Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma

Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma

Bongo tupo nyuma sana

Hayo mambo yamefanyika ulaya na America karne za 15, 16, 17 na wakagundua uchawi haupo ni hadithi za kufikirika hivyo wakaachana nayo.

Sisi tunafanya karne ya 21 tena kwenye information era.

Maskini na wajinga ndio wanaamini huo upuuzi
Utuchawie tukuache? Sisi yesu au? Acheni wanga ase
 
Bongo tupo nyuma sana

Hayo mambo yamefanyika ulaya na America karne za 15, 16, 17 na wakagundua uchawi haupo ni hadithi za kufikirika hivyo wakaachana nayo.

Sisi tunafanya karne ya 21 tena kwenye information era.

Maskini na wajinga ndio wanaamini huo upuuzi
Jidanganye,,,, amin hayo yanayosemwa yapo unapinga kwa misingi ipi kwanza!
 
Habari wanajf,,, kama ulikuwa hujui kigoma kuna operation inayoendelea ya kutokomeza wachawi na imeruhusiwa na serikali,,
Hii ni operation inaendeshwa na watu kutoka kingo na niger pia sumbawanga (KAMCHAPE) hawa watu wako vizuri yaani wanafukua uchawi popote pale ulipo..... Iko hivi...👇👇👇👇👇

Hawa KAMCHAPE wanakuja kijijini hapo wanaomba ruhusa then mnawchangia 5000Tshs...
Wanapita kila nyumba kwa nyumba na huwezi kimbia kama ww ni mchawi,,, kwa mfano kijiji fulani cha uvinza a.k.a mlela village, kuna mchawi alijaribu kukimbia nyumba yake yaani alisafiri kabisa akaondoka lakini walimkuta amekaa nyumbani ndani kwake yaani kama kamwagiwa maji vile...
Na moja kitu ambacho wachawi walikuwa wakifanya walikuwa wanatoa madude yao ndani wanakuletea ndani kwako lakini KAMCHAPE akifika atajua hayo madude yametoka wapi na nani kayaleta...
Hawa jamaa wako vizuri kwa mfano kuna jamaa fulani mchawi alikutwa na madude yake katika hayo madude kuna kisu yule KAMCHAPE akasema hiko kisu kimeuwa watu mia moja 100 daaah watu walilia sana,,,,
Lakini pia KAMCHAPE wakishambulia kwako na kukuta na uchawi wanakunyoa na kunywesha dawa yao ambayo wanasema huwezi kuwa tena mchawi katika maisha yako yote,,,,,
Changamoto wanayokutana nayo KAMCHAPE ni pale watendaji wanapokataa kuruhusu hii operation katika sehemu yake kwa mfano kijiji cha mlela village wilaya ya uvinza mtendaji aligoma kusaini.... Ilikuwa ni fujo mtendaji alipigwa na kuchomewa nyumba yake na vitu vyake na wanakijiji wake wenye hasira kali ambao wamechoshwa na uchawi kijiji hicho,,,,, mpaka sasa operation imeisha sasa inaendelea katika vijiji vingine,,,,

Kiufupi hicho kijiji kilikuwa na wachawi... Kuna mchawi mmoja mpaka alifikia kujiita Mungu wa pili maarufu kama marehemu mzee Adamu, huyo mzee alikuwa nuksi kamuulize nyerere ile fimbo yake ilivyoibiwa kigoma,,, hilo tukio lilifanywa na baba yake mzee adamu,,,, huyo mzee alipofariki watu wakishangilia siku nzima usiku kucha nakumbuka hadi home tulichinja kitimoto kusheherekea na alikuwa nuksi upande wake,,,, mashamba yake watu walienda kuvuna mazao,,,,,

Hii operation ni babu kubwa nawapongeza sana wlioruhusu hii operation kufanyika kigoma,,,, aisee kigoma kuna uchawi ni balaa....
WATU HUACHA KAZI ILI KWENDA KUANGALIA WACHAWI WANAVYOTUMBULIWA KIUFUPI NI FURAHA KWETU TUNAINJOY SANA KAMCHAPE FANYA KAZI......
Shetani hawezi kumtoa shetani mwenzake. Mungu awape kuona njia ya kumlilia awaangamize wachawi. Hapo shetani anapita anachukua sadaka zenu, maana mmejiunga nae kwa sadaka. Kumbuka Mungu alitembelea mji akasema niitieni watakatifu wangu walio fanya agano nami kwa dhabihu. Epuka mno kujikabidhi kwa shetani.
 
Habari wanajf,,, kama ulikuwa hujui kigoma kuna operation inayoendelea ya kutokomeza wachawi na imeruhusiwa na serikali,,
Hii ni operation inaendeshwa na watu kutoka kingo na niger pia sumbawanga (KAMCHAPE) hawa watu wako vizuri yaani wanafukua uchawi popote pale ulipo..... Iko hivi...👇👇👇👇👇

Hawa KAMCHAPE wanakuja kijijini hapo wanaomba ruhusa then mnawchangia 5000Tshs...
Wanapita kila nyumba kwa nyumba na huwezi kimbia kama ww ni mchawi,,, kwa mfano kijiji fulani cha uvinza a.k.a mlela village, kuna mchawi alijaribu kukimbia nyumba yake yaani alisafiri kabisa akaondoka lakini walimkuta amekaa nyumbani ndani kwake yaani kama kamwagiwa maji vile...
Na moja kitu ambacho wachawi walikuwa wakifanya walikuwa wanatoa madude yao ndani wanakuletea ndani kwako lakini KAMCHAPE akifika atajua hayo madude yametoka wapi na nani kayaleta...
Hawa jamaa wako vizuri kwa mfano kuna jamaa fulani mchawi alikutwa na madude yake katika hayo madude kuna kisu yule KAMCHAPE akasema hiko kisu kimeuwa watu mia moja 100 daaah watu walilia sana,,,,
Lakini pia KAMCHAPE wakishambulia kwako na kukuta na uchawi wanakunyoa na kunywesha dawa yao ambayo wanasema huwezi kuwa tena mchawi katika maisha yako yote,,,,,
Changamoto wanayokutana nayo KAMCHAPE ni pale watendaji wanapokataa kuruhusu hii operation katika sehemu yake kwa mfano kijiji cha mlela village wilaya ya uvinza mtendaji aligoma kusaini.... Ilikuwa ni fujo mtendaji alipigwa na kuchomewa nyumba yake na vitu vyake na wanakijiji wake wenye hasira kali ambao wamechoshwa na uchawi kijiji hicho,,,,, mpaka sasa operation imeisha sasa inaendelea katika vijiji vingine,,,,

Kiufupi hicho kijiji kilikuwa na wachawi... Kuna mchawi mmoja mpaka alifikia kujiita Mungu wa pili maarufu kama marehemu mzee Adamu, huyo mzee alikuwa nuksi kamuulize nyerere ile fimbo yake ilivyoibiwa kigoma,,, hilo tukio lilifanywa na baba yake mzee adamu,,,, huyo mzee alipofariki watu wakishangilia siku nzima usiku kucha nakumbuka hadi home tulichinja kitimoto kusheherekea na alikuwa nuksi upande wake,,,, mashamba yake watu walienda kuvuna mazao,,,,,

Hii operation ni babu kubwa nawapongeza sana wlioruhusu hii operation kufanyika kigoma,,,, aisee kigoma kuna uchawi ni balaa....
WATU HUACHA KAZI ILI KWENDA KUANGALIA WACHAWI WANAVYOTUMBULIWA KIUFUPI NI FURAHA KWETU TUNAINJOY SANA KAMCHAPE FANYA KAZI......
Mi siwaamini hao akina kamchape,nahisi hivyo vitu vinavyosemwa vinakutwa kwa mchawi,huingizwa na wao wenyewe akina kamchape wakisaidiana na wasaidizi wao,halafu wanasingizia kua tumevikuta kwa mchawi.Ni uongo....
 
Kamchape wako hadi mkoa wa Rukwa. Huko Sumbawanga kuna mzee akivuna mahindi yake anayahifadhi kwenye kijumba chake cha shambani ambacho hata kofuli hakina. IBA UONE. BFF wa huyo dingi nae mchawi promax ila ka-specialize kwenye kutoa adhabu. Kwa mfano kuna mtu kakutendea ubaya kama wale mademu wala nauli halafu hawaji unaenda kumwona huyo mzee... pale utachagua mbaya wako awe kichaa au auwawe. Ukichagua kuua basi sharti ni ukisikia msiba hakuna kuhudhuria.. ikitokea dili za kuadhibu watu basi waganga wa eneo lile wanakuandikia rufaa ya kwenda kumwona huyo specialist.
Boss niunganishe na huyu jamaa tafadhali
 
Bongo tupo nyuma sana

Hayo mambo yamefanyika ulaya na America karne za 15, 16, 17 na wakagundua uchawi haupo ni hadithi za kufikirika hivyo wakaachana nayo.

Sisi tunafanya karne ya 21 tena kwenye information era.

Maskini na wajinga ndio wanaamini huo upuuzi
Utakuwa ni miongoni mwao mbona una watetea

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Kazi hatari sana. Mbona mafunzo yake ni ya muda mfupi sana?! Yaani chini ya mwezi mmoja! Huku mtaani tunaona watu wanakaa kwa waganganga miaka na miaka wakijifuanza uganga. Hii imekaaje!!.
 
Kazi hatari sana. Mbona mafunzo yake ni ya muda mfupi sana?! Yaani chini ya mwezi mmoja! Huku mtaani tunaona watu wanakaa kwa waganganga miaka na miaka wakijifuanza uganga. Hii imekaaje!!.
Kozi ni ya muda mfupi ila unaweza usimalize, na ukimaliza unaweza ukawa bado haujaiva vizuri hadi upate uzoefu wa kutosha
 
Back
Top Bottom