Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Mimi ni roman catholic
kwa mroma mwenzangu
atakayeweza kunielewesha, kiunagaubaga zile sanamu kanisani ni za nini? Kwanini maandiko yamepinga na still bado zipo? vp kwenye salama Maria kuna sehemu tunatamka mama wa Mungu je ni halali?. Ntaendelea kuuliza zaidi
Nb hayo maswali hasa la sanamu limenifanya niwe mgumu wa kwenda kanisani kabisa.
Wewe si mkatoliki, kwa namna ulivyoandika unajionyesha ww si mkatoliki mbali ni mnafiki na mchonganishi
 
Ngoja nikuache mkuu. Ila tu tambua kuwa hapa JF kuna watu wa kila aina. Unapo-copy na ku-paste habari basi uwe tayari kuitetea hasa kama umeitoa kwenye source yenye mauzauza na isiyo na hadhi ya kuchangia lolote kuhusu mada husika. Happy New Year !
Kuwa na mauzauza ni mtazamo wako binafsi, usitake kumuaminisha kwa lazima kila mtu unachoamini wewe. Anyway , sikutegemea kuungwa mkono na kila mtu.


Kwa mtu aliyetulia akasoma mada kwa umakini lazima ameona utofauti wa hoja katika mada kuu na article niliyoleta mimi.

Kwa heri.
 
Heb anzisheni thread special ant catholic au against catholic maana mmezidi kila kila catholic tu, kuna makanisa ya yanafungisha ndoa ya jinsia moja kanisani, kuna cults watu wanauana. Yote mnayaacha mnakimbilia kwa R.C ambacho nakiona huenda kila anayeanzisha kanisa analenga kupata waumini kutoka rc kwan ndipi kuna waumini wengi hivyo lazma uwaponde. Sasa hawa waumini wa makanisa hayo wanakopi utamaduni huo bila kujua chanzo. Kanisa linafundisha amani, upendo nk lina shida Gan? By the way hakuna atakayeenda mbinguni sababu yeye ni dini Fulani, wapo waislamu wataingia, wabudha wataingia, rc na lutheri kila mtu kutokana na matendo yake. Kama unadhani mbinguni utakwenda jehova witness peke yenu sababu hamruhusu kuongezewa damu utakua mjinga wa mwisho na Kama utadhani mbinguni utakwenda kwa kusali jumamosi na ni mjinga vile vile.

Nimejaribu kuchunguza kwa wiki hii tu, kuna mada za kuponda kanisa katoliki nyingi tu nikajiuliza kwa nini....

Baadae nikaona picha za misa za mheshimiwa ambae ameonekana anahudhuria vizuri sana kanisani kila anapoenda. Nikapata jibu ni kwamba watu wameacha kumsema kisiasa, sasa wanahamia kwenye udhehebu.
 
Wewe si mkatoliki, kwa namna ulivyoandika unajionyesha ww si mkatoliki mbali ni mnafiki na mchonganishi
Babu usibishe mimi ndiye ninayejua kuwa ni mkatoliki sasa sijui ukibisha inasaidia nini.
Kama ni mafundisho nimesoma
nimekunika na nimepokea kipaimara na sema labda kutumikia ndio sikuwahi kutumikia sankristi mkuu.
 
Miaka ya 1800,kipindi cha dark ages,papacy rules iliua sana watu,inasemekana ktk world history papacy ndio iliomwaga damu nyingi sana za watu,ilibidi wengine wakimbilie milimani kujificha.kahaba mkuu ni papa na alikua na nguvu na amri,nyakati hizi nguvu yake imepungua yupo kimya ila soon itarudi na ataitawala dunia.
 
Ila mm bado sjaelewa zaid uhusika wa RC katika ufunuo maana Kuna sehemu wengine wanampa uhusika tofauti na huu
 
Miaka ya 1800,kipindi cha dark ages,papacy rules iliua sana watu,inasemekana ktk world history papacy ndio iliomwaga damu nyingi sana za watu,ilibidi wengine wakimbilie milimani kujificha.kahaba mkuu ni papa na alikua na nguvu na amri,nyakati hizi nguvu yake imepungua yupo kimya ila soon itarudi na ataitawala dunia.

Rudi SHULE uache ujinga. 1800 sio kipindi cha Dark Ages.

Na kipindi cha Dark Ages ndio kipindi ambacho watu walikua wanamtafuta sana mungu huko ulaya, kwa sababu ni kipindi ambacho watu waliumwa sana magonjwa na kulikua sana na vita ktk kugombea maeneo.Kuna vitabu na vitabu vinavyoelezea hivyo, mgonjwa kama bubonic plagues na kadhalika.

Badala Ya kumaliza mb zako kusema uongo, Jaribu kutumia Hizo mb Kusoma facts kabla hujaja humu.Utasaidia sana kupunguza ujinga.
 
hii ni hekima itokayo juu si kwa mwanadamu awaye yote, hakuna yeyote atakejisufu kanigawia. ISIPOKUWA MZEE WA SIKU
Huyu ndiye aliyewafundisha..
2194-Ellen-White-2.jpg
 
Nimejaribu kuchunguza kwa wiki hii tu, kuna mada za kuponda kanisa katoliki nyingi tu nikajiuliza kwa nini....

Baadae nikaona picha za misa za mheshimiwa ambae ameonekana anahudhuria vizuri sana kanisani kila anapoenda. Nikapata jibu ni kwamba watu wameacha kumsema kisiasa, sasa wanahamia kwenye udhehebu.
Kuna ukweli hapa...Hebu ngoja nifuatilie
 
Kuna list yangu ya Wasabato naiandaa...

Nitakuwa nawa-tag nikianzisha mada za bibi yetu Ellen ili mje tubadilishane mawazo
badala ya kuandaa list ya maovu yako na kuyaungama upate ufalme wa Mbingu,unahangaika kuandaa listi ya Wasabato watu ambao ni Mboni ya jicho la Mungu duniani
 
Here we go again. Seventh Adventists (Wasabato) at work. Yaani bila Papa na ukatoliki hamna dini. Hata hiyo misingi ya Usabato huwa mnaihubiri saa ngapi kama kazi yenu kuu ni kupambana na Papa na ukatoliki 24/7? Nyinyi mnaamini nini? Wokovu unapatikanaje? Kwa kusoma na kufuata mafundisho ya Bibi Ellen G. White? Kwa kutokula samaki wenye magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika na wale wasiocheua? Ni kwa kuabudu Jumamosi? Ni kwa kutokunywa chai, kahawa na soft drinks? Ni kwa kukurupuka na kuwa na kiherehere cha kuhusisha kila tukio na unabii wa vitabu vya Daniel na Ufunuo? Usabato ni nini? Mtu atakwenda mbinguni kwa sababu ni Msabato?

Inawezekana kweli Papa ni ajenti wa shetani na kahaba mkuu wa Ufunuo lakini je, hili linawasaidiaje nyinyi kama Wasabato? Mbona mko so obsessed na Papa na Wakatoliki? Dini na madhehebu mengine yote yako sawa isipokuwa Wakatoliki? Mbona siwaoni mkiwachimba mf. Mormons au Jehova's Witness? Why Catholics only? Au mna bifu la kihistoria na Papa na ukatoliki?

Samahani kwa maswali mengi na natumaini kwamba hutatoa povu na badala yake utajaribu kutuelimisha kuhusu kikundi hiki cha kifarisayo (washika sheria za Musa) kiitwacho Seventh Adventists, kiundi chenye mauzauza mengi yasiyofungamana na mafundisho ya Biblia.

Anyway, Happy New Year mkuu (kama mnasherehekea mwaka mpya)! Naona mwaka mpya Wasabato mmeuanza vizuri na Wakatoliki aisee mpaka waombe poo [emoji23][emoji23][emoji23]. Post zaidi ya 7 hivi za kuanika ushetani wa Papa na ukatoliki tangu 2017 uanze. Ingekuwa mnashambulia let's say Uislamu naamini threads zenu zingekuwa zinafutwa. Komaeni na "mashetani" na "makahaba" wa kikatoliki mpaka kieleweke ila tu hakikisheni kuwa na nyie mko sawa kiimani!
Kwa sababu ukatoliki ndio uliozungumziwa zaidi katika nabii mbali mbali za biblia ikiwemo kitabu cha Daniel na ufunuo kwamba itahusika kuwapeleka wengi motoni ikiwemo upigaji chapa 666 hivyo lengo ni kukuasa ndugu ktk kristo utoke ndani ya uasi huo ili usikumbwa na ghadhabu ya Mungu maana itawafanya wote wakubwa kwa wadogo, maskini, matajiri, wafungwa n.k kupigwa chapa hiyo
 
Rudi SHULE uache ujinga. 1800 sio kipindi cha Dark Ages.

Na kipindi cha Dark Ages ndio kipindi ambacho watu walikua wanamtafuta sana mungu huko ulaya, kwa sababu ni kipindi ambacho watu waliumwa sana magonjwa na kulikua sana na vita ktk kugombea maeneo.Kuna vitabu na vitabu vinavyoelezea hivyo, mgonjwa kama bubonic plagues na kadhalika.

Badala Ya kumaliza mb zako kusema uongo, Jaribu kutumia Hizo mb Kusoma facts kabla hujaja humu.Utasaidia sana kupunguza ujinga.
Challenge with facts!..na sio unakimbilia kudai bando zimefanyaje,bando ikiwa ni shida kwako si kwa wote ni tatizo
 
Mpinga kristo ni papa!...saiv ametulia ila soon ataibuka na kulazimisha dunia nzima kutumia namba 666 na ana wafuasi wengi sio mchezo.

He wll deceive many!..
 
Challenge with facts!..na sio unakimbilia kudai bando zimefanyaje,bando ikiwa ni shida kwako si kwa wote ni tatizo

Umetoa fact zipi hapa? Yaani watu kama wewe wanasikitisha sana. Sikiliza sikulazimishi wewe kuikana Dini au dhehebu lakini rafiki jaribu kupata Elimu Ya ziada kuhusu Dini yako na dhehebu.

Huoni aibu unaposema 1800 ni Dark ages???..kweli?????..huu ni ujinga wa hali Ya Juu kabisa!
 
Back
Top Bottom