kGFRQ0NiAxJKd5Nj

Namnukuu maneno anayoongea kwenye video. “If bin Laden is fighting enemies of Islam, I am for him. If he is terrorizing America—the terrorist, biggest terrorist—I am with him. Every Muslim should be a terrorist. The thing is that if he is terrorizing the terrorist, he is following Islam

Endelea mpaka mwisho video haijaishia hapo, tuwe waungwana aisee
 
hivi leo watu na usomi wao kwel bado wanaamin osama alikua gaidi kweli? bas they are still ignorantic of geopolitical. hiv jamaa wa syria yule jolan bado hafahamiki? lama anafahamika bas osama is the same
 
halafu linacheka tu...

magaidi wengi wana sura za kutabasamu kabla hawajatenda dhambi ya kuua

Takbiiiir
 
Dk. Zakir Naik ni mhubiri ambaye amealikwa kuja kufanya mijada ya kidini Tanzania, anatarajiwa kufanya mihadhara mitatu Mihadhara hiyo itakuwa inajadili kuhusu Mtume Muhammad na Yesu

Mihadhara yake itarushwa live na Azam TV na ZBC2

View attachment 3188750

Mhadhiri huyu ana asili ya India na anamiliki channel inayoitwa Peace TV Dk. Nakir anatafutwa na mamlaka za kisheria za nchi yake ya India kwa kutoa mahubiri yanayochochea ugaidi na chuki katika ya makundi tofauti ya Dini

Pia amepigwa marufuku kuingia nchi za Bangladesh, Sri Lanka, Uingereza Canada, na channel yake ya Peace Tv kupigwa marufuku kuonyeshwa na Tv yoyote kutokana na mahubiri yake kuonekana hayafai

Mojawapo ya kauli tata alizowahi kunukuliwa Dk. Zakir Naik ni pamoja na
"Kama bin Laden anapigana na maadui wa Uislamu, mimi namuunga mkono. Ikiwa anaitisha Marekani—gaidi mkubwa zaidi kuliko wote—mimi niko pamoja naye. Kila Muislamu anapaswa kuwa gaidi."

Dk.Nakir pia anatajwa kuwa mahubiri yake yalichochea shambulio la kigaidi lililotokea Sri Lanka mwaka 2019 siku ya pasaka, na mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea Dhaka mwaka Bangladesh mwaka 2016
Hii si ndiyo kazi ya usalama wa Taifa au mimi ni mgeni hapa sijui?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu usitangulize chuki na uongo huyu jamaa anapendwa sanaa na nchi nyingi kwa njia yake ya mahubili ya dialogue na debate, wiki ilio pita alikua Uganada na Kenya India hamtafuti ila tu hawataki mahubiri yake kwasababu anubisha sanaa dini yao ya Hindu kwa debates zake za dini
Wakuristo wengi hampendi kqasababu hawana hoja za debate yule ni mziki mnene kwa mbumbu wa kikuristo wa Tanzania wanao fuata dini yao bila facts na logic
Ungekuwa unaelewa ungekaa kimya Islam ni heresy na occoult kqa ujumla qake. Dini dininpekee inayovua hadi chupi kwenye ibada zingine,. Ndio dini pekee ambayo Jin wanaabudu nayo na kusaliwa mwanza wa ibada yao. Dini pekee ambayo kwa mwili watu humrushia mawe shetani kila mwaka lkn hakuna taarifa ya kujeruhiwa kwake. Acheni mambo ya Jesus Vs Mohmad. Hubiri ya kwako . Hii kama wameipenda aruhusu watu wajibu hoja zake atakazoleta .
Kimsingi Movement za mpe aya zina mchango mdogo mno katika kumshawishi mtu kuamini.
Lakini aliyeita Qur'an kuwa ni Aya za Shetani mbona nchi za kiarabu zlitaka kichwa chake?
Narudia wala mi sioni impact ya kuogofya kwa jamii ya Kikristo na nitawashangaa wakihamaki huo ni uhuru wao waachwe ila kijamii impact ipo maana mianya ya kusema dini nyingine kwa mtindo wowote sasa serkali isije kuegemea upande. Kama sio leo Wakristo watajibu, kama sio utawala huu watajibu utawala mwingine.
Mungu hapiganiwi na wanadamu bali hujipigania
 
Kwa hiyo ana kuja kuchochea chuki?
Hivi unajuwa chochote kuhusu huyu mtu Dr. Zakir, wewe unafikiri anawindwa kwa jailli gani? Huyu jamaa ilibidii asipewe visa ya kuja Tanzania kama tunataka amani, subirini kuona vijana wa Kiislam wakiongezeka kujiunga na Makundi ya ugaidi baada ya yeye kuondka hapa nchini.
 
Dk. Zakir Naik ni mhubiri ambaye amealikwa kuja kufanya mijada ya kidini Tanzania, anatarajiwa kufanya mihadhara mitatu Mihadhara hiyo itakuwa inajadili kuhusu Mtume Muhammad na Yesu

Mihadhara yake itarushwa live na Azam TV na ZBC2

View attachment 3188750

Mhadhiri huyu ana asili ya India na anamiliki channel inayoitwa Peace TV Dk. Nakir anatafutwa na mamlaka za kisheria za nchi yake ya India kwa kutoa mahubiri yanayochochea ugaidi na chuki katika ya makundi tofauti ya Dini

Pia amepigwa marufuku kuingia nchi za Bangladesh, Sri Lanka, Uingereza Canada, na channel yake ya Peace Tv kupigwa marufuku kuonyeshwa na Tv yoyote kutokana na mahubiri yake kuonekana hayafai

Mojawapo ya kauli tata alizowahi kunukuliwa Dk. Zakir Naik ni pamoja na
"Kama bin Laden anapigana na maadui wa Uislamu, mimi namuunga mkono. Ikiwa anaitisha Marekani—gaidi mkubwa zaidi kuliko wote—mimi niko pamoja naye. Kila Muislamu anapaswa kuwa gaidi."

Dk.Nakir pia anatajwa kuwa mahubiri yake yalichochea shambulio la kigaidi lililotokea Sri Lanka mwaka 2019 siku ya pasaka, na mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea Dhaka mwaka Bangladesh mwaka 2016
Hapa kuna ubalozi wa India kwanini wasifanye yao wakamrejesha kwao huyu gaidi???
 
Back
Top Bottom