Mfahamu kwa ufupi Donnie Yen

Mfahamu kwa ufupi Donnie Yen

Nakazania,

In reality Wanasema wakati jamaa kijana kijana kuna siku alikuwa na demu wake club mitaa ya Boston huko, sasa kuna wahuni wakataka kumzingua demu wakabishana na jamaa afu wakawa kama wamepotezea kumbe wanamvizia mwana atoke club, Baada ya jamaa kutoka (Don yen) akakututwa anazungukwa na wahuni kama tisa hivi
Kiufupi jamaa alinipigia wote mpaka wengine walilazwa
 
Donie Yen-Wing Chun Sifu.
Wachina ni wagumu sana,Donie alipigwa ngumi na Mike Iron Tyson mpaka nikasema kwa mara ya kwanza leo stering anakufa na picha linaisha.
 
Movie ya kwanza kuiona ya don ulikuwa ni mwaka 96 nimeisahau jina ila kwa wakati ule ilikuwa ni movie Kali Sana

Kuna scene yupo na demu 1 hivi anaye tafutwa kwa tuhuma za mauaji ya bf wake wakati siye yeye aliye muua huyo bf wake
Ghafla wana kutana na makachero wanao watafuta ikabidi don aanze kuwapa kichapo .. Kuna sehemu demu wakati ana msaidia don alichukua kasha la kuhifadhia. Maua ili ampige nalo jambazi ghafla katika kasha hilo akatokea mjusi ikabidi limponyoke lika mdondokea don kichwani aka zimia
Tiger cage hii movie inaitwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mcheza filamu huyu alianza kuwa maarufu miaka ya 1983 mpaka sasa ameshafanya filamu kama Dragon Cage (2006), Special ID (2013) Ice Man (2014), Kung Fu Jungle (2014), Flash Point (2007) na hii filamu maarufu ya IP MAN zilizotoka kuanzia mwaka 2010 na ya mwisho imetoka mwaka huu inaitwa IPMAN4 ipo sokoni.
In the line of Duty 4 mbona haujaitaja hapa?

SharpPreciousIrishredandwhitesetter-size_restricted.gif
 
Movie ya kwanza kuiona ya don ulikuwa ni mwaka 96 nimeisahau jina ila kwa wakati ule ilikuwa ni movie Kali Sana

Kuna scene yupo na demu 1 hivi anaye tafutwa kwa tuhuma za mauaji ya bf wake wakati siye yeye aliye muua huyo bf wake
Ghafla wana kutana na makachero wanao watafuta ikabidi don aanze kuwapa kichapo .. Kuna sehemu demu wakati ana msaidia don alichukua kasha la kuhifadhia. Maua ili ampige nalo jambazi ghafla katika kasha hilo akatokea mjusi ikabidi limponyoke lika mdondokea don kichwani aka zimia
Hiyo muvi kitambo sana kibanda umiza nilikuwa naikubali ile mbaya .
 
Back
Top Bottom