Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma

mkuu hcho kitu nmewah kiona pia mkoa wa Moro vijijini Sana Yan mzee ana zizi la ng'ombe mbali na nyumban mbali kabisa na hazina mlinzi wajukuu wanazitoa tu kuzichunga wanafunga wanaondoka na hazijawahi kuibiwa zizi lenyewe la kawaida
 
Manyaunyau Yuko wapi sikuhizi?
 
Ndo anaitwa snorius
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…