makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
pia kwenye lether weapon 4 na movie flani hivi yuko na mark darcascos
Unaizungumzia romeo must die? Mule nakumbuka alikuwa starring mark ndio alikuwa jambakuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pia kwenye lether weapon 4 na movie flani hivi yuko na mark darcascos
Kabisa mzee... Hatumdai...Kwa kweli simdai huyu mwamba linapokuja swala la film hajawai kutoa boko.
haikuwa romeo must die but thanks umenikumbusha kwa ile movie mark ndo alikuwa adui af jet alikuwa na DMX kwa missionUnaizungumzia romeo must die? Mule nakumbuka alikuwa starring mark ndio alikuwa jambakuzi.
Movie ya kwanza kuiona ya don ulikuwa ni mwaka 96 nimeisahau jina ila kwa wakati ule ilikuwa ni movie Kali Sana
Kuna scene yupo na demu 1 hivi anaye tafutwa kwa tuhuma za mauaji ya bf wake wakati siye yeye aliye muua huyo bf wake
Ghafla wana kutana na makachero wanao watafuta ikabidi don aanze kuwapa kichapo .. Kuna sehemu demu wakati ana msaidia don alichukua kasha la kuhifadhia. Maua ili ampige nalo jambazi ghafla katika kasha hilo akatokea mjusi ikabidi limponyoke lika mdondokea don kichwani aka zimia
Huyo jamaa ni hatari hata Jplus wa Misukosuko haingii ndani.
Jetli uhalisia mdogo
haikuwa romeo must die but thanks umenikumbusha kwa ile movie mark ndo alikuwa adui af jet alikuwa na DMX kwa mission
Mi mwenyewe nimeshangaa, coz nimeanza kumuona the early 2000, cha ajabu film ya kwanza eti ni Mwaka 2006. 2006? 2006?Duh, amekuwa maarufu tangu 1983 na filamu 2006? Kuwa 2006 ndio filamu ya kwanza au?
Kwa haraka haraka jet le kacheza adui katika movie kama mbili hivi, kuna ile the mummy tomb of the dragon emperor sijui na kuna ile yupo na jason statham sijui inaitwa war, nimeisahau kidogo.
yep hii ndio yenyeweCradle to the grave!?
Inaitwa Cradle to the grave . Jambazi mark dagascorhaikuwa romeo must die but thanks umenikumbusha kwa ile movie mark ndo alikuwa adui af jet alikuwa na DMX kwa mission
Movie zote kapiga hayo matekeTiger Cage Don Yen anapiga mateke matatu akiwa hewani yalimfanya bubu asimame huku akionesha vidole vitatu ubanda.
Another best from him
14 blades
Amelewa huyu mshikeniiNamfahamu vizuri tulisoma wote na kuish naye utotoni , aisee kitambo Sana.
Hapana hiyo sio tiger cage. Ni tofauti hata story yake.Tiger cage
Hapana sio the boss wala sio tiger cage ni tofauti ninayo apa ndani ndoja niitafuteJapo na mimi siikumbuki jina vizuri Ila nahis itakuwa inaitwa The boss ..mm nilikuwa nazitazam miaka ya 2005/2010
Eeh hapo ndo umepatia sasa inaitwa hivi safiIn the line of duty